Elimringi moshi
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 191
- 108
Use An Extra Thoughts....
"Rakims"
No Wonder.. you used "exra thought" to out-maneuver others
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Use An Extra Thoughts....
"Rakims"
Fikiri kabla ya kutenda 😡
seems not to help try again...!! think more
Wewe yamekukuta? 😀
Haswaa ndio maana nina hasira mpwa!
Fikiri kabla ya kutenda 😡
nilikua nakukubali sana Rakims kwa jinsi ulivyokuwa-deep kwenye hii sector yako ya mauza_uza ila ulinishtua ulipoanzisha zile donations za bundle ndio maana ukani-block kwenye ile group yako haram ya whatsapp ulipoona si-respond, now you have killed their trust on you, nobody trusts you now brother, Rudisha zile fedha ulizo watapeli wakina Mshana Jr
Ulikuwa kwny group letu kule wasap mkuu?? Kama huku wepo acha.
umejitahidi sana kueleza ila ni ndoto pekee ndio mwenyezi Mungu anakudhihilishia kuwa yupo na yeye ndio msanii mkuu wa kuziandaa,na kupitia ndoto unaweza kutumikia jehanamu kwa kuchomwa na kutubu miaka elfu ingawa wewe utalala usiku huohuo mmoja ila ndani ya ndoto utateswa miaka elfu ndio maana mtu anaweza kuamka akakimbilia kanisani kutubu kama sio kuokoka kabisa ila asiseme nini kimempata,tena anaweza kuongea nawe.hakuna cha majini wala bibi yake majini,ndio sababu manabii wote wameongozwa kupitia ndoto hata wagunduzi maarufu wamekiri hili Idd Amini alikuwa sawa kuamini ndoto mana ndie aliemelekeza kuwa hivyo kwa sababu maalumyaweza kuwa kujenga historia ya taifa fulani na kuongeza mshikamano maana matatizo hujenga umoja.kumbuka Farao alipewa moyo mgumu na Mungu mwenyewe 😛oa:llama:
Mungu yupi? Tafadhali fafanua!.
Tofautisha Mungu na mungu na miungu..mi namzungumzia mwenye herufi kubwa
ni anaejua watu wote duniai wanawaza nini na anajua kitendo kabla hujafanya wote duniani na wanyama na ndege na kila chenye pumzi,anaweza kumfikirisha jogoo akakufukuza au kumkasilisha mbwa na akakukimbiza kukuokoa na hatari na ni yeye anaeweza kukufikilisha kumuoa mtu yoyote duniani hata awe na kichwa tu bila na kiwiliwili na watu wakastaajabu wakati wewe unakuwa umepewa hali ya kuona raha kuwa nae,namzungumzia yeye ambae anatawala kila kitu ktk mwili wako na anaweza kukigeuza chochote kikawa mateso makubwa ktk dunia hii hata ukamuona yeye tu ndie mwokozi na sie mzazi wala ndugu ndie maana tukapata maneno hata watoto wako au wazazi wanaweza kukusaliti.huu ndie MUNGU AWAWE YOTE NA ASIEONEKANA NA SIKU UKIMUONA NDIO BYEBYE MUSA ALITAKA KUMUONA ILA ALIKINGWA NA MKONO WAKE,KIFUPI NI KAMA MWANGA AU MWALE MKALI,AMINI NAKWAMBIA HUMUHUMU DUNIANI KUNA WATU WAMEUONA UFALME WA MUNGU KAMA MAANDIKO YALIVYOSEMA SEMA HAWAWEZI KUWEKA WAZI MAANA WENYE IMANI KALI WATASEMA SIE TUMEKUWA WACHA MUNGU MIAKA YOTE WEWE NANI,NDIO KILICHOMPONZA MASI ILA MIE SIJAUONA HE HE!!NAEMJUA KWA UCHUNGUZI WANGU USIO RASMI HUENDA ASKOFU TORTOISE-kwa maelezo yake wanaojua wanajua ila unakausha:llama:Fafanua sasa huyo Mungu anayeandikwa kwa herufi kubwa ni yupi! Maana hata mimi naweza kujiita Mungu kwa herufi kubwa.
ni anaejua watu wote duniai wanawaza nini na anajua kitendo kabla hujafanya wote duniani na wanyama na ndege na kila chenye pumzi,anaweza kumfikirisha jogoo akakufukuza au kumkasilisha mbwa na akakukimbiza kukuokoa na hatari na ni yeye anaeweza kukufikilisha kumuoa mtu yoyote duniani hata awe na kichwa tu bila na kiwiliwili na watu wakastaajabu wakati wewe unakuwa umepewa hali ya kuona raha kuwa nae,namzungumzia yeye ambae anatawala kila kitu ktk mwili wako na anaweza kukigeuza chochote kikawa mateso makubwa ktk dunia hii hata ukamuona yeye tu ndie mwokozi na sie mzazi wala ndugu ndie maana tukapata maneno hata watoto wako au wazazi wanaweza kukusaliti.huu ndie MUNGU AWAWE YOTE NA ASIEONEKANA NA SIKU UKIMUONA NDIO BYEBYE MUSA ALITAKA KUMUONA ILA ALIKINGWA NA MKONO WAKE,KIFUPI NI KAMA MWANGA AU MWALE MKALI,AMINI NAKWAMBIA HUMUHUMU DUNIANI KUNA WATU WAMEUONA UFALME WA MUNGU KAMA MAANDIKO YALIVYOSEMA SEMA HAWAWEZI KUWEKA WAZI MAANA WENYE IMANI KALI WATASEMA SIE TUMEKUWA WACHA MUNGU MIAKA YOTE WEWE NANI,NDIO KILICHOMPONZA MASI ILA MIE SIJAUONA HE HE!!NAEMJUA KWA UCHUNGUZI WANGU USIO RASMI HUENDA ASKOFU TORTOISE-kwa maelezo yake wanaojua wanajua ila unakausha:llama:
Zitaje sifa zake mbaya kabla sijakuuliza maswali.