Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Nakubaliana na wewe kabisa,
Mimi nina miaka mitatu nimebadili kbs maisha yangu, although kwangu mm mazoezi ninayoyafanya zaidi ni jogging lkn kuhusu kula nimefuata miongozo kama uliyoitaja hapo awali.

Kwa kifupi kila mtu anayenifahamu awali leo nikikutana nae ananiambia anatamani mwili kama wangu. Nimekata kama 24kg na kazi kubwa sasa ni ku-maintain weight niliyonayo.

Faida naziona waziwazi nikilala ni kama crown mzee no kukoroma, no kuhema ovyoovyo ukipandisha ngazi au kutembea kidogo, mama nae anaenjoy huku tough game......!!!

Wazee mazoezi mazur sana, mwili ushaji tune yaani nikikaa siku 3 sijafanya mazoezi i feel like mwili wangu hauko sawa na mind wise nakuwa kama nahitaji kufanya jambo ili akili ikae sawa, kumbe ni mazoezi tu hapo akili inataka.

Tukutane Atlas Marathon 18/10,wengine wanasema Marathon wewe unasema daily routine!!!
Hongera sana
 
SIKU tatu nafanya water fasting..kwa Muda gani au ndo lifestyle
Fanya ivo mpaka upate matokeo unayotaka mwenyewe, baada ya hapo punguza kula ovyo ovyo na epuka kushiba usiku kabla ya kulala. Huyu mdogo wangu anafikisha mwaka sasa ivi kama sikosei, kama ungemuona hapo mwanzo na alivobadilika, huwezi kuamini kabisa, mimi mwenyewe sikuamini siku nlipomuona baada ya kurudi chuo.
 
Usinichekeshe juzi nimepost status, picha mtu akasema hongera naona umeamua kuzaa fasta fasta.
Mwingine akaniambia najitahidi kuficha mimba ila inaonekana uwii nikaifuta ile picha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ahahhahaah
 
Mkuu...kinyesi hakiwezi kuwa kingi namna hiyo...hili tumbo lilianza kuwa kuubwa..baada ya kuandikiwa Dawa flani hivi hospital..nikawa NAPATA appetite yakula... Nliyoka kilo 64 Hadi 94.. saiv na 84..nataka nipunguze hizi 20..

Nakosa kukiamini nikiwa na mahusinao
Njoo kwangu nitakupokea huna haja ya kuhofia tumbo, hata ukilitoa saivi, ukizaa litarudi tu..
 
Siku tatu ndefu sana mama usije zimia[emoji28]

How about mlo mmoja kwanza?.
Binafsi siwezi kaa siku 3 nashindia maji.,
Siku 1 i can
Kufunga naweza kufungaa.. Kama ramadhani..lakini sijawai kaa SIKU tatu njaa..

Ila ntaanza na mlo mmoja..Kama ulivyoshauri
 
Nunua zile mikanda ya kuvaa tumboni

Punguza kula wanga nyingi Hasa jioni na usiku kuka vitu soft usishibe saaana

Kunywa maji ya Moto kila siku asubuhi

Nunua kitairi Cha kufanyia mazoezi

Jog angalau Mara 3 kwa wiki

Nyamba ,pombe pia punguza
 
Tissue haiwi repaired na protein tupu. Ingekua hivyo steroids na HGH zingekua na protini tupu.

Narudia tena. Kabohaidreti (Ubwabwa, ugali, viazi n.k) ndiyo nguvu yako. Protini ndiyo inasababisha kuongezeka (kunenepa kwa mwili)

Notisi kwamba nimesema kua kula chakula kingi hakuna madhara kama unafanya mazoezi ya kuendana na chakula unachokula. Hao mabaunsa wenye vitambi hata siyo kwaajili ya kula mostly ni kwaajili ya supplements na yes am saying it hata supplements kama haufanyi mazoezi ipasavyo mwisho ni kutokwa na kitambi.

Niliandika uzi juu ya supplements katika bodybuilding. Nimeutafuta siuoni ila najua juu ya nutrition na bodybuilding so ninachoongea ni personal experience na observation kwa wengine.
Unapingana na sayansi ya vyakula, kila la kheri mkuu
 
Situmii pombe kabisa Yaaani... Hata nyama choma Ni Mara Moja moja... Chakula changu main Ni wali harage mboga za majani...chai Andazi au chapati.
Kila unapokula hakikisha sahani ya msosi nusu yake iwe ni mbogamboga na matunda na nusu inayobaki ndiyo iwe wali na Maharage...
 
Kwani wema alifanya Nini...Mimi sijajua kilichompunguza..Dawa haziongezi tumbo...zinakufanya uwe na appetite Sana..alafu unakuwa sluggish ...yaani nguzu Huna...so unalala TU. Na kula
Wema anatumia cocain...sikuhiz watu wanene sana ambao kupungua huwaa ishu wana option yao skuhiz anatumia cocain kwa mda then ana switch to methadon fasta kabla hajawa adicted nayo...anakonda mwenyewe
 
Nina mdogo wangu yeye alikuwa kibonge, aliwahi kutumia slim tea, siju vidonge vya fat burner lakini havikumsaidia. ila amekuja na formula ambayo sasa kila mtu akimuona anamshangaa jinsi alivokonda. Siku 3 anakunywa maji tu (sio ya baridi), hakuna chengine, ni maji matupu, halafu siku moja anakula anachotaka kwa kiasi akitakacho. Jaribu na wewe huenda ikakusaidia
Siku 3 unakunywa maj tu?? Chai hii inafunga mwaka2020
 
Nina mdogo wangu yeye alikuwa kibonge, aliwahi kutumia slim tea, siju vidonge vya fat burner lakini havikumsaidia. ila amekuja na formula ambayo sasa kila mtu akimuona anamshangaa jinsi alivokonda. Siku 3 anakunywa maji tu (sio ya baridi), hakuna chengine, ni maji matupu, halafu siku moja anakula anachotaka kwa kiasi akitakacho. Jaribu na wewe huenda ikakusaidia
Daah siku tatu!
 
Wema anatumia cocain...sikuhiz watu wanene sana ambao kupungua huwaa ishu wana option yao skuhiz anatumia cocain kwa mda then ana switch to methadon fasta kabla hajawa adicted nayo...anakonda mwenyewe
Mh...hapana I can't risk addiction...Siwezi kabisa huu upuuzi.
Ni kheri niwe kibonge...kuliko kubwia unga niwe hasara kwa familiA yangu
 
Wema anatumia cocain...sikuhiz watu wanene sana ambao kupungua huwaa ishu wana option yao skuhiz anatumia cocain kwa mda then ana switch to methadon fasta kabla hajawa adicted nayo...anakonda mwenyewe
Sasa Mbona methadone inanenepesha balaaaa...Nakumbuka RAyC alisema kuwa methadone inanenepesha.

Kwanza methadone zinatolewa clinic .unatakiwa uende kila siku ..

Sasa mateso yote yanini...Ukibonge Sio zambi looh...

Najua Siwezi kukupata Wewe Napoleon Ila ntampata mwingine mpenda mattercore
 
Back
Top Bottom