Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Mkuu kuna njia mbili ambazo ni real practiced na tumbo kuisha ndani ya week tu.
1. Kama unapenda kula we kula sana hata bia na nyama na wanga ya kutosha tena fanya starehe zako zote bila kujinyima chochote ila hakikisha kila siku unafanya zoezi hili kwa set 4 kila siku hapa tumbo utalisikia kwa jilani

Fanya Kama unalala chali yaani tumbo lipo juu na mgongo kwenye sakafu kisha kutanisha mikiono yako 2 kwa nyuma ya kichwa chako huku kichwa chako kikishikiliwa na mikono yote 2, weka kizuizi kwenye miguu au mtu kukushika miguu kisha utakuwa unajiinua kichwa na kuludi chini mara 50 kwa set 1.
Kwa siku piga set 4 na siku ya kwanza utasikia maumivu kwenye misuri ya tumbo na kadri unavyopiga ndio maumivu yanapungua na tumbo kusinyaa.

2. Kama utaona zoezi ni gumu basi we kata msosi yaani unashindia pieces za mkate na pespi hii ndio inakuwa menu yako ya asubuhi na jioni then unalala hapa Mzee baba siku 2 utabaki mbavu tu kilo zote na tumbo kutoa mzigo au kula wali mkavu na chai yaani unashindia huo. Hapa Mzee Baba lazima ukonde utabaki kichwa tu.

Angalizo Kama una kichwa kikubwa usitumie hiyo njia ya 2 utabaki skeleton tu.
 
Mie nimeliacha kwa muda maana nilijaa kama Puto, af i was aging fast kabla ya umri 😁
Dah, yaani mtu ukipanuka tu, wazeeka kimwonekano. Kuna mzee babu flani nilimcheki YouTube, doh, mzee amekauka, muscles kila ango, alafu ako na kijana wake mkubwa pia naye yuko hivyo(bodybuilders wote wawili). Na hapo mzee ana kama 80yrs lkn waeza dhani yuko 40s apo. Mazoezi mazuri nilikuja jua
 
Af nimegundua kutembelea gari ndio kunalemaza zaidi yani kama appetite yako iko juu ndani ya miezi kadhaa ushakua rick ross
Hakika na wanao athiriwa na MITAMBI NI WALE WOTE TUNAOTUMIA MUDA MWINGI KTK GARI UNATOKA HOM SAA10 ALFAJIRI UNAKAA FOLEN MASAA 2 -3 UKIFIKA KAZINI HUNA MUDA WA KUTEMBEA TEMBEA UNA KAA TUU JAPO MIKONO NA AKILI ZNA SHUGHULIKA BAADA YA HAPO NDANI YA GARI
Mkuu ni Either unadanganya au haujui unachokisema Lakini kitambi hakiishi ndani ya wiki
Mkuu inategemea na Hilo tambi na therapy unayo tumia .NINGEKUWA MAHALI ULIPO NIKAONA HILO TAMBI KISHA NIKAKUPA DAWA NILIYO TUMIA MIMI ILIKUWA NA USHAHIDI KUWA INAWEZEKANA LAKINI. SI KWA KUOUNGUZA MLO TU.KWA KUPUNGUZA MLO INACHUKUA MUDA MREFU MNO MKUU
 
Mkuu kuna njia mbili ambazo ni real practiced na tumbo kuisha ndani ya week tu.
1. Kama unapenda kula we kula sana hata bia na nyama na wanga ya kutosha tena fanya starehe zako zote bila kujinyima chochote ila hakikisha kila siku unafanya zoezi hili kwa set 4 kila siku hapa tumbo utalisikia kwa jilani

Fanya Kama unalala chali yaani tumbo lipo juu na mgongo kwenye sakafu kisha kutanisha mikiono yako 2 kwa nyuma ya kichwa chako huku kichwa chako kikishikiliwa na mikono yote 2, weka kizuizi kwenye miguu au mtu kukushika miguu kisha utakuwa unajiinua kichwa na kuludi chini mara 50 kwa set 1.
Kwa siku piga set 4 na siku ya kwanza utasikia maumivu kwenye misuri ya tumbo na kadri unavyopiga ndio maumivu yanapungua na tumbo kusinyaa.

2. Kama utaona zoezi ni gumu basi we kata msosi yaani unashindia pieces za mkate na pespi hii ndio inakuwa menu yako ya asubuhi na jioni then unalala hapa Mzee baba siku 2 utabaki mbavu tu kilo zote na tumbo kutoa mzigo au kula wali mkavu na chai yaani unashindia huo. Hapa Mzee Baba lazima ukonde utabaki kichwa tu.

