Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa maana ya kwamba stress hupunguza unene..............huh,meipenda hyoKama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-
- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal
Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
wewe ndio greti thinka, unajua tiba za kupunguza kitambi kuu ni mbili tu, diet na mazoezi sasa mgonjwa akisema mazoezi hawezi inabidi umpatie prescription ya stress tu.kwa maana ya kwamba stress hupunguza unene..............huh,meipenda hyo
Mie nimeomba nielekezwe wapi naweza pata hizo majani ya chai.hayo ya jogging,maji ya moto sio ninachokitaka.
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
<br /><br />Kitambi, unene, utipwatipwa au uzito kupita kiasi ni tatizo linalosumbuwa watu wengi karibu kote duniani. hata mimi nimewahi kuwa na kitambi na kusema ukweli kilinisumbuwa sana lakini sasa sina kitambi tena<b> na hakitanipata tena</b>. Mtaani kila mmoja ana majibu yake. Mi nilifanya karibu kila aina ya mazoezi, kila aina ya kufuatilia chakula, lakini bado kitambi hakikunitoka. Nilifanyaje sasa?, mwili umebuniwa kujiendesha wenyewe, hauhitaji askari au risasi au mabomu kutoka kwingine, mwili wenyewe!. Fanya hivi leo, pima uzito wako na uandike tarehe na uzito na uhifadhi. Kuanzia kesho tembea kwa miguu lisaa limoja bila kusimama kutoka kituo A mpaka B, tembea spidi tu ya kawaida usijitese ili mradi bila <b>kupumzika toka A mpaka B. Unapotembea kwa miguu saa moja bila kusimama unakuwa umekiamsha kimeng'enya (enzyme) cha kuchoma mafuta mwilini kiitwacho 'lipase' ambacho huamshwa kuanza kazi hiyo baada ya mwendo wa miguu wa saa moja na hubaki kikichoma mafuta kwa masaa 12. kwahiyo ikiwa utatembea lisaa limoja asubuhi na jingine jioni utakuwa umekiamsha kimeng'enya hiki kufanya kazi kwa masaa 24 (siku nzima)!! na kwa kuongeza, kimeng'enya hiki huondoa pia taka za kolesteroli. kwa hiyo kiamshe! kiamshe! kiamshe!. kumbuka pia kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kula chochote, punguza vyakula vya kukaanga katikati ya mafuta kama vile chips au maandazi na vingine vinavyopikwa kwa staili hiyo. Anza kesho kutembea na baada ya wiki mbili nitafute 0769779533 na usisahau kusoma: <u><a href="http://www.maajabuyamaji2.artisteer.net/uzito" target="_blank">uzito, utipwatipwa/unene kupita kiasi | maajabu ya maji</a>. </u></b>ukifanikiwa wajurishe wengine.
asee nimecheka nusu kufa asee unatishaAcha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
<br />Bwana weee,maana hiyo menu,ushuz wake ukitoka<br /><br />
<br />
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
<br />Kamuone dr ndodi achana na hao wachina
Tumia Forever Living products kama Aloe Vera Gel ya kunywa na kuna vidonge maalum tunavyo.
Approved by World Scientific Laboratory, no side effects.
Mimi mwenyewe nimetumia
Mimi ni Approved Distibuter.
Na wewe pia unaweza kuwa distributor kama unapenda
Visit traveltipsam.blogspot.com
or NI PM