Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Mojawapo ya vikwazo tunavyokumbana navyo wanaume tunapokuwa tunammendea mwanamke ni jinsi ya kumuanza mwanamke. Utamuanzaje. Sio siri hapo ndipo huwa kuna mtihani mkubwa sana.
Hivi unakumbuka siku ile ukiwa bar, ukamuona mtoto mkali hatari. Udenda ukakutoka mwanaume. Ukijiuliuza utaanzaje ili angalau upate namba yake. Ili umcheki baadae. Lakini mara tu unapoamua kumfuata, unaona miguu yote inakuwa mizito. Moyo unakwenda mbio, kifua kinakaribia kupasuka. Na hata ukijatahidi sana kwenda kumfuata. Utaishia kumuuliza hivi huko kwenu mvua imenyesha?.
Unapomuona mwanamke unakuwa na hofu na maswali mengine. Unakuwa unafikiri sijui hata vutiwa na mimi, labda ana bwana mwingine, au atanipiga kibuti.
Tatizo lako kubwa ni kwamba hauna confidence. Haujiamini. Fullstop.
Unakuwa unafikiri labda huyu mwanamke atakuona huna sifa anazotaka, hauna gari nzuri, hauna six pack. Ndugu yangu mchawi mkubwa ni wewe mwenyewe.
Ufanye nini sasa
1.Unapomuona mtoto mkali, hakika unakuwa na confidence. Jiamini. Wanawake wote wanapenda wanaume wanaojiamini. Kwa sababu wanajua watuwa salama. Ukibabaika ujue utamkosa huyo mtoto.
2.Unapomuona mtoto mkali tulia, usipapalike, usiongee kama unafukuzwa. Usibane sauti yako. Usiongee kwa kusita sita. Utahitaji kufanya mazoezi ya jinsi ya kutumia sauti yako.
Toka nenda barabarani. Fanya mazoezi. Ukimuona mwanamke mfuate. Msalimie. "Mrembo mambo vipi" endelea. Ongea kwa kujiamini. Ukikwama rudi hapa niambie umekwama wapi.
Kazi ni kwako.
Hivi unakumbuka siku ile ukiwa bar, ukamuona mtoto mkali hatari. Udenda ukakutoka mwanaume. Ukijiuliuza utaanzaje ili angalau upate namba yake. Ili umcheki baadae. Lakini mara tu unapoamua kumfuata, unaona miguu yote inakuwa mizito. Moyo unakwenda mbio, kifua kinakaribia kupasuka. Na hata ukijatahidi sana kwenda kumfuata. Utaishia kumuuliza hivi huko kwenu mvua imenyesha?.
Unapomuona mwanamke unakuwa na hofu na maswali mengine. Unakuwa unafikiri sijui hata vutiwa na mimi, labda ana bwana mwingine, au atanipiga kibuti.
Tatizo lako kubwa ni kwamba hauna confidence. Haujiamini. Fullstop.
Unakuwa unafikiri labda huyu mwanamke atakuona huna sifa anazotaka, hauna gari nzuri, hauna six pack. Ndugu yangu mchawi mkubwa ni wewe mwenyewe.
Ufanye nini sasa
1.Unapomuona mtoto mkali, hakika unakuwa na confidence. Jiamini. Wanawake wote wanapenda wanaume wanaojiamini. Kwa sababu wanajua watuwa salama. Ukibabaika ujue utamkosa huyo mtoto.
2.Unapomuona mtoto mkali tulia, usipapalike, usiongee kama unafukuzwa. Usibane sauti yako. Usiongee kwa kusita sita. Utahitaji kufanya mazoezi ya jinsi ya kutumia sauti yako.
Toka nenda barabarani. Fanya mazoezi. Ukimuona mwanamke mfuate. Msalimie. "Mrembo mambo vipi" endelea. Ongea kwa kujiamini. Ukikwama rudi hapa niambie umekwama wapi.
Kazi ni kwako.