DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili.
Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.
Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.