Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

Mkuu mm naota sana ndoto nikiwa safarin safar nying zikiwa zakweny maj ila hadhifiki mwisho
 
Jana wakati nipo ndotoni niliota niko barabarani usikuu then jikajigundua apa naotaa then telekinesis is mchezo ninao penda sana nikaanza kulevitate gari uharibifu wa miundo mbinu na nn lakin kibaya sikuelewa ndoto ilipo ishia mawasiliano yalikataje sijuii ushaurr Rakims
 
Ndoto nyingine huja baada ya kusoma kitu au kufikiria kwa kipindi fulani mkuu, zipo zenye maana zilizothibitishwa na zingine hazijathibitishwa na pia inategemea umeota lini kwa hali gani katika mazingira yapi na ulikuwa vipi hizo ndio zinaweza kukupa maana ya ndoto
Jana wakati nipo ndotoni niliota niko barabarani usikuu then jikajigundua apa naotaa then telekinesis is mchezo ninao penda sana nikaanza kulevitate gari uharibifu wa miundo mbinu na nn lakin kibaya sikuelewa ndoto ilipo ishia mawasiliano yalikataje sijuii ushaurr Rakims
 
Habari Zenu Wanabodi Naileta Kwenu Mada Mpya Ya Lucid Dreams(Uelewa Ndotoni)....
43c14e53742cc5b94b76199e7647ddcb.jpg


LUCID DREAMS:

KWA KUANZA:


Lucid Dreams Ni Pale Mtu Anapoota Na KujuaKwamba Naota Yani Yupo Ndotoni.. Na Ndani Ya Ndoto Ile Akajielewa Kwa HumuNaota Na Kufahamu Kwamba Hapa Nilipo Nimelala Na Humu Nilimo Ni Ndotoni Nakuanza Kuenjoy Mazingira Ya Mule Ndotoni Na Kufanya Mengi Atakayo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Lakini Pia Kuna Watu Huota Na Kujijua kwamba Wanaota Bila Mazoezi Ya Lucid Dreams lakini Inakuwa Sio Kama Lucid Dream Vile Utakavyo Vifanya
Hakuna Tatizo Lolote Unaloweza Kulipata Ndotoni Kwa Maana Ni Ubongo Wako Ndio Ufanyao Kazi..

JE NI FAIDA ZIPI ANAZOZIPATA LUCID DREAMER ?

1: Maajabu Na Miujiza Kibao
2:kuzishinda ndoto za kutisha
3: Ubunifu Na Kuondosha Matatizo
4: kujiponya
5: Mambo Mengi Yaliyopita

6: Kupata Muongozo what He Was Meant To be.. 7: Kuliwazika Na Ndoto Zake
8: Kuongeza Uelewa Wa Maisha Yake Yakimapenzi
9: Kupata Uchangamfu Siku Nzima
10: Kusaidia Kuwasiliana Na Roho ZaWaliotangulia Mbele Za Mungu
11: Kwa Wanaofanya Meditation HuwasaidiaKuongeza Awareness Katika Meditation

Zipo Faida Nyingi Lakini Hizo Ni ChacheZibebazo Topic......


Kwanini Nifanye Lucid Dreams?

Ni Swali La Wengi LakiniChunguza Faida Zake Zikikuvutia utafanya lakini pia Hukusaidia Kufanya MengiAmbayo Unawish Ungeweza Kuyafanya Katika Ulimwengu Wa Kawaida Kama Vile:

1: Kupaa
2:kupongezwa
3:kupata chochote kile unachohisi in real world hukipati

Wengi Huingia Kuuliza Power Zao Wapi Wataweza Kuhunt MoneyNa Starehe Lakini Kuna Mazuri Zaidi Ya Hayo Kwanza Ukishajua Hapa Naota Na Nimo Ndotoni Utatamani Uzunguke Dunia Nzima But Mengi Huwa Ni Kweli Kwa MaanaUnakuwa In Spirit Form Au Thought Waweza Kwenda Popote Kula Lolote Na KufanyaChochote Kuna Faida Nyingi Sana Do It And You Will Feel It&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Vivutio Vya Wengi In Lucid Dream World:

1: Maajabu Na Miujiza:

Hii Huwavutia Wengi Kuingia Kudiliki Kufanya Mazoezi Yalucid Na Kufanya MAajabu Mengi Ya Ndotoni
Wengi Hudiliki Kutoa Hadithi Walizotengeneza Kwenye LucidDreams NA Kuziandika In Real World Kama

1: TheWachowskis: Alieandika Movie Ya Matrix Kama Umewahi Kuiona..
2: Lewis Carroll:Alieandika Novel Ya Alice In Wonderland..