Angalizo Kama una kichwa kikubwa usitumie hiyo njia ya 2 utabaki skeleton tu.
Duh, umenichekesha wewe, hivi huyo jamaa ana tambi kisha umuanzishe hilo zoezi la abs, si ataumia bure na hata seti moja hamalizi. Huyo anatakiwa kuanza pole pole kwa mazoezi ya mbio kila asubuhi, ajipatie core strength kwanza kabla aingilie abs workout, kidogo atakuwa mwepesi wa kuinuka
 
Hakika na wanao athiriwa na MITAMBI NI WALE WOTE TUNAOTUMIA MUDA MWINGI KTK GARI UNATOKA HOM SAA10 ALFAJIRI UNAKAA FOLEN MASAA 2 -3 UKIFIKA KAZINI HUNA MUDA WA KUTEMBEA TEMBEA UNA KAA TUU JAPO MIKONO NA AKILI ZNA SHUGHULIKA BAADA YA HAPO NDANI YA GARI
Mkuu inategemea na Hilo tambi na therapy unayo tumia .NINGEKUWA MAHALI ULIOO NIKAONA HILO TAMBI KISHA NIKAKUOA DAWA NILIYO TUMIA MIMI ILIKUWA NA USHAHIDI KUWA INAWEZEKANA LAKINI. SI KWA KUOUNGUZA MLO TU.KWA KUPUNGUZA MLO INACHUKUA MUDA MREFU MNO MKUU
Dawa gani hiyo, hebu anguka tuone!
 
Dah, yaani mtu ukapanuka tu, wazeeka kimwonekano. Kuna mzee babu flani nilimcheki YouTube, doh, mzee amekauka, muscles kila ango, alafu ako na kijana wake mkubwa pia naye yuko hivyo. Na hapo mzee ana kama 80yrs lkn waeza dhani yuko 40s apo. Mazoezi mazuri nilikuja jua
Mzee Mwinyi si mnamuona, he is about to hit 96 and going strong
 
Mzee Mwinyi si mnamuona, he is about to hit 96 and going strong
Bado ako sawa! Lakini hawa babu zetu walikuwa wanajua lifestyle ya maana ndo maana wengi hutoboa hadi late 90's huko, lakini sahi duh kesi tu.
The late Arap Moi, naskia alikuwa hatumii mafuta kwa chakula na mursik(maziwa) yalikuwa kama maji kwake, nyama nyama mchemsho pekee. Yaani wakati huo ukimcheki bado ako Straight kama afande na ni babu yake watu hapo! 🤣
 
Bado ako sawa! Lakini hawa babu zetu walikuwa wanajua lifestyle ya maana ndo maana wengi hutoboa hadi late 90's huko, lakini sahi duh kesi tu.
The late Arap Moi, naskia alikuwa hatumii mafuta kwa chakula na mursik(maziwa) yalikuwa kama maji kwake, nyama nyama mchemsho pekee. Yaani wakati huo ukimcheki bado ako Straight kama afande na ni babu yake watu hapo! 🤣
Hahahahah mzee alikip tight on diets 😁 ila wajukuu hamtaki miss out j4 pale KFC paja kumi za kuku
 
Zingatia haya na utafanikiwa kupunguza Kama Sio kuondoka kabisa.

Pendelea kunywa maji ya moto / chai yenye mdalasini wa kutosha.., karafuu na pilipili ntama ya kutosha pamoja na ndimu..sio limao ..ndimu..unakamulia unakunywa ..ukiweza kuzingatia hili kwa wiki mbili ama tatu..hiyo kitu itapotea dozi kunywa asubuhi na jioni..hii iendane na kula.mlo wa jioni mapema na kwa kiwango kidogo Sana...

Pia zingatia kuacha kunywa soda na Aina zake zote pamoja na bia ..pia achana na nyama za kuku na vyakuka vyote vya kukaanga...
 
Hahahahah mzee alikip tight on diets 😁 ila wajukuu hamtaki miss out j4 pale KFC paja kumi za kuku
Twajimaliza wenyewe sasa, baadaye hoo mchangieni aende India, sijui Ujerumani, hiyo yote ujanani KFC ilkuwa kama kwa mama ntilie 🤣

Mimi nawaogopa wale kuku wa KFC na Cola yao, lakini aah, usipime. Ni Watamu kaka, asikwambie mtu! 🤣🤣🤣🤣 🤣 🤣 🤣

Mazoea mabaya
 
Swala la kitambi ni mwiba unaochoma vibaya mno hasa endapo mwili ushakuwa mzito hata mazoezi ni ishu.

Kibaya zaidi vyakula vyote vitamu na vinono eti hutakiwi uvile ndio vinaleta kitambi. Sasa kweli mtu uache ugali nyamachoma kweli? Hebu tafakari tu kitimoto roast na ugali ndio kitu cha kukiacha kweli?

Chips kuku na Pepsi baridii vinaleta burudani ya pekee tumboni. Af anatokea mtu anakwambia ule papai na mchicha. Hii ngoma ngumu[emoji16][emoji16][emoji16] haswaa!
Nandopanapotushinda wengi sa sijui itakuwaje

Kingsmann
 
Kinaweza Isha kwa wiki1,2au 3 kulingana na tiba lishe utakayo tumia.nilikuwa na kitambi Kama nimebeba pipa ndani ya tumbo baada ya kujilisha tibalishe kiliisha ndani ya wiki mbili TU na Sasa nafurahia maisha ya bila kitambi
Unaendelea na diet au unakula tu kama kawaida baada ya matokeo

Kingsmann
 
Back
Top Bottom