Hayo umesema wewe mi nilimaanisha machungwa halisiSo, Kwa habari ya maji,
Wadigo = Wanyarwanda?!
Hii taswira uliyoiandika imenifanya nicheke peke yangu😂😂😂😂Baba wa familia ametulia kwenye kisofa na miwani yake huku akiparaza simu. Watoto wanaacha makelele ndani wakijua baba anasaini mikataba
Ni makavu ila matamu balaa kama ya singida ni hatariYa Bukoba ndo balaaa mana mengi yalitokea Rwanda kipind cha vita acha kabisa weeeeeeh.
Lkn mikoa yenye jua kali ni makavu kama makuti.
Vzuri sanaNi makavu ila matamu balaa kama ya singida ni hatari
Nini kimetokea? 😹
Uzi wa machungwa? Huu ulinipita aiseee.!!Nimekuita kwa herufi kubwa na uzi umefufuka
Marefu 😹😹Niliwahi kufanya analysis ulitaka machungwa yenye maji tafuta marefu marefu halafu yamenona maji yanakuwa mengi
Hivi ndivyo unavyokulaga machungwa?🤔Ephen nakuita kwa herufi kubwa na ndogo
Santos una utoto mwingi 😹😹😹Pyeeeeeee😀😀😀 4people are here
Mimi huwa nan'gata..!😂🙄ndio nioneshe na wewe unavokulaga ndizi🙄
Dr. Huogopi kansa ya koo🤔Sasa si utaimaliza yote kesho utakula nini🤣🤣🤣