Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Hayo yote ni subsidiary
Mwanamke anataka hela ndipo akuheshimu
 
siwez hayo mambo ya kitoto labda kwenye matukio muhimu kama harusi au kwenda kwenye mbuga sio disco au bar.
Sawa mpeleke popote unapoona panafaa.

Angalizo: usimfungie chumbani halafu wewe ukaenda disko peke yako utaharibu heshima yako
 
Wengine Kuwaheshimu Kwetu Wanawake ni Kuwasugua mno na bila Huruma / Msalia Mtume hadi Sugu kuwatoka Ikuluni Mwao.
 
Kwa awamu hii labda. Awamu iliyopita wamaskini ndio tulikuwa ma celebrities hadi raha yaani.

Ilikuwa ukitaka kusifiwa kwenye jamii uwe masikini
Mtu mwenye akili ya kimaskin siku zote anaona umaskini wake umesababishwa na matajiri , wakipata msemaji wao mwenye nguvu kimamlaka wanasahau shda zao.
 
Nina uhakika umri wako hauzidi miaka 24 na miezi 5.
Bado mshamba sana kwa hawa viumbe.
Nasubiri ukikua utakuja kuukataa huu Uzi wako
 
Nina uhakika umri wako hauzidi miaka 24 na miezi 5.
Bado mshamba sana kwa hawa viumbe.
Nasubiri ukikua utakuja kuukataa huu Uzi wako
[emoji1787][emoji1787]
 
Huwajui Wanawake wewe!
Wao wenyewe hawajuagi wanataka nini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…