Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Mambo uliyoandika ni nadharia tupu hakuna uhalisia

Eti ukicheka tumia sanaa. Ulishawahi kumuona baba yako akimchekea mama yako kisanii

Wewe dogo akili zako unazijua mwenyewe. Wewe endelea kuwachekea kisanaa wanawake

Wewe unàtaka uyaone mapenzi ya Wazazi wako?

Wazee WA hovyo bhana.
 

Hao Wanawake hawahusiki na Mapenzi
Mapenzi hayahitaji Watu uliowataja.

Hatuzungumzii biashara au utawala WA Kisiasa
Tunazungumzia jinsi ya kumfanya Mwanamke wako(unayempenda na anayekupenda)

Mwanamke yeyote yupo serious na strictly kama Hana mapenzi na wéwe

Hao unaowaona wàpo serious au strictly wakija kwetu wanachekacheka na kucheza kama Watoto
 
Naiona lakini eras do come to an end
So usiwaze Kapeace hao zamu yao ishapita tayari washuke jukwaani tu..
Mpaka wanafungua nyuzi za kujipakulia minyama ina maana kuna kitu kishakuwa common,, its no more interesting
Lets go around the World..
We hutaki kufika mitaa ya Hoodson park Carlifonia??
 
Nilipoona tu "in her body's" nikaacha kusoma.
 
Kwahiyo umeona Carlifonia ni kitu cha kunizuzua!!
 
Nami nipo kwaajili ya kuwafanya Wanawake wajitambue.
Ikiwemo kujitegemea na kukataa kufanywa Bidhaa àmbayo inaweza kununuliwa.
Huna kipya cha kuwafundisha mama zako. Ni heri ujifundishe namna ya wewe kuwatambuwa wanawake.
Huo ni ushauri wa bure.
 
Kama ndo hivi basi kuishi na mwanamke HAIWEZEKANI. Ni ngumu zaidi ya kutafuta pesa!

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Yaaan unampa likizo huko

Unaenda kugegedwa na wengine.

Ni kuamua kusuka au kunyoa, uvumilie tabia mbovu uzipotezeee au upite hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…