Jinsi ya kumtongozwa mwanamke na akakubali!

Jinsi ya kumtongozwa mwanamke na akakubali!

Kwani demu anapomuona mwanaume mara ya kwanza anakuwa anajua hana pesa. Kuna jamaa kibao hawana pesa lakini wanachukua watoto wakali. Siri kubwa kujiamini tu
Dawa ni mbili tu! Ya KWANZA uwe na pesa!! Ama uwe na mvuto! Kujiamini kwa "Ukweli" kunakuja pale unapokuwa na vitu hivyo! Ili uwe 'magic man' basi uwe na vyote vitatu kwa mpigo!! Lazima uhamishwe mtaa!!
 
Points nimeilewa vizur tu na ndio uhalisia was mapenzi yetu

Mtoto wa kike yoyote kidume chake kikiwa na pesa basi anakua kama kipofu haoni kasolo hata kama jamaa anamwili kama was lemutuz huwa haoni


Lakn pesa zikiisha ndo anaanza kushutuka eeehe kumbe jamaa anamuonekano mbaya maneno konki mchawi pesa
Hapana....naamini katika mapenzi ya kweli.
ila siamini katika mapenzi bila pesa mkuu
 
Sure
Dawa ni mbili tu! Ya KWANZA uwe na pesa!! Ama uwe na mvuto! Kujiamini kwa "Ukweli" kunakuja pale unapokuwa na vitu hivyo! Ili uwe 'magic man' basi uwe na vyote vitatu kwa mpigo!! Lazima uhamishwe mtaa!!
 
Tafuta pesa kwa bidiii jitaidi kufanya mazoezi ili mwili wako usiwe kama wa lemutuz


Akiyamungu kusumbuliwa na hawa mademu utasikia kwa wenzio tu
 
Tafuta pesa kwa bidiii jitaidi kufanya mazoezi ili mwili wako usiwe kama wa lemutuz


Akiyamungu kusumbuliwa na hawa mademu utasikia kwa wenzio tu
Hii ni ishara kuwa kuna tatizo la kutokujiamini
 
Points nimeilewa vizur tu na ndio uhalisia was mapenzi yetu

Mtoto wa kike yoyote kidume chake kikiwa na pesa basi anakua kama kipofu haoni kasolo hata kama jamaa anamwili kama was lemutuz huwa haoni


Lakn pesa zikiisha ndo anaanza kushutuka eeehe kumbe jamaa anamuonekano mbaya maneno konki mchawi pesa
Swadaktaaaa
Mchawi pesa.....mapenzi mbwembwe tu
 
Naomba ieleweke Once umezaliwa na disability ya udomo zege nakuhakikishia hutaweza tongoza demu yoyote
 
Mojawapo ya vikwazo tunavyokumbana navyo wanaume tunapokuwa tunammendea mwanamke ni jinsi ya kumuanza mwanamke. Utamuanzaje. Sio siri hapo ndipo huwa kuna mtihani mkubwa sana.

Hivi unakumbuka siku ile ukiwa bar, ukamuona mtoto mkali hatari. Udenda ukakutoka mwanaume. Ukijiuliuza utaanzaje ili angalau upate namba yake. Ili umcheki baadae. Lakini mara tu unapoamua kumfuata, unaona miguu yote inakuwa mizito. Moyo unakwenda mbio, kifua kinakaribia kupasuka. Na hata ukijatahidi sana kwenda kumfuata. Utaishia kumuuliza hivi huko kwenu mvua imenyesha?.

Unapomuona mwanamke unakuwa na hofu na maswali mengine. Unakuwa unafikiri sijui hata vutiwa na mimi, labda ana bwana mwingine, au atanipiga kibuti.

Tatizo lako kubwa ni kwamba hauna confidence. Haujiamini. Fullstop.
Unakuwa unafikiri labda huyu mwanamke atakuona huna sifa anazotaka, hauna gari nzuri, hauna six pack. Ndugu yangu mchawi mkubwa ni wewe mwenyewe.
Ufanye nini sasa
1.Unapomuona mtoto mkali, hakika unakuwa na confidence. Jiamini. Wanawake wote wanapenda wanaume wanaojiamini. Kwa sababu wanajua watuwa salama. Ukibabaika ujue utamkosa huyo mtoto.

2.Unapomuona mtoto mkali tulia, usipapalike, usiongee kama unafukuzwa. Usibane sauti yako. Usiongee kwa kusita sita. Utahitaji kufanya mazoezi ya jinsi ya kutumia sauti yako.

