Endelea kupractice lakini tumia kwa faida usitumie kwa starehe tu mkuume naipenda sana maana kuna matukio nayaota halafu katika maisha yakawaida kama kauli mtu anaweza kunambi akwenye ndoto sasa nikiamka unakuta mara nyingine anaiambi au kauli ya kufanana na hiyo hiyo hahahaah na enjoy sana maana this world is amaizing
Ndoto ni mlango wa kuzungumza kiroho mkuu ukitaka kuthibitisha kweli basi fanya kwa njia nyinyine tena utaona ajabu ya Munguyeah kuna siku niliwahi kusoma mahala but kuna ex wangu mmoja nilikuwa sana nataka kuongea naye sasa nikaforce sana kukutana naye kwanye ndoto kitu kama wiki akanitafut asasa sijui hii theory ni ya ukweli au ilikua coincidence tuu,,,ngoj leo nitajaribu tena
Mkuu nisaidie na hapa, hivi kwa mfano mtu kaingia ndani ya lucid dreaming na humo ndani ya lucid dreaming akafanya meditation akafanikiwa ku-unlock chakra zake, na kufungua third eye, Je akiisha amka kwenye uhalisia atakuwa amefunguwa au haiwezekani? Msaada mkuuHii hutokea pale mlango unaopitia kwenda lucid dreaming unakuwa karibu na mlango wa kutoka nje ya mwili, jitahidi kuanza meditation maana unaonekana unaweza kuwa unatoka nje ya mwili kwa higher vibration
Rakims
halafu kuna siku niliwahi kuota nimelala halafu niakota tena hivi hii inakuaje?Ndoto ni mlango wa kuzungumza kiroho mkuu ukitaka kuthibitisha kweli basi fanya kwa njia nyinyine tena utaona ajabu ya Mungu
Rakims
Shida ya lucid dream ukizidisha tu utulivu unaamka, lucid dream ni kama disco ambayo nyimbo inayokuja wewe unacheza tu naongea kwa experience maana hata sisi tuliobobea ukikaza sana kuweka hali fulani inakugeuzia ndoto wengine huumwa vichwa ndio maana mimi hupendelea zaidi kutoka nje ya mwili pale unachofanya kina weza kuleta effect zaidi katika maisha ya kweliMkuu nisaidie na hapa, hivi kwa mfano mtu kaingia ndani ya lucid dreaming na humo ndani ya lucid dreaming akafanya meditation akafanikiwa ku-unlock chakra zake, na kufungua third eye, Je akiisha amka kwenye uhalisia atakuwa amefunguwa au haiwezekani? Msaada mkuu
Kama itakupendeza mkuu, tupe maelekezo kwa faida ya sisi wanafunzi wakoSi hayo tu mkuu lakini pia unaweza kumtumia mtu ndoto na akaota vile unavyotaka kupitia humo vilevile matabibu hutumia njia hii kuongea na majini au mizimu
Rakims
Mwisho huwa ni 3 mkuu ikizidi hapo muhusika anadalili ya kupata stroke mfano umelala ukaota umelala kisha ndani ya hiyo ndoto ukaota upo usingizini kisha ukaota tena umelala basi hapo akikugusa mtu inaweza kuleta madharahalafu kuna siku niliwahi kuota nimelala halafu niakota tena hivi hii inakuaje?
Hapana mkuu, sina maana hiyo binafsi naogopa kuitwa mganga au mchawiWewe unataka kuanza kujigunza uganga?
Rakims
Mkuu kuna video niliiona YouTube binti mdogo huko India anasoma maandishi na kutambua vitu mbalimbali huku amefungwa macho kwa kitambaa. Hiyo ni faida ya Astra projection, kufungua third eye (chakras) au lucid dreaming?Shida ya lucid dream ukizidisha tu utulivu unaamka, lucid dream ni kama disco ambayo nyimbo inayokuja wewe unacheza tu naongea kwa experience maana hata sisi tuliobobea ukikaza sana kuweka hali fulani inakugeuzia ndoto wengine huumwa vichwa ndio maana mimi hupendelea zaidi kutoka nje ya mwili pale unachofanya kina weza kuleta effect zaidi katika maisha ya kweli
Rakims
Kuna mawili:Mkuu kuna video niliiona YouTube binti mdogo huko India anasoma maandishi na kutambua vitu mbalimbali huku amefungwa macho kwa kitambaa. Hiyo ni faida ya Astra projection, kufungua third eye (chakras) au lucid dreaming?
Niwie radhi mkuu kwa maswali yangu. Meditation sahihi inafaa kufanywa mtu akiwa amelala au ameketi. Mi Mara nyingi huwa najaribu kufanya nikiwa nimelala chali na matokeo yake nakuja kushtuka asubuhi nikiwa sikumbuki chochote. Swali lingine youtube kuna sound beats za meditation (binaural vibration) nikweli huwa zinasaidi au hazisaidii?Kuna mawili:
1: either ni trick wanafanya kutapeli watu
2: either ana uwezo wa mediumship nguvu ya muujiza inayomfanya mtu kuweza kuongea na majini
Rakims
Asante mkuu kiukweli hizo hisia ulizozisema ndo zimeongezeka sana yaani nahisi kuna muda mru kama ananichungulia mara nyingine nahisi kama myu ananifata mpaka kuna siku nimeamka nasoma usiku wa saa 8 hv nikasikia kabisa mtu ananiita nikienda sioni kitu wala mtu sometimes nahisi nyayo ya mtu inatembea.Habari mkuu lucid dreaming ukikutana na kitu kama hiki means kwamba katika kichwa chako kuna kiumbe kichafu yani kuna pepo mchafu ambaye in reality world ukikaa utakuwa unajikuta ni mtu wa kuhisi nyuma mtu anakufuata mwili kusisimka hovyo kichwa kugonga na kuacha na woga bila sababu..
