Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE
1. Mpe Pesa
2. Mpe Pesa
3. Mpe Pesa
4. Mpe Pesa
5. Mpe Pesa
 
Yaaan unampa likizo huko

Unaenda kugegedwa na wengine.

Ni kuamua kusuka au kunyoa, uvumilie tabia mbovu uzipotezeee au upite hivi
Hapana ampe nafasi kwenye huo muda wa kutengana huenda akabadilika akishindikana basi waachane tu
 
Damn damn!
Hapa nakupa pole mkuu, jaribu kufanya wewe kila unapoona mambo hayako sawa, huenda akiona kupitia kwako akabadilika.

Mwanamke wa namna hiyo is disgusting...
 
Kwa nini mnajitesa hivyo?

Haya yote ni ubatili mtupu
 
Kuoa ni kazi sana Wakuu,Kataa Ndoa kuna muda nawaelewa sana 😀

kataa Ndoa sio wajinga wale,wana akili sana
 
Haya yoote uliyoyaleta ni mapenzi ya wazungu na waigaji waafrica nchi zingine mapenzi yapo tu
 
Damn damn!
Hapa nakupa pole mkuu, jaribu kufanya wewe kila unapoona mambo hayako sawa, huenda akiona kupitia kwako akabadilika.

Mwanamke wa namna hiyo is disgusting...
Nafanya sana. With my kids.. kuna time nakua natenga muda kufanya hizo kazi tena mara nying sana lengo ni kuwafabya madogo wasiathirike na tabia za mama yao.. ni shida sana mkuu
 
Katika wanawake, mkeo hana furaha, hakuna mwanamke wa women hater mwenye furaha, utajijuuuu.
 
Hizo tabia za ujeur, ubishi kupita kiasi na kujiamini San,uliziona Kwenye uchumba ila ukasema atakuja kubadilika.
 
Braza acha tu.. hakua hiv nafikiri alijitahid kuigiza ila hiibtabia sikuwah kuijua.
Tena ni msomi mwenzangu na ni muajiriwa kabisa.
Ukimuona hata huwez amini.
Tena ni mlokole kabisaaa
Kumbe ni msomi na muajiriwa bas siwez kushangaa hizo tabia
Bila shaka anakusaidia sana kimaisha na kazi yake anayofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…