Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

cardio exercises plus punguza kula more carbs kula zaid protein, fats esp frm mimea, matunda na vegetables usisahau plenty if water, withn a month tu utaona changesn..hamna uchawi wala dawa sijui utameza tumbo liishe..zingatia ushauri huu
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Lala chali, nyoosha miguu vizuri kisha inyanyue (huku umeibananisha) mara 30 na kuendelea. Fanya hivo asubuhi na jioni, ndani ya siku 5 tumbo limeisha.

Mwenyewe nina kilo zaidi ya 100 na sina kitambi alhamdulillah.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Piga mazoezi tuuh amna namna ruka kamba,kimbia punguza kula kunywa maji mengi two weeks utaona mabadiliko,,,alafu hii tabia yakushindilia dona usiku Kama mpasua mbao kisha unalala wacha mara moja[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38]....Mkuu umenichkesha eti mpasua mbao...Mimi kazi zangu hazinitoei jasho Sana.. ila ntafuata ushauri
 
Lakini ukipeana si unawezana???
Usitake kuvilazimisha vidole vyako vilingane,tangia imewekwa misingi ya dunia kuna warefu na wafupi,wanene na wembamba,
Nawezana..Mkuu..Basi TU nikiona wadada kwa mitandao wanaflat tummy najiona Kama nakosoro flani hivi...Pia kiafya Sio nzuri..
 
Ntafanyiwa enema..labda nikitoa mavi yaoote kitambi kitapungua.

Hivi hio procedure sio kwa watu wenye constipation??? mwenzako nataka kujaribu hii ya Forever Living, nimeona reviews ni nzuri nataka kujaribu, inaitwa C9
 
Hivi hio procedure sio kwa watu wenye constipation??? mwenzako nataka kujaribu hii ya Forever Living, nimeona reviews ni nzuri nataka kujaribu, inaitwa C9
Acha kuibia watu na madawa yenu ya kiajabu ajabu,haya madawa yenu yamekuwa vyanzo vikuu vya magonjwa ya ini na figo

ÑB muhusika wa unene usijaribu kudanganywa eti tumia forever living au sijui Ngetwa,hizi dawa ni hatari sana kwa afya za watu
 
Acha kuibia watu na madawa yenu ya kiajabu ajabu,haya madawa yenu yamekuwa vyanzo vikuu vya magonjwa ya ini na figo

ÑB muhusika wa unene usijaribu kudanganywa eti tumia forever living au sijui Ngetwa,hizi dawa ni hatari sana kwa afya za watu

Asa nawaibia watu nini? mbona hapa ni watu wazima?? siuzi mimi, nilipewa tu recommendation na mimi nikaona ni pass kwa wengine,una ushahidi hio C9 inasababisha magonjwa ya ini, please share...
 
Hivi hio procedure sio kwa watu wenye constipation??? mwenzako nataka kujaribu hii ya Forever Living, nimeona reviews ni nzuri nataka kujaribu, inaitwa C9
Nlishawai ijaribu..Miaka hiyo nlikua na tumbo la kawaida TU.. lakini results zake Ni short term..alafu Ni ghali. Ukiacha TU Kutumia kg zinarudi... Labda uamue kufanya mazoezi na kula healthy Kama lifestyle
 
Nimefutuka sawasawa, tumbo ni inchi 31, hips 47, na Mimi nataka kupungua aisee
 
Situmii pombe kabisa Yaaani... Hata nyama choma Ni Mara Moja moja... Chakula changu main Ni wali harage mboga za majani...chai Andazi au chapati.
Kwa mlo huo sahau kitambi Kuisha....halafu kitambi hakimalizwi na mazoezi utapoteza muda wako
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Njia pekee ambayo utaweza maliza kitambi Kwa afya kabisa Kwanza usijilinganishe mwili wako na mtu mwingine kama wewe ni mnene kama shishi usije ukajipa moyo kuwa kama flaviana mana utaishia kufanya crush diet ambayo itadhoofisha mwili wako na kuibui magonjwa mengine kama mifupa kudhoofu kuumwa mgongo nanhautokaa upone,


Kwanza jikubali,badilisha mfumo wako wa kula sio Kwa mda mfupi Bali iwe lifestyle yako utapungua na baada ya mda utatarget kg zako na mwili wako yani hautopungua wala kuonhezeka (nzuri Kwa afya) hii ukiishi Kwa style hii mfano weekend ukijiachia na junk foods or naweza sema vyakula ambavyo unajua unavipenda na huwezi acha Ila vinanenepesha unachagua siku maalum kula usiache kabisa kula kisa kitambi ,


Kula wanga wenye nyuznyuzi kama vile ndizi,viazi mihogo mkate brown,ugali wa Donna mboga mboga Kwa wingi kuku au samaki maji mengi juice za asili epuka vyakula vya kusindikwa vyakula vya kuoka,kubanika vizur zaidi pia dinner jitahid saa mbili usiku na ukae masaa mawili kabla ya kulala sio ule ukapande kitandani na usile vyakula vizito usiku

Asbh unapoamka unaweza kunywa tangawizi hakikisha kali inawasha kamulia limao ukishaepua maji na kuchuja kwenye kikombe weka apple cider vinegar vijiko viwil chakula na asali same koroga kunywa hii Ni empty stomach ukimaliza kama Kuna uwanja wa kukimbia au barabara(road side jogging) fanya hvo au kiruka kamba walau 30mn ofcourse utasweet na kama ulikua umekunywa beer or vyakula vibaya kuharisha muhimu ukirud unaweza ukaoga na kujiandalia soft breakfast kama vile maziwa juice mkate brown au mihogo


Ila kwakuwa umelenga kitambi naomba nikupe hii as breakfast kama hakitopungua itakua umelogwa[emoji23][emoji23]. Baby spinach kiganja kimoja,mtindi glass moja au maziwa no fully creamy tafadhar parachichi kipande,ndizi mbili maji nusu glass kunywa hiyo 21days itakufanya uwe fully hasa kama mtokaji asbh na pia ni easy breakfast unabrend baada ya cku 21 naomba niletee mrejesho na bia zangu mbili from there utakua ukibadilisha breakfast za aina mbalimbali na smooth za aina mbalimbali pia utakua na Ngozi nzuri,mwili mzuri stress-free fully healthy,


Ps;Hakuna dawa za kupunguza unene (mwili) zaidi ya healthy lifestyle

Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
 
Mh...nshawai tumia semgogwe..niliharisha kiasi Kwamba. Nikaishiwa nguvu...tumbo linauma balaaaa
1. Tengeneza juice ya ukwaju pure (uchemshe na usiweke sukari au asali) na kunywa asubuhi kabla ya kula chochote. Ukiweza kunywa na jioni. Utaharisha. Komaa na hii kitu kwa hata miezi miwili. Kama upo Dar, ukwaju unapatikana masokoni kama Kkoo, Mwenge, Mabibo.

2. Punguza au acha kabisa kutumia sukari (chai, soda, juice za hotelini ambazo zimejaa sukari, pombe iliyozidi etc)

3. Anza kula nusu ya kiasi cha chakula unachokulaga normally (chapati moja instead of 2, mpakuo mmoja wa wali instead of 2, nusu ya samaki badala ya mzima etc etc)

4. Zidisha unywaji wa maji

5. Fanya mazoezi simple. Kama huwezi kujog, tembea. Kama huwezi kutembea, fanya home. Download app za mazoezi. Mimi natumia Nike Training (NTC) ipo kwa Android na Apple as well

Kila la kheri!
 
Back
Top Bottom