Waniogopa mie ninaye mwaga baada ya dakika mbili na kibamia changu kweli🤣🤣🤣🤣Kabisa mpaka tunakuogop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waniogopa mie ninaye mwaga baada ya dakika mbili na kibamia changu kweli🤣🤣🤣🤣Kabisa mpaka tunakuogop
Aisee hatari....sasa wee naona tutakutana motoni pia. Sasa de libolo lilale raha ya maisha iko wapi sii bora nikjinyonge kwenye mpapaiHapana acha kumpa nafasi ibilisi, kwanza hakupendi 😁
Mie nitakuombea tu hata kama hutaki nitaomba na kuombea pia mkunyenge wako ulale mazima ili uokoke 😁
NitakuvumiliaWaniogopa mie ninaye mwaga baada ya dakika mbili na kibamia changu kweli🤣🤣🤣🤣
NyooooNitakuvumilia
Tulia nimeshaaza kuomba.Aisee hatari....sasa wee naona tutakutana motoni pia. Sasa de libolo lilale raha ya maisha iko wapi sii bora nikjinyonge kwenye mpapai
Kweli tenaNyoooo
Ulishazoea mitulinga utasema nakuchafua tuuKweli tena
Ahahhah na ww nitazoeaUlishazoea mitulinga utasema nakuchafua tuu
Itakuwa inpwaya bwanaAhahhah na ww nitazoea
Kuwa na exposure ya nini?Yote haya inategemea umepata mwanamke wa aina gani. Kama ni mwelewa na mwenye exposure ukimtendea haya aisee mtakuwa washikaji sana na wenye ndoa yenye furaha. Vinginevyo utaishia kuitwa boya tu maana wenzetu hawa hawajawahi kueleweka hasa wanataka nini [emoji16]
Unaishi wapi ndugu?Hebu ngoja kwanza,maelezo yako yanahusu raia wa JMTau toka outer space?...kwanza mimi binafsi siwez kupika,kufua,sijui mkacheze mziki, big time siwez huo ni ubwege...kama ana heshima atakupa tu hata usimfanyie kitu.,.kingne mkuu hivi mimi nikae jikon napuliza na kuchochea moto kweli?labda kwa nyie ma born town a.k.a mboga 7.
😂😂😂 ishia hapo hapoItakuwa inpwaya bwana
Hakika mkuu. Mtu unamuheshimuu, then booom unajua ni ccm🙆🙆🙆🙆 heshima yooote inayeyuka.Kwakweli mkuu, hivi unafikiri haya matendo wanayo fanya wana ccm dhidi ya wananchi unapataje nguvu ya kuwaheshimu?
pluto mkuu!Unaishi wapi ndugu?
Hebu ukuje huku duniani ujifunze kitupluto mkuu!
Ubarikiwe mkuuHeshima is earned, haigawiwi tu kama pipi.
Mtoa mada ana hoja, asikilizwe na alindwe.
🤣🤣🤣🤣Njoo basi tuenjoy wikend hii😂😂😂 ishia hapo hapo
Nitakuja🤣🤣🤣🤣Njoo basi tuenjoy wikend hii