Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 734
Aisee kumbe na juzi tarehe3 umefungwa tena na Yanga.ole sana nakumbushia tu mkuu maumivu uliyopata juzi
#
#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu humu sema kashaoa angekufaa.Give me tickets to diffent destinations once every year.
Just the two of us, singing, dancing, laughing at our jokes and whisper sweet nothing words while cudling.
My man, my Dadii 😘.
Forever and Always.
Kuna mtu humu sema kashaoa angekufaa.
Oa mwanamke mwenye akili na hofu ya MUNGU kwa ajili ya stability ya kizazi chako, kuwa baba na timiza majukumu, tumia muda kutafuta pesa.
Hayo mengine yote ni maigizo. Acheni kusikiliza nyimbo za mapenzi na tamthilia. Utakuja kujikuta una miaka 40 unakimbizana na maua na keki sijui true love upumbavu fulani hivi.
[/QUOhahhahahahahah
Je Kama magari anayo mengi, atakuona umempatia cha maana?Mkuu unataka kusema kumpa mwanamke Zawadi ya cake ktk birthday yake ni bora kuliko kumpa funguo za gari mpya?
Pesa ndy kila kitu mkuu... Wacha kujitesa na hisia za movie uchwara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo drama ukimfanyia mtoto wa darasa la 7 mpaka form 4 ndio utawakamata au wanawake walioko nje ya muda wale miaka 37 and above .
Hawa walioua 6 kufika chuo kikuu wakapigwa mikuyenge ya kila aina na starehe za gharama kulala mahotelini kama popo hapa mjini wao ni pochi tu! Ukiingia kwa gia yeyote hakikisha una pesa tu ya kusimamia pambano! Ukionesha choka mbaya tu ujue imekula upande wa dereva [emoji23][emoji23][emoji23]
NAKAZIAHakuna limbwata mkojoze tu
haaa! Utakuwa umesoma ile novel ya 'LOVE IS PLANT'Nothing lasts forever
ata humpe nini anakuacha any time tafta pesa na maisha yako binafsi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke ambaye anaweza akakuacha anytime
Kweli kabisa yaniata humpe nini anakuacha any time tafta pesa na maisha yako binafsi
Hakika mkuu...Hawa ndo wanawapaga madem zao maua hawa wakiamin demu wa kibongo anapenda maua...demu wa kibongo mpe chakula....savanah..k vant...atakuthamin sana
[emoji3]Umeandika kwa hasira sana sheikh[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]