Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.