Jinsi ya kumlea mtoto wa mme

Jinsi ya kumlea mtoto wa mme

Suprise

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
2,696
Reaction score
1,063
Morning.

Naombeni ushauri jamani, mme wangu ana baby boy umri yapata miaka 3 kutoka kwa X wake.

Naomba ushauri kwani nawaza mtoto aendelee kukaa kwa mama yake huku akiomba matunzo ya baba hapa naogopa mawasiliano ya moja kwa moja na mume wangu au tumchukue tuje kuishi nae nikiwa mama mlezi.

Naombeni ipi itakua njia nzuri ambayo nitaimudu na angalau itakua na tija kwenye ndoa yangu?

1623911088612.png

 
Muache alelewe na mama yake, kwani wakati unaolewa hukujua ana mtoto.....

Matumizi awe anatuma tu my dia.....,
 
Muache alelewe na mama yake,kwani wakati unaolewa hukujua ana mtoto......

matumizi awe anatuma tu my dia.....,

Nilijua mpenzi ila nahisi kama sina amani hivi coz huyo mama hajaolewa nahisi kama atakua huru na visingizio kibao kuhusu mtoto, natamani apate mume haraka nipunguze presha.
 
Miaka 3!!?mwache alelewe na mama yake! Kuzaa aze mwingine ulee ww kisa?tulia
..acha atume matumizi

...ww hujawa mama bado subiri wako! ....Km wana mpango wa kuendelea na hayo mawasilino,hata ukimchukua wataendelea tu,tena ndo utakua umewapa nafasi! Ww unafikiri huyo mwenzio anafurahi kuachwa?tena wanaweza kuongeza mwingine hawana akili hawa!

..acha awe busy kulea baba kazi yake ni kutuma matumizi mpaka mama atakapoolewa ndo aje kwako,kutuma matumizi sio lzm waonane unless kuna kitu kinaendelea
 
nilijua mpenzi ila nahisi kama sina amani hivi coz huyo mama hajaolewa nahisi kama atakua huru na visingizio kibao kuhusu mtoto, natamani apate mume haraka nipunguze presha

I can understand how you feel and couldn't even begin to really imagine how I would react in your circumstances

it is a difficult thing to accept but it's reality............

ila muache alelewe na mama ake kulea mtoto asio wako ni kazi mara 2........
 
Akikubali ni heri umlee huyo mtoto mwenyewe! honestly...

Nisaidie faida za kumlea huyo mtoto ukiihusisha ndoa yangu tafadhali mkuu.pili nilikua nawaza kama nikimchukua tumchukue umri wa kwenda shule labda mwakani na tumtafutie boarding ili akirudi likizo awe anaenda kwa mama yake, unaonaje hili
 
I can understand how you feel and couldn't even begin to really imagine how I would react in your circumstances

it is a difficult thing to accept but it's reality............

ila muache alelewe na mama ake kulea mtoto asio wako ni kazi mara 2........

Thanx kwa concern ma dr, coz so far huyo mama hajasema anataka alete mtoto kwetu sema tu hua anaomba matumizi na ma husband ananiambia
 
Weeeeeeeeeeeeee! Ishia hapo hapo! Muache huko huko kwa mama yake!

Yaani ukilogwa kujitia una mamy spirit na kumleta jianadae na yafatayo

1. Badala ya mumeo kwenda kwa maza mtoto, mzazi mwenzie atakuwa anakuja humo kwenye jumba lako kumuona mwanae, and you will be supposed to be happy! Cause you asked for it! Na ndugu wa huyo mama mtoto nao wanakuja humo kwenye kasri lako kumuona mtoto! Mbona kazi utakuwa nayo!

2. Mfarakano na mumeo usioisha! No matter how sweet, devoted, dedicated you will be kwa yule mtoto mumeo ataona unamtesa, ama hufanyii the best he is expecting. Basi majangaa hayatoisha! Mwnaume atakununia hadi ukome.

