Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.
Pesa dot com
 
Nina uhakika umri wako hauzidi miaka 24 na miezi 5.
Bado mshamba sana kwa hawa viumbe.
Nasubiri ukikua utakuja kuukataa huu Uzi wako
Bila shaka wewe ni mhanga wa kutafuta heshima pasipo kujiheshimu.

Una haki ya kuwaza ulivyo waza, Ila huu ukweli nimeuweka hapa, mie sio mvulana
 
Mwisho kabsa umaskini ni laana tupinge umaskini
Kwa nguvu zote mkuu.kuna kipind hali ni ngumu hadi naenda angalia mpra bar af kiingilio ni kinywaji au 500.mhudumu akija ananiambia toka nje mbele ya watu dah kosa hela/kaz ni changamoto.Mungu kajalia nimepta chimbo na pata vichenji ile pisi kila jion inalala kifuan na kunishika shika ndevu😃😃😃 ndo nikajua umasikin ni mbya.
 
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.
Huo muda wa kupoteza kumridhisha mwanamke mngeutumia kujiongezea kipato ingekuwa na maana sana.
Kwa wengi wenu kuoa imekuwa utumwa!
#KATAANDOA

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Mwisho kabsa umaskini ni laana tupinge umaskini
Kwa nguvu zote mkuu.kuna kipind hali ni ngumu hadi naenda angalia mpra bar af kiingilio ni kinywaji au 500.mhudumu akija ananiambia toka nje mbele ya watu dah kosa hela/kaz ni changamoto.Mungu kajalia nimepta chimbo na pata vichenji ile pisi kila jion inalala kifuan na kunishika shika ndevu
Mwanaume uwe na hela.sio kila siku sina hela.hata kama utakuwa mzuri kiasi gani amini usiamini kuna heshima hutopata.

Na hata hii si kwa wanaume ndugu yangu.hata Kwa wanawake pia.kama huna kitu mkononi hata mwanaume hakupi heshima anakuona huyu nae atanipiga mizinga tu.umasikini unaumiza,unatenga,hauwezi kusikilizwa,umasikini unatesa vibaya.

Pesa sio kila kitu lakini inaongeza heshima mahali fulani,inakukutanisha na watu fulani na mengineyo.
Kuwa na kitu cha kujiweza wewe mwenyewe kwanza.

Umesikini ulinitesa sana,ulininyong’onyeza,ulinitenga na watu na wengine ni ndugu wa karibu nami,umasikini ni mbaya.
Ila Mungu Kwa kuwa hatokei mkoa wowote hubariki
Mrembo .tufie kwenye kupambana na umasikin cio kitu cha kujivunia hasa saiv kwa wanaume una hela upati demu/mke.
 
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.
Mkuu umemaliza kila kitu,big up
 
Back
Top Bottom