Jinsi ya kuona sayari kwa macho

Jinsi ya kuona sayari kwa macho

Kama kuna majani yoyote wanatumia waache mara moja.
Mwanzo Wazungu na NASA waliamini hivyo hivyo. Baadaye wakaja kuziona hizi Sayari zote. Wakaiona SIRIUS na zile nyingine mbili na baada ya Miaka mingi, wakaiona hiyo Nyota ambayo Dogoni waliisema. Ndiyo maana wanaitwa ASTRONAUTS.


 
Hii ni sayari gani
Kama aliiona Magharibi jioni Basi ni VENUS. Venus inaonekana kubwa kuliko Nyota zote. Kama jioni ilikuwa juu ya utosi Basi ni Jupiter ambayo ni ya pili kwa kuwaka na Kama ilikuwa Mashariki na Wekundu kidogo ni MARS.
 
Kama aliiona Magharibi jioni Basi ni VENUS. Venus inaonekana kubwa kuliko Nyota zote. Kama jioni ilikuwa juu ya utosi Basi ni Jupiter ambayo ni ya pili kwa kuwaka na Kama ilikuwa Mashariki na Wekundu kidogo ni MARS.
Mkuu, hii ilikuwa Magharib. Saa 1 jioni
 
882C1144-098D-4C4D-B1AF-1DB4473FD13A.jpeg
 
Unafaa kuajiriwa NASA Kabsaa maana picha safi ang'avu. Ntaangalia siku Moja uhai ukowepo kama nami ntaziona.
Hahahaha!
Wanadai zitaendelea kuonekana mwezi huu wote.

Mungu ni mwema atakujalia afya njema.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom