Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
😆😆sababu huletwa na kitu ujue 😅😅Jamaan kwan mie nanini
Usitafutw sababu zako ujueeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆sababu huletwa na kitu ujue 😅😅Jamaan kwan mie nanini
Usitafutw sababu zako ujueeee
😅😅
Hahaha hata kama, iko kitu mie sinacho[emoji38][emoji38]sababu huletwa na kitu ujue [emoji28][emoji28]
😅😅😅hichi kitakuwa kimechanganyika sukari na chumvi kwa pamoja ..Hahaha hata kama, iko kitu mie sinacho
Hahaha umenifurahisha, ni mawazo mazur lkn hamna mwanamke atakayeweza yatekeleza.Na mwanamke anayejielewa kuliko kumsaliti mumewe hata Kama Kuna gumu lililoshindikana ni heri amuache mume aende zake nae atulie asubiri Qadar yake sio kuchepuka
Hahahahaha chiz sana weee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]hichi kitakuwa kimechanganyika sukari na chumvi kwa pamoja ..
Sasa chako kama hakuna sukari basi kina chumvi ya mawe ile ya Ruth[emoji28][emoji28]
Unakubalije nikushinde kirahisi namna hiyo..sipendi wanaume wanaoishia katikati ujue😆😆😆😆Hahahahaha chiz sana weee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenishinda
Sehem ilobaki tutashindania kwa BedUnakubalije nikushinde kirahisi namna hiyo..sipendi wanaume wanaoishia katikati ujue[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Njoo tuendelee kushindana
Napendaga ugali na kitonga pamoja na tule tudagaa tea kulumagia😂😂sasa fanya ugali uwe mgumu we naeSehem ilobaki tutashindania kwa Bed
Sahiz ngoja nikupikie.
Mnayaona kwa wenye akili nusuHahaha umenifurahisha, ni mawazo mazur lkn hamna mwanamke atakayeweza yatekeleza.
Situnawaona uku Duniani
ngoja nikupe mfano... Kuna wanawake Dini zao zinaruhusu Waolewe watatu mpaka wanne ...sio???.Mnayaona kwa wenye akili nusu
Mwenye timamu zake mmeshindwana kuelezana na kurekebishana, mnaachana ili kila mtu afanye kwa Uhuru linalompendeza na analoliamini.
Moto hauzimwi kwa moto
Siasa mbaya sanakwamba tukichezea za mbavu utaturudishia ada zetu?
Kwa unavyowaza hata nikikujibu najichosha tungoja nikupe mfano... Kuna wanawake Dini zao zinaruhusu Waolewe watatu mpaka wanne ...sio???.
Sasa basi, kama unadhan ni rahisi mwanamke kumuacha mumewe sababu kama hiyo hahahaha
Mf mzur, wee ni muslim?? Ukigundua jamaa wako anachapa nje, ukamuuliza akakuambia anataka amfanye mke wa pili??
Utamuacha????.... Je Wewe una akili nusu???
Ndio maana nmekuambia ivi, una mawazo mazuri lkn HAYATEKELEZEKI KWA WANAWAKE WA TANZANIA HAPA.
Sasa vivo hivo, kwa mwanamke anayechapwa nje !!!. hawezi kirahis rahis kuachana na Ndoa yake sababu anamchepuko.
atakua na wivu kwa mchepuko wake, atampenda sana, lkn Atajitahidi Ndoani aendelee kuwemo.
Waliooa utawajua tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pumbafu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaaa umenipa njaaaaUtakuta Kuna kajamaa humu kataenda kaanze kuongea kwa kutawanya mikono na kujipiga piga kifua eti kaopoe mke wa mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana hasira sana hahahaWaliooa utawajua tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]