Ili kuweza kuondoa hili fanya tena lucid dreaming kisha katika ndoto hiyo ukimuona chora mstari mbele yako kisha mwambie subiri hapo ulipo kwa jina la Mwenyezi Mungu, wa kweli mwenye kujua yasiyojulikana na yanayojulikana, hutasogea kwangu ila utaumia huta rudi nyuma ila utaumia sio magharibi mbili wala mashariki mbili juu wala chini hutatoka hapo ulipo hadi pale nitakapokuruhusu.
Kisha utaona kaduwaa na akijigeuza kuwa kama mtoto anayelia au mwanamke anaeonewa kisha utachora pembe tano chini kwa ncha ya kidole na utachora kwa mtindo wa kubanish sio kuawaken yaani utaanza juu kuja chini kisha utazungusha duara hiyo pembe tano ya nyota kwa kufunga sio kufungua kisha utamwambia apa kuwa hutanifuatilia tena na leo ndio mwisho wa roho yako na yangu kuwa pamoja.. atakubali kisha atakupasiri itakayo kushangaza hadi utakapoamka.
NB:
Hii ni njia tunatumia ukitoka nje ya mwili na kuna kiumbe kinakufuatilia ambacho hukielewe...
Njia nyingine rahisi zaidi ni kuamsha mitetemo yako hutaona chochote cha kukukwaza kama hivi either uwe kwe Astral projection au Luci dream
Rakims
Upo vizur Allah akulipe ishaallahHabari mkuu lucid dreaming ukikutana na kitu kama hiki means kwamba katika kichwa chako kuna kiumbe kichafu yani kuna pepo mchafu ambaye in reality world ukikaa utakuwa unajikuta ni mtu wa kuhisi nyuma mtu anakufuata mwili kusisimka hovyo kichwa kugonga na kuacha na woga bila sababu..
Ili kuweza kuondoa hili fanya tena lucid dreaming kisha katika ndoto hiyo ukimuona chora mstari mbele yako kisha mwambie subiri hapo ulipo kwa jina la Mwenyezi Mungu, wa kweli mwenye kujua yasiyojulikana na yanayojulikana, hutasogea kwangu ila utaumia huta rudi nyuma ila utaumia sio magharibi mbili wala mashariki mbili juu wala chini hutatoka hapo ulipo hadi pale nitakapokuruhusu.
Kisha utaona kaduwaa na akijigeuza kuwa kama mtoto anayelia au mwanamke anaeonewa kisha utachora pembe tano chini kwa ncha ya kidole na utachora kwa mtindo wa kubanish sio kuawaken yaani utaanza juu kuja chini kisha utazungusha duara hiyo pembe tano ya nyota kwa kufunga sio kufungua kisha utamwambia apa kuwa hutanifuatilia tena na leo ndio mwisho wa roho yako na yangu kuwa pamoja.. atakubali kisha atakupasiri itakayo kushangaza hadi utakapoamka.
NB:
Hii ni njia tunatumia ukitoka nje ya mwili na kuna kiumbe kinakufuatilia ambacho hukielewe...
Njia nyingine rahisi zaidi ni kuamsha mitetemo yako hutaona chochote cha kukukwaza kama hivi either uwe kwe Astral projection au Luci dream
Rakims
Tuko pamojaAiseee baada ya usiku wa leo ntaleta feedback
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndugu yangu kulikoni?? Mm nimefanikiwa coz hizi ndoto naziotaga Sana ila nilikuwa sijui Kama ndohiziDuh hii kitu ngumu San hata alarm nlioteg sijaiskia
Je ukitaka kujua anaekufuata kichwani ndotoni nifanyeje nataka kumuoji nini dhamira yake!Habari mkuu lucid dreaming ukikutana na kitu kama hiki means kwamba katika kichwa chako kuna kiumbe kichafu yani kuna pepo mchafu ambaye in reality world ukikaa utakuwa unajikuta ni mtu wa kuhisi nyuma mtu anakufuata mwili kusisimka hovyo kichwa kugonga na kuacha na woga bila sababu..
Ili kuweza kuondoa hili fanya tena lucid dreaming kisha katika ndoto hiyo ukimuona chora mstari mbele yako kisha mwambie subiri hapo ulipo kwa jina la Mwenyezi Mungu, wa kweli mwenye kujua yasiyojulikana na yanayojulikana, hutasogea kwangu ila utaumia huta rudi nyuma ila utaumia sio magharibi mbili wala mashariki mbili juu wala chini hutatoka hapo ulipo hadi pale nitakapokuruhusu.
Kisha utaona kaduwaa na akijigeuza kuwa kama mtoto anayelia au mwanamke anaeonewa kisha utachora pembe tano chini kwa ncha ya kidole na utachora kwa mtindo wa kubanish sio kuawaken yaani utaanza juu kuja chini kisha utazungusha duara hiyo pembe tano ya nyota kwa kufunga sio kufungua kisha utamwambia apa kuwa hutanifuatilia tena na leo ndio mwisho wa roho yako na yangu kuwa pamoja.. atakubali kisha atakupasiri itakayo kushangaza hadi utakapoamka.
NB:
Hii ni njia tunatumia ukitoka nje ya mwili na kuna kiumbe kinakufuatilia ambacho hukielewe...
Njia nyingine rahisi zaidi ni kuamsha mitetemo yako hutaona chochote cha kukukwaza kama hivi either uwe kwe Astral projection au Luci dream
Rakims