Jinsi ya kula machungwa ya Tanga

Jinsi ya kula machungwa ya Tanga

Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili.

Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.
View attachment 2539666
Don’t forget to trim your nails
 
Back
Top Bottom