Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Hebu ngoja kwanza,maelezo yako yanahusu raia wa JMTau toka outer space?...kwanza mimi binafsi siwez kupika,kufua,sijui mkacheze mziki, big time siwez huo ni ubwege...kama ana heshima atakupa tu hata usimfanyie kitu.,.kingne mkuu hivi mimi nikae jikon napuliza na kuchochea moto kweli?labda kwa nyie ma born town a.k.a mboga 7.
 
Hapana acha kumpa nafasi ibilisi, kwanza hakupendi 😁

Mie nitakuombea tu hata kama hutaki nitaomba na kuombea pia mkunyenge wako ulale mazima ili uokoke 😁
Aisee hatari....sasa wee naona tutakutana motoni pia. Sasa de libolo lilale raha ya maisha iko wapi sii bora nikjinyonge kwenye mpapai
 
Hebu ngoja kwanza,maelezo yako yanahusu raia wa JMTau toka outer space?...kwanza mimi binafsi siwez kupika,kufua,sijui mkacheze mziki, big time siwez huo ni ubwege...kama ana heshima atakupa tu hata usimfanyie kitu.,.kingne mkuu hivi mimi nikae jikon napuliza na kuchochea moto kweli?labda kwa nyie ma born town a.k.a mboga 7.
Unaishi wapi ndugu?
 
Heshima is earned, haigawiwi tu kama pipi.

Mtoa mada ana hoja, asikilizwe na alindwe.
 
Back
Top Bottom