Habari mkuu lucid dreaming ukikutana na kitu kama hiki means kwamba katika kichwa chako kuna kiumbe kichafu yani kuna pepo mchafu ambaye in reality world ukikaa utakuwa unajikuta ni mtu wa kuhisi nyuma mtu anakufuata mwili kusisimka hovyo kichwa kugonga na kuacha na woga bila sababu..
Ili kuweza kuondoa hili fanya tena lucid dreaming kisha katika ndoto hiyo ukimuona chora mstari mbele yako kisha mwambie subiri hapo ulipo kwa jina la Mwenyezi Mungu, wa kweli mwenye kujua yasiyojulikana na yanayojulikana, hutasogea kwangu ila utaumia huta rudi nyuma ila utaumia sio magharibi mbili wala mashariki mbili juu wala chini hutatoka hapo ulipo hadi pale nitakapokuruhusu.
Kisha utaona kaduwaa na akijigeuza kuwa kama mtoto anayelia au mwanamke anaeonewa kisha utachora pembe tano chini kwa ncha ya kidole na utachora kwa mtindo wa kubanish sio kuawaken yaani utaanza juu kuja chini kisha utazungusha duara hiyo pembe tano ya nyota kwa kufunga sio kufungua kisha utamwambia apa kuwa hutanifuatilia tena na leo ndio mwisho wa roho yako na yangu kuwa pamoja.. atakubali kisha atakupasiri itakayo kushangaza hadi utakapoamka.
NB:
Hii ni njia tunatumia ukitoka nje ya mwili na kuna kiumbe kinakufuatilia ambacho hukielewe...
Njia nyingine rahisi zaidi ni kuamsha mitetemo yako hutaona chochote cha kukukwaza kama hivi either uwe kwe Astral projection au Luci dream
Rakims