Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-

- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal

Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
kwa maana ya kwamba stress hupunguza unene..............huh,meipenda hyo
 
kwa maana ya kwamba stress hupunguza unene..............huh,meipenda hyo
wewe ndio greti thinka, unajua tiba za kupunguza kitambi kuu ni mbili tu, diet na mazoezi sasa mgonjwa akisema mazoezi hawezi inabidi umpatie prescription ya stress tu.
 
Wagonjwa wa dot com hao. Wako very specific na wanachotaka. Ndio maana nilisema madaktari wa sasa mna kazi maana mfano mimi naenda hospital nikiwa tayari nimesha google sasa nipe maelezo ya juu juu huone ntakavyokuhoji.

Mie nimeomba nielekezwe wapi naweza pata hizo majani ya chai.hayo ya jogging,maji ya moto sio ninachokitaka.
 
Umenichekesha. Nina dada yangu kaolewa mbeya. Mama alienda kuwasalimia wazee wenzake. Aliporudi wacha atuchekeshe. Anasema alipanda basi la kwenda kyela anasema watu njiani wanakula mwanzo mwisho. Mara zikipita ndizi, mtu anaita, mara mabifu, mara mayai. Sasa shughuli yake ni kubwa humo kwenye gari, watu wanaomba kuchimba dawa now and then.

Kwa kweli usipokuwa na descipline ukanenepa kuja kupungua ni ngumu sana.
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
 
Kitambi, unene, utipwatipwa au uzito kupita kiasi ni tatizo linalosumbuwa watu wengi karibu kote duniani. hata mimi nimewahi kuwa na kitambi na kusema ukweli kilinisumbuwa sana lakini sasa sina kitambi tena<b> na hakitanipata tena</b>. Mtaani kila mmoja ana majibu yake. Mi nilifanya karibu kila aina ya mazoezi, kila aina ya kufuatilia chakula, lakini bado kitambi hakikunitoka. Nilifanyaje sasa?, mwili umebuniwa kujiendesha wenyewe, hauhitaji askari au risasi au mabomu kutoka kwingine, mwili wenyewe!. Fanya hivi leo, pima uzito wako na uandike tarehe na uzito na uhifadhi. Kuanzia kesho tembea kwa miguu lisaa limoja bila kusimama kutoka kituo A mpaka B, tembea spidi tu ya kawaida usijitese ili mradi bila <b>kupumzika toka A mpaka B. Unapotembea kwa miguu saa moja bila kusimama unakuwa umekiamsha kimeng'enya (enzyme) cha kuchoma mafuta mwilini kiitwacho 'lipase' ambacho huamshwa kuanza kazi hiyo baada ya mwendo wa miguu wa saa moja na hubaki kikichoma mafuta kwa masaa 12. kwahiyo ikiwa utatembea lisaa limoja asubuhi na jingine jioni utakuwa umekiamsha kimeng'enya hiki kufanya kazi kwa masaa 24 (siku nzima)!! na kwa kuongeza, kimeng'enya hiki huondoa pia taka za kolesteroli. kwa hiyo kiamshe! kiamshe! kiamshe!. kumbuka pia kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kula chochote, punguza vyakula vya kukaanga katikati ya mafuta kama vile chips au maandazi na vingine vinavyopikwa kwa staili hiyo. Anza kesho kutembea na baada ya wiki mbili nitafute 0769779533 na usisahau kusoma: <u><a href="http://www.maajabuyamaji2.artisteer.net/uzito" target="_blank">uzito, utipwatipwa/unene kupita kiasi | maajabu ya maji</a>. </u></b>ukifanikiwa wajurishe wengine.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkuu heshima mbele, nakaza miguu na nakupigia Salut. Maelezo yako matamu sana, yamenifurahisha vibaya mno. Yote uliyoeleza ni sahihi ila naweka msisitizo katika unywaji wa MAJI.
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
asee nimecheka nusu kufa asee unatisha
 
Ok tayari baadhi ya watu wame ni PM kwa ajili ya dawa za kupunguza kitambi

Safi, mwingine kupunguza tumbo na unene
 
Changanya mdalasini kijiko kimoja, pilipili manga nusu kijiko, iliki unga nusu kiijiko, tangawizi unga nusu kijiko, ukwaju fumba, Chai i Kilimanjaro kijiko kimoja, mwarubaini maji nusu kikombe na pilipili kichaa nusu kikombe. Weka maji vikombe viwili chemsha na kunywa kijiko kikubwa kutwa mara mbili.:deadhorse:
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??

Aisee kisirisiri acha masihara, yani nimeonekana taahira kwani nimecheka mwenyewe nusu saa. hebu peleka hii jukwaa la jokes
 
nenda hospitali na zingatia ushauri wa daktari, usitafute shortcut itakucost sana ndugu!
 
&nbsp;&nbsp;&nbsp;nenda hospitali na zingatia ushauri wa daktari, usitafute shortcut itakucost sana ndugu!
 
acha pombe na vitimoto mkuu...............zingatia diet na mazoezi
 
Kamuone dr ndodi achana na hao wachina
<br />
<br />

Anayejiita dokta ndodi ni mshenzi, mpumbavu na tapeli mkubwa. Usipoteze muda wako kumtafuta huyo mlaghai mkubwa. Atakulia fedha zaidi ya milioni na mwisho wa siku hutaona mabadiliko yoyote. Watu wengi hivi sasa hawana hata hamu ya kumwona wala kumsikia akibwabwaja upuuzi wake kwenye tv au radio. Nashangaa sijui kwa nini serikali haijafuatilia tiba za huyu bwana na kumdhibiti mapema kabla watu wengi zaidi hawajaathirika.
 
Tumia Forever Living products kama Aloe Vera Gel ya kunywa na kuna vidonge maalum tunavyo.

Approved by World Scientific Laboratory, no side effects.

Mimi mwenyewe nimetumia

Mimi ni Approved Distibuter.

Na wewe pia unaweza kuwa distributor kama unapenda

Visit traveltipsam.blogspot.com

or NI PM

Hapo tayari kuna conflict of interest.
 
Back
Top Bottom