RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
acha kuharibu thread za watu wewe.....unajua uhusiano wangu na miss chagga au unadandia tu comment za watu? usiharibu hali ya hewa humu watu wako na amani humu.Pumbafuuuu wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kuharibu thread za watu wewe.....unajua uhusiano wangu na miss chagga au unadandia tu comment za watu? usiharibu hali ya hewa humu watu wako na amani humu.Pumbafuuuu wewe!!
Lol!acha kuharibu thread za watu wewe.....unajua uhusiano wangu na miss chagga au unadandia tu comment za watu? usiharibu hali ya hewa humu watu wako na amani humu.
mpotezee tuacha kuharibu thread za watu wewe.....unajua uhusiano wangu na miss chagga au unadandia tu comment za watu? usiharibu hali ya hewa humu watu wako na amani humu.
kipofu??? wana macho yao mawili yanayoona vizuri tuhuyo labda atakuwa kipofu.
Ume eleweka vyema bidada, changamoto kubwa tuliyonayo, huwa hatuna muda wa kukaa kwenye kioo. also ni bahat kupata mwanamke mfano wako anaejua kumpangilia mwenza wake atoke chicha.Mimi nikiwa kama mdau mkubwa wa fashion niliyetukuka itakuwa dhambi kwangu kukaa kimya bila kusema lolote hapa.
Kama nilivyosema,napenda sana kupendeza....haijalishi ni casual au lah,kikubwa kwangu ni muonekano bomba na uliotulia.
Wanaume walio wengi hawajui kuvaa tofauti na wadada,binafsi navutiwa sana na mwanaume anapovaa shati jeusi,sijui kwanini ila napenda mnoooo!
Avae la mikono mifupi au mirefu na aikunje design liishie kwenye kiwiko na avalie jeans matata nyeusi au dark blue ananoga sana.
Katika first date huwa navutiwa sana na mwanaume ambaye amevaa shati smart tofauti na t-shirt....
Akivaa T-shirt hata iwe nzuri kiasi gani,au hata avae designer hawezi nivutia kama aliyevaa shati na hasa jeusi,na lilanoga zaidi likiwa model (limfit sio limpwae).
Mashati waliyo vaa hawa ndio dark blue ninayomaanishamkuu umenisaidia vya kutosha, but kuhusu hilo shat la dark blue, hiv inakua bluu iliyokoza au mpauko? msaada pliz.
Hahahaaaa! Khaaah eti shati jekundu! Kuna rangi kwa wanaume ni janga.Hivi rangi tanashati za nguo kwa mwanaume ni zipi.......?.....kwa sababu kwangu mimi ukinivalia shati jekundu nakuona kama Poacher.....ila ukitupia tshirt nyekundu na jeans flan amaizing.......nakuona kama Taye Diggs........
Au msukuma[emoji85] [emoji85] [emoji85]atakuwa mchagga kama wewe labda! hio bukta ndani au juu ya suruali?
Hahahaaaa!! Umewaza nn lkn!Unakuta kavaa suruali nyeupe na bukta kubwa nyekundu
Why usipige booonge la u-turn.Na saa hiyo ndio amekudate........ kakualika kinywaji kwa mara ya kwanza........
Umenikumbusha chuoni, kulikuwa na msukuma mmoja ana suti yake ya purple inang'aa hiyo, nilikuwa nikimuona nayo nashindwa kumshangaa.Mfano nkaja na hiyo suti yangu nayoipenda sana, itakuwaje?
Ha ha ha nawaonaga na mabukta yaoHahahaaaa!! Umewaza nn lkn!
Mweeeh!! Huyo atakuwa ndugu yake Heaven SentHa ha ha nawaonaga na mabukta yao
Hahaha shika adabu yako, hao watakuwa mashemeji zako wa usukumani hihihihihiMweeeh!! Huyo atakuwa ndugu yake Heaven Sent
Mwenzangu! Shemeji zangu nao hawajambo kwa kunisuprise[emoji134]Hahaha shika adabu yako, hao watakuwa mashemeji zako wa usukumani hihihihihi