Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Napingana na wewe pesa sio kila kitu
Juzi juzi tu hapa tumetoka kushuhudia ndoa za matajili wa wakubwa zimevunjika na wanapesa za kutosha mfano Bill gate na wengine wengi.ukichunguza watu wenye pesa hawana muda na wapenzi wao they so busy kutafuta pesa na siku zote ukae ukijua mapenzi yana nafasi yake katika maisha ndio maana watu wenye pesa hawadumu katika ndoa.
Mkuu kwanza kbsa ndoa ni utapeli , kwa msimamo wangu huu kuhusu ndoa bado haujanipinga.
 
🤣🤣🤣🤣 Kwanza hongera kwa kumpa shem anachotaka. Mbususu haisiswi kamwe!
Pili tambua ya kwamba mwanamke ana matamanio ya kimwili kama wewe mwanaume. Suala la mwanamke kutaka kuonje de libolo tofauti lipo pale pale pamoja na uwepo wa ndoa kama vile wanaume tunakuwa na matamanio ya kuonja papuchi nyingine ata kama tuna mke mzuri ndani ya nyumba.

Ukitambua kuwa mwanamke ni mwanadamu tena ni dhaifu kuliko mwanaume basi huwezi shangazwa na suala la mwanamke kutoa mbususu kwa sababu ya tabasamu lako.
Hata kama ndio kila mtu anatamani lakini ndio utamani tabasamu la mtu
 
vijana wakisikia kuheshimiwa na mwanAmke utasikia mpelekee moto, ukiwa na hela atakuheshimu kila mtu sio huyo mke wako tu!
 
Mbona mie natamani kwapa la mrembo....acha kabisa kwenye malove kila mtu na udhaifu wake
Kila kiungo cha mrembo kina kazi yake kwa mwanamume, sema tu kuna wanaume washamba washamba wao hukimbilia chini ya kitovu tu 😀
 
Wanawake wenyewe hawa wa dotcom kuwa na wananume wanne sio ishu kabisa
Ila hawafanyi poa kumiliki wanaume zaidi ya mmoja maana husababisha wajuba kutwangana mangumi wakihisi kuwa wanachangia demu mmoja 😂
 
Ila hawafanyi poa kumiliki wanaume zaidi ya mmoja maana husababisha wajuba kutwangana mangumi wakihisi kuwa wanachangia demu mmoja 😂
Ah acha bwana wawe na wanaume wengi sii ndio tusambaziane ukimwi vizuri au mnataka tufe wachache tuu jamani🤣🤣🤣🤣
 
nilimuuliza shemeji yangu umenipendea nini wakati jamaa ana kila kitu kunizidi .alichonijibu eti amependa ninavyo tabasamu.nilichoka hadi sasa sielewi hawa wanawake wanataka nini.
Acha kutabasamu mbele ya mwanamke mkuu.
 
Back
Top Bottom