Jinsi ya kunyoa nywele private hair kwa majivu na mshumaa au kibatari

Status
Not open for further replies.
natafuta ndugu yangu leta huo ujuzi leo jamani! mie nataka niwe wakwanza kutumia hicho kibatari kunyolea humu jf nilete na mrejesho

somo linashindwa kuanza kwa sababu ya picha ujue!...na mrejesho ili unoge nao inabidi uwe na picha pia!
najitolea kuwa mpigaji...buuuuuure kbs!
 
Last edited by a moderator:

mmmh huyo aliyechukua laptop arudishe tupewe somo
 

mkuu nashanunua kibatari na majivu nimetunza tangu siku umetoa huu uzi ila husemi procedures
 
Teaching materials zinakwamisha somo kuanza.
 
Hakuna haraka ya kuyanyoa, nayatunza katika mazingira mazuri sana. Toka mwaka 2009 sijayanyoa, wala sio utani.

Hayazuii mtu kushika maiki na kuimba.

Weka picha tuone vizuri .ili nawengine tucopy na kupaste .usiogope usionyeshe sura tunataka kuona pubic hair yako iliyodumu kwa miaka 6 km pocble mi ni msusi
 
natafuta ndugu yangu leta huo ujuzi leo jamani! mie nataka niwe wakwanza kutumia hicho kibatari kunyolea humu jf nilete na mrejesho
nashindwa kuweka picha unawekaje
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…