Amefanya general exercises badala ya specific parts...kata ABS with different positions haiongopi.Kuna jamaa yangu alianza program ya kuondoa kitambi, alipunguza mlo na kufanya mazoezi....akaishia kuwa mwembaba lakini kakitambi bado kamechomoza, anakuwa kama ameficha kofia ya Pikipiki tumboni.
Upasuaji ni kitambi kilichofikia Abnormality kile cha msechu kizidi kidogo.HAKUNA kudanganyana Kama ingekuwa Ni kupunguza mlo TU wasingekuwa wanakwenda fanyiwa upasuaji mkuu
Je ngozi ya tumbo ipo na ubora wake, haija pwetapweta??Kinaweza Isha kwa wiki1,2au 3 kulingana na tiba lishe utakayo tumia.nilikuwa na kitambi Kama nimebeba pipa ndani ya tumbo baada ya kujilisha tibalishe kiliisha ndani ya wiki mbili TU na Sasa nafurahia maisha ya bila kitambi
Pole sana mkuu,Nisaidieni dawa ya kupunguza Kitambi ...tumbo langu linazid kuwa kubwa
#MAZOEZI ya kukimbiaNisaidieni dawa ya kupunguza Kitambi ...tumbo langu linazid kuwa kubwa
We all gonna die anywaysπΈ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Kuna jamaa yangu alianza program ya kuondoa kitambi, alipunguza mlo na kufanya mazoezi....akaishia kuwa mwembaba lakini kakitambi bado kamechomoza, anakuwa kama ameficha kofia ya Pikipiki tumboni.
π π πTafuta kijana bondia apige icho kitambi makonde ya kutosha Hadi kirojeke kisha ukahare
Wale jamaa wa kufanyiwa upasuaji ndio ngozi za tumbo zao huwa hivyo after the procedure. Waeza muona mtu mwembamba freshi lakini huwa amevaa vest flani special inayoshikilia zile ngozi zisicheze, lakini hazina madhara. Mazoezi tu ndio ataendelea nayo ili kujiweka fit always.Je ngozi ya tumbo ipo na ubora wake, haija pwetapweta??
Kwahiyo wakutumia dawa sijui ma detox ngozi haiwi hivyo maana navyojua mafuta yakitoka ghafla ngozi haiwezi ku-cope change itabaki imepanuka.Wale jamaa wa kufanyiwa upasuaji ndio ngozi za tumbo zao huwa hivyo after the procedure. Waeza muona mtu mwembamba freshi lakini huwa amevaa vest flani special inayoshikilia zile ngozi zisicheze, lakini hazina madhara. Mazoezi tu ndio ataendelea nayo ili kujiweka fit always.
Jamaa wa obesity huwa hivyo, ngozi itabaki kuwa hivyo milele. Lakini hakuna mtu anawezajua ukiwa umevaliaKwahiyo wakutumia dawa sijui ma detox ngozi haiwi hivyo maana navyojua mafuta yakitoka ghafla ngozi haiwezi ku-cope change itabaki imepanuka.
Kwahiyo wakutumia dawa sijui ma detox ngozi haiwi hivyo maana navyojua mafuta yakitoka ghafla ngozi haiwezi ku-cope change itabaki imepanuka.
Sijui umeelewa nilichouliza??Jamaa wa obesity huwa hivyo, ngozi itabaki kuwa hivyo milele. Lakini hakuna mtu anawezajua ukiwa umevalia
Aaah hapo nimekuelewaDetox ni usafishaji tu wa mwili, huko ndani, kuondoa toxic substances ndani ya mwili, so hiyo hata haitasaidia upande wa hayo manyama.
Mkuu kuna njia mbili ambazo ni real practiced na tumbo kuisha ndani ya week tu.
1. Kama unapenda kula we kula sana hata bia na nyama na wanga ya kutosha tena fanya starehe zako zote bila kujinyima chochote ila hakikisha kila siku unafanya zoezi hili kwa set 4 kila siku hapa tumbo utalisikia kwa jilani
Fanya Kama unalala chali yaani tumbo lipo juu na mgongo kwenye sakafu kisha kutanisha mikiono yako 2 kwa nyuma ya kichwa chako huku kichwa chako kikishikiliwa na mikono yote 2, weka kizuizi kwenye miguu au mtu kukushika miguu kisha utakuwa unajiinua kichwa na kuludi chini mara 50 kwa set 1.
Kwa siku piga set 4 na siku ya kwanza utasikia maumivu kwenye misuri ya tumbo na kadri unavyopiga ndio maumivu yanapungua na tumbo kusinyaa.
2. Kama utaona zoezi ni gumu basi we kata msosi yaani unashindia pieces za mkate na pespi hii ndio inakuwa menu yako ya asubuhi na jioni then unalala hapa Mzee baba siku 2 utabaki mbavu tu kilo zote na tumbo kutoa mzigo au kula wali mkavu na chai yaani unashindia huo. Hapa Mzee Baba lazima ukonde utabaki kichwa tu.
Angalizo Kama una kichwa kikubwa usitumie hiyo njia ya 2 utabaki skeleton tu.