Tafuta HizoMovies Na Novels pia Zitakupa Idea Kuhusu Lucid Dream..

2: Kuzishinda Ndoto Za Kutisha Na Kipumbaff

Hapa Unakuta Unaota Unafukuzwa Let say Mfano Unahisi KukimbizwaNa Watu NA Huu Ni Ugonjwa Wa Wengi Let Say Umeweza Kuingia Lucid Dream State.

Na Ukajijua Unaota Wengi wakijua wanaota huanza kupigana na majinamizi au wachawihao ambayo pia inakuwa ni ujinga hali ume realize unaota unasimama tuunaamrisha zina disappear na unaamuru nini cha kufanya au kujiamsha&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Nice Isnt It ?

3😛roblem Solving:

Wengi Matatizo Yakiwakaba Hukimbilia Kusubiri ItakavyokuwaLakini Ni Udumazaji Wa MAwaza Ukiingia Lucid NA kuanza Kujisolvia Tatizo LakoUtapata Muongozo Mwisho Wa Siku Unafanikiwa?

JE Wajua Niliwahi Kujifunza kingereza Cha Kuunga UngaKupitia lucid Dreams???

4: Healing/Kujiponya:

let Say UmeumwaKichwa Au Mwili Mzima Kwa Wanaofanya Meditation Tuassume Unaumwa MaraliaUnaingia Lucid hukusaidia Kuopen Third Eye Na Kufungua Chakra Zingine If OnlyUnameditate In Dream Na Umelala Unaota Umelala Chali You Will Wake Up Healed OrReduce Pain Maana Tunaumia Kutokana Na Ubongo Kutambua Tumeumia&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.. naHatufanikiwi Kutokana Na Ubongo Umeamua Hatufanikiwi Kweli.

Ni Maelezo Marefu Mengine Tutaendelea Naangalia ItapokelewaVipi Hii Mada hapa Kwanza&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Bila Kupoteza Muda Wacha Tuingie Jinsi Ya Kufanya Zoezi IliTujue Zaidi Nini Tutapata Na Je Tutafika MAelekezo Ya Rakims Yanavyokwenda ?

JINSI YA KUFANYA LUCID DREAM KWA BEGINNERS:

Waweza Kujiandalia Mazingira Yako Ya Kupata lucid Dream naIkaleta effect Upesi Zaidi UNachotakiwa kufanya Ni kuandaa Daftari Lako LaKufuatilia Ndoto Unazoota Na Mara Kitu Kikikutokea Cha ghaafla penda sanakujiuliza hivi naota au?

Penda sana pindi unapojiangalia kwenye kioo ukijionajiulize pia naota Au? Lakini Ukiiona sura yako kwenye kioo means huoti nausipoina jua upo ndotoni Ni Ngumu Kidogo Kujua Kama Unaota au laa lakini KwaMazoezi Utajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];..

Hatua Za Kufuata:

1: Utatakiwa Upate Kitabu Cha Ndoto Zako Counter ook&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; DreamJournal

2: Saa Ya Alarm

Step ya Kwanza:

Weka daftari yako pembeni ya ulalapo ili uweze kuandika kilakitu ambacho utaota usiku wote

Step Ya pili:

Angalia kitabu chako kioo na saa yako mara kadhaa kwa sikumaana ndotoni hizi zote huwa tofauti ndotoni maana huyumba yumba nakutoeleweka.. jifinye finye sehemu za mwili ili kitokea unajifinya ndotonihuumii basi unajua humu nimeingia ndotoni..