Toka nenda barabarani. Fanya mazoezi. Ukimuona mwanamke mfuate. Msalimie. "Mrembo mambo vipi" endelea. Ongea kwa kujiamini. Ukikwama rudi hapa niambie umekwama wapi.

Kazi ni kwako.
Nimekwama mkuu...nimemsalimia nae kaitika fresh..baada ya kusalimiana ananiuliza niseme shida yangu.....hapa niingie na gia gani au ninyooke moja kwa moja kuwa nakupenda? Msaada maana nimemwambia naongea na cm ananisubilia
 
Nimekwama mkuu...nimemsalimia nae kaitika fresh..baada ya kusalimiana ananiuliza niseme shida yangu.....hapa niingie na gia gani au ninyooke moja kwa moja kuwa nakupenda? Msaada maana nimemwambia naongea na cm ananisubilia
Huwezi kuingia na gia hiyo. Muulize kama ana haraka sana. Kama ana haraka ni muda wa kuomba namba ya simu, kama hana
 
Mojawapo ya vikwazo tunavyokumbana navyo wanaume tunapokuwa tunammendea mwanamke ni jinsi ya kumuanza mwanamke. Utamuanzaje. Sio siri hapo ndipo huwa kuna mtihani mkubwa sana.

Hivi unakumbuka siku ile ukiwa bar, ukamuona mtoto mkali hatari. Udenda ukakutoka mwanaume. Ukijiuliuza utaanzaje ili angalau upate namba yake. Ili umcheki baadae. Lakini mara tu unapoamua kumfuata, unaona miguu yote inakuwa mizito. Moyo unakwenda mbio, kifua kinakaribia kupasuka. Na hata ukijatahidi sana kwenda kumfuata. Utaishia kumuuliza hivi huko kwenu mvua imenyesha?.

Unapomuona mwanamke unakuwa na hofu na maswali mengine. Unakuwa unafikiri sijui hata vutiwa na mimi, labda ana bwana mwingine, au atanipiga kibuti.

Tatizo lako kubwa ni kwamba hauna confidence. Haujiamini. Fullstop.
Unakuwa unafikiri labda huyu mwanamke atakuona huna sifa anazotaka, hauna gari nzuri, hauna six pack. Ndugu yangu mchawi mkubwa ni wewe mwenyewe.
Ufanye nini sasa
1.Unapomuona mtoto mkali, hakika unakuwa na confidence. Jiamini. Wanawake wote wanapenda wanaume wanaojiamini. Kwa sababu wanajua watuwa salama. Ukibabaika ujue utamkosa huyo mtoto.

2.Unapomuona mtoto mkali tulia, usipapalike, usiongee kama unafukuzwa. Usibane sauti yako. Usiongee kwa kusita sita. Utahitaji kufanya mazoezi ya jinsi ya kutumia sauti yako.

Toka nenda barabarani. Fanya mazoezi. Ukimuona mwanamke mfuate. Msalimie. "Mrembo mambo vipi" endelea. Ongea kwa kujiamini. Ukikwama rudi hapa niambie umekwama wapi.

Kazi ni kwako.

Wanaume wa siku hizi haswa vijana wa mjini, akiona mwanamke mzuri tu amsemeshi pale pale, atamuangalia jinsi alivyo na kumfuatilia baada ya siku kadhaa. Kabla ya hapo, atasuka nywele kwanza, atoboe masikio, akanunue suruali inayobana mapumbu na isiyoifika matakoni, yaani haistili matako yake ili avae mlegezo, atatoboa pua, kisha atapaka lipstick. Akijiangalia kwenye kioo akiona anafanana na mwanamke ndipo ataenda kumtokea huyo demu na mapozi ya kibongo fleva, atajifanya anabana pua kuongea broken English ya wamarekani weusi na lafudhi ndeeeefu isiyoeleweka, huku akibinya mapumbu. Kicheko kinakuja pale anapotolewa nje na huyo demu, ghafla anarudi katika hali yake ya kawaida na sauti yake ya kawaida inarudi na kuanza kumkashifu bi dada, malaya gani wewe kwanza sijuwi ukoje, katika mademu we ni demu? Hivi tujiulize, mwanamke gani mwenye akili timamu anayetaka kutoka na mwanamme anayefanana kama demu au mwanamme asiyejitambua?
 
Back
Top Bottom