Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

yaani mtu hana heshima umuheshimu?? mkuu unaandika nini ila sawa wapo wanaokuelewa.
Ikiwa wewe ni muhanga wa kukosa heshima mbele ya mke ulipaswa ujifunze kupitia huu uzi, Ila shida yetu wanaume tu wabishi sana
 
Ikiwa wewe ni muhanga wa kukosa heshima mbele ya mke ulipaswa ujifunze kupitia huu uzi, Ila shida yetu wanaume tu wabishi sana
sawa, tuseme wewe ndo mwanaume wa mfano... kina Sophy wanakuja dm kwako
 
Aisee....ila mwanawane pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. Na utambue kuwa sio lazima yawe ya kufa na kuzikana au yaishie kwenye ndoa.
Kunyanduana na kuenjoy na mrembo nayo mapenzi.
Nahakika wewe ujaoa.wanawake hadi leo hawajaeleweka wanataka nini
Nakutolea mfano wa kweli.
Mimi nilikuwa na rafiki yangu.
Jamaa alikuwa anaishi na mwanamke ila ajafunga nae ndoa na jamaa alikuwa ana kila kitu kunizidi mimi .
Pesa alikuwa nazo za kutosha alikwa ni askali na anakitengo kikubwa tu jeshini .tulizoeana nikawa naenda kwake na hadi mkewake akanizoea ikawa shemeji shemeji . jamaa yangu alienda kozi yule shemeji yangu akawa ananiletea pigo za kunitaka kwa sababu alikuwa mzuri na mimi nikanasa kwenye mtego wake ila nilijuta sana kumsaliti jamaa yangu na nilimuuliza shemeji yangu umenipendea nini wakati jamaa ana kila kitu kunizidi .alichonijibu eti amependa ninavyo tabasamu.nilichoka hadi sasa sielewi hawa wanawake wanataka nini.
 
Nahakika wewe ujaoa.wanawake hadi leo hawajaeleweka wanataka nini
Nakutolea mfano wa kweli.
Mimi nilikuwa na rafiki yangu.
Jamaa alikuwa anaishi na mwanamke ila ajafunga nae ndoa na jamaa alikuwa ana kila kitu kunizidi mimi .
Pesa alikuwa nazo za kutosha alikwa ni askali na anakitengo kikubwa tu jeshini .tulizoeana nikawa naenda kwake na hadi mkewake akanizoea ikawa shemeji shemeji . jamaa yangu alienda kozi yule shemeji yangu akawa ananiletea pigo za kunitaka kwa sababu alikuwa mzuri na mimi nikanasa kwenye mtego wake ila nilijuta sana kumsaliti jamaa yangu na nilimuuliza shemeji yangu umenipendea nini wakati jamaa ana kila kitu kunizidi .alichonijibu eti amependa ninavyo tabasamu.nilichoka hadi sasa sielewi hawa wanawake wanataka nini.
🤣🤣🤣🤣 Kwanza hongera kwa kumpa shem anachotaka. Mbususu haisiswi kamwe!
Pili tambua ya kwamba mwanamke ana matamanio ya kimwili kama wewe mwanaume. Suala la mwanamke kutaka kuonje de libolo tofauti lipo pale pale pamoja na uwepo wa ndoa kama vile wanaume tunakuwa na matamanio ya kuonja papuchi nyingine ata kama tuna mke mzuri ndani ya nyumba.

Ukitambua kuwa mwanamke ni mwanadamu tena ni dhaifu kuliko mwanaume basi huwezi shangazwa na suala la mwanamke kutoa mbususu kwa sababu ya tabasamu lako.
 
Mwanamke muheshimu Mumeo mwanaume mpende mkeo full stop.Pindi mwanamke anapoacha kumuheshimu Mumeo na Upendo wa Mumeo kwake unapungua kama sio kukata kabisa.

Kwakuwa wanawake wengi hawajitambui Inatakiwa kuishi nao Kwa akili.Ila sio kwamba wametuzidi akili.

Heshima ya mwanamke Kwa Mumeo ni lazima haijalishi anafanya nini huyo mwanaume.
 
Naona kama waliwahi kukutoa nishai vile, je ni kweli ?
Kama wewe hujawahi kushukudia Madudu ya mwanamke wako, Basi anakuheshimu na Ujinga wake anafanyia Mbali!

Uwe Tajiri umpe mwanamke kila kitu, umpelekee Moto kila siku mpaka K ipate moto, atakusaliti kwa Dereva Bodaboda ambaye huwa anamleteaga Pizza nyumbani.
 
Ulichokiongea hakina uhalisia ni SAWA na tamthilia tu ulisikia wapi wanaume wanaosha chupi za wanawake.

Kama ni hivi na Mimi ni Bora niungane na wanaisema KATAA NDOA KATAA NDOA . Nasikitika kama umejiandaa kuyafanya haya unasahau majukumu Yako ya kiume unaenda kufanya majukumu ya kike kama kupika na kufua vyupi.

Mimi naona kwanza mwanamke anayekuruhusu ufanye hayo mambo ameshakuvunjia heshima na umekubali.

Mwanamke mwenye heshima ni tulizo Kwa mumewe hata mumewe akiwa na fujo yeye hagombani naye Bali anamwombea.

Mwanamke Bora hamvunjii heshima mume wake kisa ameshindwa kujiheshimu Bali anamsaidia mume wake kupata heshima aliyopoteza kutoka Kwa watu kwenye Jamii huku yeye akiendelea kumuheshimu.

Mwanamke asipojifunza kumuheshimu Mumeo katika Kila hali basi yeye ambaye alitakiwa kusaidia kurejesha ndoa Yao kwenye heshima huleta aibu kwenye ndoa.

Kama wote mmekuwa kitu kimoja kwanini ufurahie anguko la mwenza wako kwenye ndoa na kumdidimiza badala ya kumuinua.

Kuna faida ngapi mwanamke atazipata asipomuheshimu mume wake na faida ngapi anapomuheshimu.
 
Ahsante kwa miongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom