Jinsi ya kula machungwa ya Tanga

Jinsi ya kula machungwa ya Tanga

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili.

Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.
FB_IMG_1678121002577.jpg
 
Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili.

Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.
View attachment 2539666
Ya Bukoba ndo balaaa mana mengi yalitokea Rwanda kipind cha vita acha kabisa weeeeeeh.
Lkn mikoa yenye jua kali ni makavu kama makuti.
 
Back
Top Bottom