3. Ukimchukua huyo, Watazaa mwengine! Coz matumizi hatoi hayamuumi tena, wanakumbushia, ama anaenda small house mpya anajisahau mnarudi square 1. Ila mzazi mwenzie akiwa nambuguzi na watu wa ustawi, vikao na wazazi, simu za kudai matumizi, hamu yoyote ya kutoka nje inamuisha akikumbuka tabu hio dudu yake inasinyaa yenyewe! Muache abebe msalaba wake.
 
miaka 3!!?mwache alelewe na mama yake!kuzaa aze mwingine ulee ww kisa?tulia
..acha atume matumizi
...ww hujawa mama bado subiri wako!
....Km wana mpango wa kuendelea na hayo mawasilino,hata ukimchukua wataendelea tu,tena ndo utakua umewapa nafasi! Ww unafikiri huyo mwenzio anafurahi kuachwa?tena wanaweza kuongeza mwingine hawana akili hawa!
..acha awe busy kulea baba kazi yake ni kutuma matumizi mpaka mama atakapoolewa ndo aje kwako,kutuma matumizi sio lzm waonane unless kuna kitu kinaendelea

Asante ma dr kwa ushauri, najua wakiamaua kuendelea siwez zuia ila nahisi kama watakua na kisingizio direct kupitia mtoto hawatapata tabu ya kukutana kirahisi
 
Kuwa na amani tu na ukubali ukweli kwamba mawasiliano ya wazazi hao lazima yawepo maana mtoto ni kiunganishi chao.
Mwache alee mtoto wake mamii,uwenda ukawapa nafas zaid pindi utakapochukua mtoto.
 
Weeeeeeeeeeeeee! Ishia hapo hapo! Muache huko huko kwa mama yake!

Yaani ukilogwa kujitia una mamy spirit na kumleta jianadae na yafatayo

Thanks mamy nimependa hiyo misababu, kumbe zile bughudha za tuma matumizi zinaweza mkera lol, sikuwahi waza hili ngoja tulifanyie kazi hili na kumfanya asahau kabisa ndoto za kuexpect kuja leta mtoto wake, swali la nyongeza akifikia muda anataka olewa huyo bidada na hawez kwenda na mtoto je si ndo atasingizia aje kwa babayake.
 
Uwiii tena wadada kama hao kisa hawajaolewa wanakuaga wasumbufu kissa mtoto kaza buti mtazame mungu laasivyo visingizio vitakua mtoto.
 
nisaidie faida za kumlea huyo mtoto ukiihusisha ndoa yangu tafadhali mkuu.pili nilikua nawaza kama nikimchukua tumchukue umri wa kwenda shule labda mwakani na tumtafutie boarding ili akirudi likizo awe anaenda kwa mama yake, unaonaje hili

U see nw mpnz! Huo umri mdogo sn kumpeleka boarding school,imagine agekuwa wako,ungefanya hivyo!!?
...no my dia,mwache apate mapenzi ya mama yake!
...nikikwambia shida za hawa watt huwezi tamani hata kidogo kumlea!
..though najua sio wote,bt who knws!?
...so ushauri wangu,mwache kwa mama yake maadam yupo na hajaolewa,wee omba Mungu tu amlinde mumeo asiendeleze hayo mahusiano.(mwanamke mlinzi wa familia/mume wake)
 
thanx kwa concern ma dr, coz so far huyo mama hajasema anataka alete mtoto kwetu sema tu hua anaomba matumizi na ma husband ananiambia

You are clearly insecure and feel treatened by the baby's mum.its okay to feel that way hata mie ningefeel that way

Muache tu aombe hayo matumizi,ila akija hapo nyumbani itakuwa balaa
 
Kuwa na amani tu na ukubali ukweli kwamba mawasiliano ya wazazi hao lazima yawepo maana mtoto ni kiunganishi chao.
Mwache alee mtoto wake mamii,uwenda ukawapa nafas zaid pindi utakapochukua mtoto.

Thanks dr, acha niache kufikiria negative nkajipa presha bure
 
Uwiii tena wadada kama hao kisa hawajaolewa wanakuaga wasumbufu kissa mtoto kaza buti mtazame mungu laasivyo visingizio vitakua mtoto

Usiniambie nianze piga maombi apate mume atakayemfanya hata matumizi ya mtoto asiwaze
 
U see nw mpnz! Huo umri mdogo sn kumpeleka boarding school,imagine agekuwa wako,ungefanya hivyo!!?
...no my dia,mwache apate mapenzi ya mama yake!
...nikikwambia shida za hawa watt huwezi tamani hata kidogo kumlea!
..though najua sio wote,bt who knws!?
...so ushauri wangu,mwache kwa mama yake maadam yupo na hajaolewa,wee omba Mungu tu amlinde mumeo asiendeleze hayo mahusiano.(mwanamke mlinzi wa familia/mume wake)

Kiukweli ningekua mimi nahisi ningeendelea tu mlea mwanangu coz naamini sana katika mapenzi ya mama kuliko baba nachowaza ni hiyo cake ya mapato kuigawanya huku na huku
 
Kuliko kumtunza mtoto kuliko kumtunza baba yake. (Nimeongea kigogo hapo)...
 
Back
Top Bottom