ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji23][emoji23]pole jamani kitambi kibaya Sana, punguza vitu vya sukari kama chai, soda na vingine jamii ya hivyo wali, ugali, fanya diet ya viazi mviringo(kiazi ki1-2) na maziwa ya mgando inasaidia sanaMh... Mimi hata sijui inch Nina kilo TU nyingi... Nashindwa vaa nguo vizuri..nshaulizwa una mimba Mara mbili.[emoji25][emoji25]