Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Mhu kwaresima ndiyo muda mzuri kuanza. Leo ni majivu hivyo unywe maji tu mpaka saa kumi na mbili, baadaye kunywa uji wa mchele tu wenye maziwa na ulale. Kesho kabla ya kazi kunywa maziwa mgando glass halafu nenda kazi. Kunywa maji mpaka saa nane weka salad. Rudi home weka mgando na salad halafu kalale. Amka usiku kunywa maji as you feel like.
Hii ipo simple kuifata!..
 
Hii ipo simple kuifata!..
Ruge angekunywa maji usiku angeishi Dr. wake alikuwa anashuri kuhusu maji. Ruge nasikia hakunywa pombe. Wanywa pombe wote kujeni hapa, kunywa maji usiku hata lita mbili ili muondoe sumu mwilini na mafuta.
cc Mshana jr., Mrangi na wengine. mimi karibu nastaafu.
 
Gym nahudhuria vizuri tu kila nitokapo kazini ila mabadiliko bado sijayaona.
Mbaya zaidi shemeji yako ananisema kila siku hataki hichi kitambi anasema naonekana mtu mzima akati bado ni kijana tu.
Hapa ndio napata stress mwenzio
Ni muda gani sasa tangu umeanza kuwa serious na gym?
 
Acha Chapati za maji aka biere

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
BUrn your Fat aiseeee

NJia Ya Kwanza Nzuri Ni Kufanya Fasting

Kama haujawa mzoefu nenda kwa siku tatu tatu
Unafanyaje?
hauli wala kunywa kutoka Asubuhi hadi usiku by saa tatu usiku Unakunywa nusu lita ya maji ya uvuguvugu
Asubuhi Saa 11-12 Unapiga tena nusu lita maji ya uvuguvugu baada ya hapo tukutane saa tatu usiku
Unafanya hivyo pasipo kula aina yoyote ya chakula kwa siku tatu
Then siku ya tatu ukisha kunywa maji usiku jitahidi usile hadi umekunywa maji zaidi afu unaona tumbo limekaa sawa unaongeza nusu lita nyingine ya maji ya uvuguvugu baada ya hapo aina ya chakula
ziwe ni mboga za maji zilizochemshwa na uweke na supu mkuu
asubuhi ya siku inayofuata ni maji na matunda kwa wingi usile chakula tofauti na hivi unakula kwa siku mbili then unarudi tena kama mwanzo

ukiwa unashindwa sana unafanya mara moja kila wiki but ukijiweza kila baada ya siku mbili unapiga siku tatu

-Mwili kukosa chakula unaanza kutumia mafuta yote yaliyozidi mwilini kama chakula so ni nzuri sana na ni salama
hautaondoa kitambi tu but utajitibu magonjwa mengi mengi sana ya ziada ambayo hata haukujua unayo then ni kama mwili unajireborn vile unakuwa imara sana na kinga zinakuwa na nguvu mno

Imenisaidia mmi binafsi imemsaidia na baba yangu so hii njia nimeitumia hata mimi binafsi japo kitambi hakipo but kila mwezi ninakuwa na siku tatu sometimes naenda kavu kabisa
So nipo kama katoto toto tuuu😀😀😀😛😛😛


Plan B
Tumia dawa ya kimasai ya kuondoa sumu mwilini
Aiseee Ukitumia hiii ukakamirisha he he he he he he jitahidi usie vyakula vya wanga kula sana vyakula vya protin
na kunywa maji kwa wingi
kuna mshikaji aliniambiaga hii ilimsaidia japo hakuwa na lengo la kuondoa kitambi but baada ya kutumia hiyo dawa ndio akbadili na diet ilimsaidia
Japo hizi za hapa mjini sina uhakika nazo kama zinaweza kufaa
 
1551859871077.png
1551859894005.png
1551859920550.png

1551859957245.png

Kuvitoa hivi vitu unaweza ukaambiwa maji ya Betri dawa na ukatafuta unywe...huna uhuru kabisa na maisha...
 
Mazoezi ni kwa ajili ya kuujenga mwili tu, ila sehemu kubwa ya unene inasababishwa na vyakula tunavyokula.
 
Ruge angekunywa maji usiku angeishi Dr. wake alikuwa anashuri kuhusu maji. Ruge nasikia hakunywa pombe. Wanywa pombe wote kujeni hapa, kunywa maji usiku hata lita mbili ili muondoe sumu mwilini na mafuta.
cc Mshana jr., Mrangi na wengine. mimi karibu nastaafu.

Huwezi jua kilichomuua ruge bado ni siri.
Ila MTU kufa kisa hujanywa Maji ni aibu. Kila Siku ma Dr wanapiga kelele tunywe hata Lita 2 kwa Siku.

Je unataka kusema ruge hili alikuwa halijui wakati ukishakuwa na tatizo la figo inabidi ujipe adhabu ya kunywa Lita 5kwa Siku na kuacha sukari na chunvi je ruge hakuambiwa???
 
Huwezi jua kilichomuua ruge bado ni siri.
Ila MTU kufa kisa hujanywa Maji ni aibu. Kila Siku ma Dr wanapiga kelele tunywe hata Lita 2 kwa Siku.

Je unataka kusema ruge hili alikuwa halijui wakati ukishakuwa na tatizo la figo inabidi ujipe adhabu ya kunywa Lita 5kwa Siku na kuacha sukari na chunvi je ruge hakuambiwa???
Samahani mimi nimeaangalia Dr. wake kwenye U tube ambaye amelelewa na Ruge na anasema Ruge alikuwa na matatizo ya Figo. Sijasema Ruge hakunywa maji ila nimemsikia Dr. wake anazidi kusisitiza kuwa maji ni muhimu kwa figo. You can put the dots together. Ingia U tube msikilize Dr. ambaye ni kijana alihojiwa kuhusu kifo cha Ruge ni mtanzania ambaye alikuwa recruited na Ruge.
 
Kwa kifupi aishi kama Mbuzi
Acha kula wanga kama mwezi hivi afu kila siku kimbia hata kilomita tatu lazma kiishe hicho..
Hapa usile ugali, wali, ndizi za kuiva, mikate mweupe, wewe kula protini na mboga za majani tu
 
Tutajaribu tu ,

Yaani nakumbuka nilivyokuwa flat nikivaa nguo inakaa mahala pake

baada ya kujifungua hiyo mitori na supu loooh nguo zote zilinibana nikaona mmh sasa naelekea kubaya

Ila MziziMkavu nilifanya jambo moja toka March naona mpaka sasa nimepunguza Kg 9
ili katumbo bado kidogo itabidi nianze situp
nakuona online,msaada hapa...... ulifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakunywa Castor Oil usiku nione kama nitajarisha. Nishanunua kichupa kimoja.
 
Back
Top Bottom