Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
natafuta ndugu yangu leta huo ujuzi leo jamani! mie nataka niwe wakwanza kutumia hicho kibatari kunyolea humu jf nilete na mrejesho
Hvi public hair kwa kimatumbi ndio mavuz.i au?
Helo wenyewe,
Leo ni weekend ni siku ya usafi.kuna sayansi ya asili nilifundishwa na bibi yangu jinsi ya kujinyoa huko bila kuacha madhara kama mjuavo nyembe zimekuja miaka huii tu naomba idhini ya jukwaa hili ili niwafundisheni.uzungu unatesa mapele kibao,
Naogopa kuandika bila ruhusa halafu matusi sitaki wala pm siitaji mtu yoyote. Naingia kwaya nitatoka saa moja nikiruhusiwa nitawapa somo.maana wengine maeneo yao yanatisha yamezeeka wakati bado Tu vijana
Update kwanza samahanini nilichelewa kurudi jmosi.Nimeshindwa kuendelea maana nashindwa kuweka picha nielekezeni.nikiwafundisha hatua kwa hatua na picha ndo mtaelewa.
Kama msiponiona nipo busy nasoma mitihani keshokutwa board!
Say no to gillete
mmmmmh! mwaka wa 6??
unasukaga au rasta
Hakuna haraka ya kuyanyoa, nayatunza katika mazingira mazuri sana. Toka mwaka 2009 sijayanyoa, wala sio utani.
Hayazuii mtu kushika maiki na kuimba.
uwii picha mkuu tupeleke kwenye maonesho
Weka namba ya wasapu nikutumie.
Helo wenyewe,
Leo ni weekend ni siku ya usafi.kuna sayansi ya asili nilifundishwa na bibi yangu jinsi ya kujinyoa huko bila kuacha madhara kama mjuavo nyembe zimekuja miaka huii tu naomba idhini ya jukwaa hili ili niwafundisheni.uzungu unatesa mapele kibao,
Naogopa kuandika bila ruhusa halafu matusi sitaki wala pm siitaji mtu yoyote. Naingia kwaya nitatoka saa moja nikiruhusiwa nitawapa somo.maana wengine maeneo yao yanatisha yamezeeka wakati bado Tu vijana
Update kwanza samahanini nilichelewa kurudi jmosi.Nimeshindwa kuendelea maana nashindwa kuweka picha nielekezeni.nikiwafundisha hatua kwa hatua na picha ndo mtaelewa.
Kama msiponiona nipo busy nasoma mitihani keshokutwa board!
Say no to gillete
Hakuna haraka ya kuyanyoa, nayatunza katika mazingira mazuri sana. Toka mwaka 2009 sijayanyoa, wala sio utani.
Hayazuii mtu kushika maiki na kuimba.
sina simu mkuu weka tu apa apaa
Nadhani ila uwe mshapuje itafaa na kunyoa ndevu ama