T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mimi tangu 2017 napiga pasi ndefu. Mazoea niliyatoa shuleni na sijawahi rejea hali ya kawaida. Nikilazimisha kula mchana usiku naweza nisile na nikapata njaa saa mbaya. Bora nile usiku, asubuhi chaiAiseee...Huo uvivu wakula hua mnautoa wapi jamani..mbona Mimi sinauvivu was kula..naweza kufunga nikiaamua ....ila kupiga pasi ndegu Ni shida.
Aah wapi. Mi ni kijeba ninayebeba mizigo mizito yenye nyama nyingi ila mimi sasa ndio hamna kituWe ni modal bila shaka
Hahahahahah ila unene sio ishu ata kdgoAah wapi. Mi ni kijeba ninayebeba mizigo mizito yenye nyama nyingi ila mimi sasa ndio hamna kitu
Nimependa somo lako.Njia pekee ambayo utaweza maliza kitambi Kwa afya kabisa Kwanza usijilinganishe mwili wako na mtu mwingine kama wewe ni mnene kama shishi usije ukajipa moyo kuwa kama flaviana mana utaishia kufanya crush diet ambayo itadhoofisha mwili wako na kuibui magonjwa mengine kama mifupa kudhoofu kuumwa mgongo nanhautokaa upone,
Kwanza jikubali,badilisha mfumo wako wa kula sio Kwa mda mfupi Bali iwe lifestyle yako utapungua na baada ya mda utatarget kg zako na mwili wako yani hautopungua wala kuonhezeka (nzuri Kwa afya) hii ukiishi Kwa style hii mfano weekend ukijiachia na junk foods or naweza sema vyakula ambavyo unajua unavipenda na huwezi acha Ila vinanenepesha unachagua siku maalum kula usiache kabisa kula kisa kitambi ,
Kula wanga wenye nyuznyuzi kama vile ndizi,viazi mihogo mkate brown,ugali wa Donna mboga mboga Kwa wingi kuku au samaki maji mengi juice za asili epuka vyakula vya kusindikwa vyakula vya kuoka,kubanika vizur zaidi pia dinner jitahid saa mbili usiku na ukae masaa mawili kabla ya kulala sio ule ukapande kitandani na usile vyakula vizito usiku
Asbh unapoamka unaweza kunywa tangawizi hakikisha kali inawasha kamulia limao ukishaepua maji na kuchuja kwenye kikombe weka apple cider vinegar vijiko viwil chakula na asali same koroga kunywa hii Ni empty stomach ukimaliza kama Kuna uwanja wa kukimbia au barabara(road side jogging) fanya hvo au kiruka kamba walau 30mn ofcourse utasweet na kama ulikua umekunywa beer or vyakula vibaya kuharisha muhimu ukirud unaweza ukaoga na kujiandalia soft breakfast kama vile maziwa juice mkate brown au mihogo
Ila kwakuwa umelenga kitambi naomba nikupe hii as breakfast kama hakitopungua itakua umelogwa[emoji23][emoji23]. Baby spinach kiganja kimoja,mtindi glass moja au maziwa no fully creamy tafadhar parachichi kipande,ndizi mbili maji nusu glass kunywa hiyo 21days itakufanya uwe fully hasa kama mtokaji asbh na pia ni easy breakfast unabrend baada ya cku 21 naomba niletee mrejesho na bia zangu mbili from there utakua ukibadilisha breakfast za aina mbalimbali na smooth za aina mbalimbali pia utakua na Ngozi nzuri,mwili mzuri stress-free fully healthy,
Ps;Hakuna dawa za kupunguza unene (mwili) zaidi ya healthy lifestyle
Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
Dhoofu hali😅😅😅😅 acha kula chips kitimoto japo ni tamu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...jamani hapo ntakuwa Kibonge. Kweli...Sajare napata wapi Dolla..wakati Mimi dhooful Hali.
Ntakomaa TU na diet...Maana hakuna namna
Mimi hata chuo sikuwa na piga pasi ndegu japo.nlikua nakilo 60...Mimi tangu 2017 napiga pasi ndefu. Mazoea niliyatoa shuleni na sijawahi rejea hali ya kawaida. Nikilazimisha kula mchana usiku naweza nisile na nikapata njaa saa mbaya. Bora nile usiku, asubuhi chai
Kitimoto sijawai kula...chips nakulaga maramoja Moja ..shida yangu Ni maadazi na chai na mawali...hayo ndo napambana nayoDhoofu hali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] acha kula chips kitimoto japo ni tamu
anza kuruka kambaKitimoto sijawai kula...chips nakulaga maramoja Moja ..shida yangu Ni maadazi na chai na mawali...hayo ndo napambana nayo
Mbona unanitamanisha we binti?Minataka kupungua mwili mzima..Ila maziwa yangebaki maana Ni madonchoro ..yakienda itakuwa so sad
Kitimoto sijawai kula...chips nakulaga maramoja Moja ..shida yangu Ni maadazi na chai na mawali...hayo ndo napambana nayo
Mkuuu..kitambi kinakutamanisha Nini sasa....
Dawa yako ya Siri ...mhNitafute nikupe dawa
Sio kitambi ni manyonyo mkuuMkuuu..kitambi kinakutamanisha Nini sasa....
Aisee... usiku mwema
Usingeyataja hayo manyonyo yakoje mkuu ili nipate usingizi kwa uzuriAisee... usiku mwema
Mkuuu...Manyonyo hayana Shida baanaUsingeyataja hayo manyonyo yakoje mkuu ili nipate usingizi kwa uzuri
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Yanayo...Mkuuu...Manyonyo hayana Shida baana
Jaribu yafuatayo;Situmii pombe kabisa Yaaani... Hata nyama choma Ni Mara Moja moja... Chakula changu main Ni wali harage mboga za majani...chai Andazi au chapati.
No wonder yule mwana anataka umfulie nguo....(tuachane na hilo)Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.