Muache alelewe na mama yake,kwani wakati unaolewa hukujua ana mtoto......
matumizi awe anatuma tu my dia.....,
nilijua mpenzi ila nahisi kama sina amani hivi coz huyo mama hajaolewa nahisi kama atakua huru na visingizio kibao kuhusu mtoto, natamani apate mume haraka nipunguze presha
Akikubali ni heri umlee huyo mtoto mwenyewe! honestly...
I can understand how you feel and couldn't even begin to really imagine how I would react in your circumstances
it is a difficult thing to accept but it's reality............
ila muache alelewe na mama ake kulea mtoto asio wako ni kazi mara 2........
miaka 3!!?mwache alelewe na mama yake!kuzaa aze mwingine ulee ww kisa?tulia
..acha atume matumizi
...ww hujawa mama bado subiri wako!
....Km wana mpango wa kuendelea na hayo mawasilino,hata ukimchukua wataendelea tu,tena ndo utakua umewapa nafasi! Ww unafikiri huyo mwenzio anafurahi kuachwa?tena wanaweza kuongeza mwingine hawana akili hawa!
..acha awe busy kulea baba kazi yake ni kutuma matumizi mpaka mama atakapoolewa ndo aje kwako,kutuma matumizi sio lzm waonane unless kuna kitu kinaendelea
Weeeeeeeeeeeeee! Ishia hapo hapo! Muache huko huko kwa mama yake!
Yaani ukilogwa kujitia una mamy spirit na kumleta jianadae na yafatayo
nisaidie faida za kumlea huyo mtoto ukiihusisha ndoa yangu tafadhali mkuu.pili nilikua nawaza kama nikimchukua tumchukue umri wa kwenda shule labda mwakani na tumtafutie boarding ili akirudi likizo awe anaenda kwa mama yake, unaonaje hili
thanx kwa concern ma dr, coz so far huyo mama hajasema anataka alete mtoto kwetu sema tu hua anaomba matumizi na ma husband ananiambia
Kuwa na amani tu na ukubali ukweli kwamba mawasiliano ya wazazi hao lazima yawepo maana mtoto ni kiunganishi chao.
Mwache alee mtoto wake mamii,uwenda ukawapa nafas zaid pindi utakapochukua mtoto.
U see nw mpnz! Huo umri mdogo sn kumpeleka boarding school,imagine agekuwa wako,ungefanya hivyo!!?
...no my dia,mwache apate mapenzi ya mama yake!
...nikikwambia shida za hawa watt huwezi tamani hata kidogo kumlea!
..though najua sio wote,bt who knws!?
...so ushauri wangu,mwache kwa mama yake maadam yupo na hajaolewa,wee omba Mungu tu amlinde mumeo asiendeleze hayo mahusiano.(mwanamke mlinzi wa familia/mume wake)