Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Aiseee...Huo uvivu wakula hua mnautoa wapi jamani..mbona Mimi sinauvivu was kula..naweza kufunga nikiaamua ....ila kupiga pasi ndegu Ni shida.
Mimi tangu 2017 napiga pasi ndefu. Mazoea niliyatoa shuleni na sijawahi rejea hali ya kawaida. Nikilazimisha kula mchana usiku naweza nisile na nikapata njaa saa mbaya. Bora nile usiku, asubuhi chai
 
Njia pekee ambayo utaweza maliza kitambi Kwa afya kabisa Kwanza usijilinganishe mwili wako na mtu mwingine kama wewe ni mnene kama shishi usije ukajipa moyo kuwa kama flaviana mana utaishia kufanya crush diet ambayo itadhoofisha mwili wako na kuibui magonjwa mengine kama mifupa kudhoofu kuumwa mgongo nanhautokaa upone,


Kwanza jikubali,badilisha mfumo wako wa kula sio Kwa mda mfupi Bali iwe lifestyle yako utapungua na baada ya mda utatarget kg zako na mwili wako yani hautopungua wala kuonhezeka (nzuri Kwa afya) hii ukiishi Kwa style hii mfano weekend ukijiachia na junk foods or naweza sema vyakula ambavyo unajua unavipenda na huwezi acha Ila vinanenepesha unachagua siku maalum kula usiache kabisa kula kisa kitambi ,


Kula wanga wenye nyuznyuzi kama vile ndizi,viazi mihogo mkate brown,ugali wa Donna mboga mboga Kwa wingi kuku au samaki maji mengi juice za asili epuka vyakula vya kusindikwa vyakula vya kuoka,kubanika vizur zaidi pia dinner jitahid saa mbili usiku na ukae masaa mawili kabla ya kulala sio ule ukapande kitandani na usile vyakula vizito usiku

Asbh unapoamka unaweza kunywa tangawizi hakikisha kali inawasha kamulia limao ukishaepua maji na kuchuja kwenye kikombe weka apple cider vinegar vijiko viwil chakula na asali same koroga kunywa hii Ni empty stomach ukimaliza kama Kuna uwanja wa kukimbia au barabara(road side jogging) fanya hvo au kiruka kamba walau 30mn ofcourse utasweet na kama ulikua umekunywa beer or vyakula vibaya kuharisha muhimu ukirud unaweza ukaoga na kujiandalia soft breakfast kama vile maziwa juice mkate brown au mihogo


Ila kwakuwa umelenga kitambi naomba nikupe hii as breakfast kama hakitopungua itakua umelogwa[emoji23][emoji23]. Baby spinach kiganja kimoja,mtindi glass moja au maziwa no fully creamy tafadhar parachichi kipande,ndizi mbili maji nusu glass kunywa hiyo 21days itakufanya uwe fully hasa kama mtokaji asbh na pia ni easy breakfast unabrend baada ya cku 21 naomba niletee mrejesho na bia zangu mbili from there utakua ukibadilisha breakfast za aina mbalimbali na smooth za aina mbalimbali pia utakua na Ngozi nzuri,mwili mzuri stress-free fully healthy,


Ps;Hakuna dawa za kupunguza unene (mwili) zaidi ya healthy lifestyle

Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
Nimependa somo lako.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...jamani hapo ntakuwa Kibonge. Kweli...Sajare napata wapi Dolla..wakati Mimi dhooful Hali.

Ntakomaa TU na diet...Maana hakuna namna
Dhoofu hali😅😅😅😅 acha kula chips kitimoto japo ni tamu
 
Dhoofu hali[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] acha kula chips kitimoto japo ni tamu
Kitimoto sijawai kula...chips nakulaga maramoja Moja ..shida yangu Ni maadazi na chai na mawali...hayo ndo napambana nayo
 
Situmii pombe kabisa Yaaani... Hata nyama choma Ni Mara Moja moja... Chakula changu main Ni wali harage mboga za majani...chai Andazi au chapati.
Jaribu yafuatayo;
1. Punguza/acha vyakula vya wanga hasa wali, vyakula vya ngano etc,
2. Portion ya chakula iwe ugali robo moja , robo tatu iwe mboga.
3. Punguza/acha matumizi ya sukari incl. Soda, juice/vyakula viliyoongezwa sukari etc.
4. Kama umeshindwa jogging kwa sababu ya goti tengeneza utaratibu wa kutembea hata km 40 kwa mwezi. Tumia application kama strava ku keep records itaku-motivate.
5. Kunywa maji ya kutosha.
6. Ratiba yako ya chakula cha usiku iwe matunda au mtindi.
8. Kula kwa wakati. Zingatia muda wa kula.
9. Jifunze kufunga kula (fasting) walau mara moja au mbili kwa wiki.
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
No wonder yule mwana anataka umfulie nguo....(tuachane na hilo)

Je .umezaa?...kama ni kibonge

Mazoez hayatakusaidia...na kama unapenda kula kula .inabid ujisacrifice tu uache...

Na kitambi kinapungua kwa diet tu na mazoez kwa mbali...yaan inshort inabid uteseke kwelkwel ili kupata hilo tumbo unalotaka
 
Back
Top Bottom