Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Afanye mazoezi ,aruke kamba ,jogging,apunguze vyakula vya wanga/protein ale zaidi mbogamboga,matunda ,maji mengi,ale zaidi vyakula vyenye roughage.atembe zaidi ya kutumia gari.nyumbani pia asiwe mvivu kwenye ndoa ni sehemu ya zoezi zuri
 
Wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.
nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.
nipo jijini dsm.
 
kunywa maji mengi ya uvuguvugu hasa saa nzima baada ya kula na nusu saa kabla ya kula. maji ya uvuguvugu husaidia kuyeyusha chakula (hasa mafuta mafuta) kwa haraka zaidi.
 
<font size="3"><span style="font-family: century gothic">Wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.<br />
nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.<br />
nipo jijini dsm.<br />
</span></font>
<br />
<br />
huogopi midawa ya kichina?
 
Dawa ya kitambi ni mazoezi tu na kupunguza kula vyakula vya kuzamisha kwenye mafuta au vyenye mafuta mengi. Tembea kila siku angalu kwa nusu saa, fanya jogging ukiweza au hata mazoezi binafsi chumbani angalau kwa nusu saa kila siku. Kama ni mnywaji punguza bia.
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;&lt;span style=&quot;font-family: century gothic&quot;&gt;Wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.&lt;br /&gt;<br />
nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.&lt;br /&gt;<br />
nipo jijini dsm.&lt;br /&gt;<br />
&lt;/span&gt;&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mimi nisingekushauri utumie hayo majani, maana kwa sababu za kibiashara, wachina huficha baadhi ya side effects. Nakushauri utumie vyakula asilia hasa matunda, fanya mazoezi ya kutembea kwa mwendo wa haraka, au kuogelea, au kuendesha baiskeli, au kama ingewezekana kukimbia lakini kwa hapo jijini sidhani, mara kwa mara usitumie lifti, timia ngazi ya kawaida, pia kunywa maji ya kutosha badala ya soda na juice za supermarkets.
 
Jaribu kufunga kwa mwezi mitatu mfulululizo ila uruke siku moja moja kwa mapumziko utaona majibu yake, halafu utakua balozi mzuri katika hili, pia baada ya zoezi hilo jaribu kuregulate aina ya vyakula unavyokula, muda wa kula, mfano usiku kula light food na usilale soon baada ya kula.







Wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.
nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.
nipo jijini dsm.
 
Tumia Forever Living products kama Aloe Vera Gel ya kunywa na kuna vidonge maalum tunavyo.

Approved by World Scientific Laboratory, no side effects.

Mimi mwenyewe nimetumia

Mimi ni Approved Distibuter.

Na wewe pia unaweza kuwa distributor kama unapenda

Visit traveltipsam.blogspot.com

or NI PM
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??

Yaani nimecheka hadi boss wangu kanitimua ofisini, ila sijamwambia ninacheka nini! Nimeshindwa mbavu zinaniuma sana kwa kucheka!
 
acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??


haaaaaa hi kali jamaa anafinya si mchezo, lakini labda anatumia zile dawa zetu je ndo maana anakula sana
 
Apunguze kula vyakula vya wanga kwa wingi...

Asubuhi - breakfast nyepesi (matunda + mboga na wanga kidogo kama mkate wa brown)

Lunch - Wanga kidogo + Maharage + Mboga za Majani kwa wingi

Dinner - Mboga za Majani + Matunda (Dinner iliwe walau Masaa 2 kabla ya kuingia kulala).

Anywe walau Lita 1 ya maji kwa siku.

Apate walau Masaa nane ya usingizi.

Afanye mazoezi ya viungo ikiwamo situps walau mara 3 kwa wiki.

ASINYWE POMBE.

Mifano ya Chakula ni "mifano tu" awe mbunifu kulingana na taste yake...ili mradi aepuke milo mizito kama Ugali, Wali, Mihogo, Vitumbua mara 3 kwa siku.


jAMANI HIYO DAYATI KWA WATANZANIA WATAIWEZA KWELI? WAMESHAZOEA MAHARAGE VIA WALI VIA NYAMA AKIBADILISHA UGALI
 
Ndugu zangu wana jf kama mjuavyo kitambi sio kizuri wala kuendekeza. Miaka ya karibuni tunashuhudia watu wakiburst vitambi wake kwa waume. Na matokeo yake ni maradhi na wengine wameshindwa kutimiziana haja zao za ndoa coz tumbo ni kubwa na linakuwa kero kwa maana ya kukosekana flexibility ya mwili. Hoja yangu naweza kutumia strategy zipi kuondo kabisa kitambi. Sio kupunguza, nataka kifutike kabisa.

Humu kuna wataalam, plz naombeni msaada, kitambi ni kero mno. Gym sometimes ni miyeyusho na hela inapotea bila mafanikio! Niliwai kusoma huku kuwa kuna mtu alikua anaenda gym matokeo yake mwalim wa gym akaanza kumtaka kimapenzi. Kwangu mimi ni changamoto, hainipi shida. What I want is to take off my obesity.
 
Kitambi, unene, utipwatipwa au uzito kupita kiasi ni tatizo linalosumbuwa watu wengi karibu kote duniani. hata mimi nimewahi kuwa na kitambi na kusema ukweli kilinisumbuwa sana lakini sasa sina kitambi tena na hakitanipata tena. Mtaani kila mmoja ana majibu yake. Mi nilifanya karibu kila aina ya mazoezi, kila aina ya kufuatilia chakula, lakini bado kitambi hakikunitoka. Nilifanyaje sasa?, mwili umebuniwa kujiendesha wenyewe, hauhitaji askari au risasi au mabomu kutoka kwingine, mwili wenyewe!. Fanya hivi leo, pima uzito wako na uandike tarehe na uzito na uhifadhi. Kuanzia kesho tembea kwa miguu lisaa limoja bila kusimama kutoka kituo A mpaka B, tembea spidi tu ya kawaida usijitese ili mradi bila kupumzika toka A mpaka B. Unapotembea kwa miguu saa moja bila kusimama unakuwa umekiamsha kimeng'enya (enzyme) cha kuchoma mafuta mwilini kiitwacho 'lipase' ambacho huamshwa kuanza kazi hiyo baada ya mwendo wa miguu wa saa moja na hubaki kikichoma mafuta kwa masaa 12. kwahiyo ikiwa utatembea lisaa limoja asubuhi na jingine jioni utakuwa umekiamsha kimeng'enya hiki kufanya kazi kwa masaa 24 (siku nzima)!! na kwa kuongeza, kimeng'enya hiki huondoa pia taka za kolesteroli. kwa hiyo kiamshe! kiamshe! kiamshe!. kumbuka pia kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kula chochote, punguza vyakula vya kukaanga katikati ya mafuta kama vile chips au maandazi na vingine vinavyopikwa kwa staili hiyo. Anza kesho kutembea na baada ya wiki mbili nitafute 0769779533 na usisahau kusoma: uzito, utipwatipwa/unene kupita kiasi | maajabu ya maji. ukifanikiwa wajurishe wengine.
 
Back
Top Bottom