Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Yote upo sawa,ila mbona hujamalizia hujawafundisha wawe wanatupa na hela za pocket money?
 
Unaona post zinazokuponza kwangu ni hizi.
Yaani zinanifanya nizidi kukaza msuli.
You got what it takes to be my woman.
We' lofa, hawatongozi hivyo. Km vipi toa hyo logo mbona unaidhalilisha ww?kabila gan ww? Unajichoresha, shwaini!!!!
 
Kwa mwanamke kumbuka moja tu anapaswa kifikia kilele cha kila kitu akiwa na firaha hakikisha anafikia kilele akiwa na huzuni hakikisha kafikia kilelel

Kila kitu kwa mwanamke hakikisha kafikia kilele
 
We' lofa, hawatongozi hivyo. Km vipi toa hyo logo mbona unaidhalilisha ww?kabila gan ww? Unajichoresha, shwaini!!!!
Broo usichukulie serious sana mambo ya humu,, hii ni pitisha jamvi mkuu..
Inahitaji ulofa mwingi kuweza kutambua ulofa kwa kila mtu.
Unataja hadi kabila homeboy?? Pozi kidogo man..
Halafu mbona wivu wa kike?
Katongozwa mama yako?
 
Unatuangusha Mwamba, kwahiyo wewe hupigi mechi za nje?
 
Huna kipya cha kuwafundisha mama zako. Ni heri ujifundishe namna ya wewe kuwatambuwa wanawake.
Huo ni ushauri wa bure.

Kipya kwako NI kipi?
Wewe ndîo sina jipya Kutoka kwako ila Wanawake wenzako Wana vipya vingi àmbavyo lazima vitolewe ufafanuzi.

MTU upo Mwaka 2024 lakini unaishi kama upo Mwaka 600 utakuwa na kipya gàni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…