Step ya Tatu:

Ukienda kukidandia kitanda jiambie nikiota leo lazima tajuatu fanya kama command ubongoni kwamba nikiota tajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Step Ya Nne:

TEgesha Alarm Yako Mapema Zaidi Ya Kawaida Na Ikilia subiridk kama sita halafu urudi tena kulala kufanya hivi utakuwa umeongeza asilimiaza kupata lucid dream 20% hadi 50%

Step Ya Tano:

Ukihisi Umeingia Kwenye Lucid Dream Jaribu Kupaa Juu Juu iliKuthibitisha Hili&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Paa juu ya milima.. Pia Jaribu Kupika Hesabu Ambazo HuwaZinakushinda Na Maswali Yakushindayo Kujibu.. Jaribu Kufikiria Ndugu Yako GaniUmpendae Ametangulia Mbele YA Haki Na Kuongea NAe Akirespond Kile UmemuulizaBasi Jua Unaanza Kuingia Lucid Dream World

N.b

Jambo La Kuzingatia Hapo Ni Pale Unapoenda Kulala HakikishaHujikuni Ovyo Wala Kujigusa Gusa popote Ukilala lala Ubavu Mmoja Huo Huo IliUweze Kufanya Mwili Ujue Umelala Hali Ya Kuwa Upo Macho&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.

Itaendeleaaaaa !


Kwa haya na zaidi tembelea

Rakims Spiritual

&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];'Rakims''


Aisee

Mimi leo nimeota nipo njiani naelekea home sasa njiani wakati natembea nikakutana na mmama mjamzito yupo chini ya mwembe anataka kujifungua

Hii inamaanisha nini Mkuu
 
Maana ni nyingi za hiyo ndoto lakini kufasiri ndoto kunataka umjue aliyeota kwanza

Rakims
 
Swali Zuri Sana...!

Ni Kwamba Ndoto Inasaidia Kukamilisha Mambo Yako Ya Ulimwengu Wa Kweli Kwa Asilimia Nyingi... Mfano Leo Umelala Umeota Unaendesha Gari Na Ni Gari Kweli Kweli Kila Kitu KEY,KRACH,BUTTON,USKANI,EKSLETA,BRAKE,HANDBRAKE Kila Kitu Sawa?

Hujawahi Kuendesha Gari Hata Siku Moja Mfano....

humo ndotoni ukaita mtu akakufundisha kila kitu Ukajua Ile Kumbukumbu Ukabaki Nayo Ukaamka Ukaenda Kujaribu Kama Maelekezo Ndotoni Yalivyokwenda Kila Unachofanya ndivyo kinavyokuja Je Ni Faida Au Hasara??? au hamna lolote uongo tu nilikuwa nimeona mtu anaendesha? ndio utakavyojijibu?

faida za kweli kuu za mwanzo ni kujiponya ubongo na kujifunza

"Rakims"
Daah!! Yaani hapo nimekuelewa Sana mkuu. Ubarikiwe Sana, endelea kutupa darasa. Ninacho kupendea wewe sio mchoyo wa maarifa hali ya kuwa wewe huenda uliyapata kwa gharama . Mungu akubariki,
Na Mimi kwa kuongezea tu swali,. Je, inawezekana kwa mfano kesho Nina interview kampuni fulani, nika-imagine Kwanza Ile interview kwenye ndoto nikafaulu, na kwenye reality itakuwa hivyo nitafaulu?,
 
Mkuu lucid dream ukiona kitu kama demons na kadhalika unaweza kufukuza ukijiona wewe mwenyewe uko hivyo basi unatatizo ndani yako na unatakiwa ufanye spiritual healing kuweza kutoa hilo dudu, maana lucid dream haizuiliwi ila pale tu mtu anapokuwa na pepo linakuwa linamfukuza asiweze kujua kinachoendelea ndani yake
Ina maana Lucid dream Kama unapepo ukiingia unaliona, na unaweza ukaongea na malaika au viongozi wako wa kiroho ukawauliza maswali yanayokutatiza kwenye maisha na kuwauliza ni njia gani ufate ili upate suluhu Kama wakikuambia itakuwa ni kweli kwenye ulimwengu huu wa kimwili? Msaada mkuu

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kaka rakims hebu nisaidie kwa kweli mm ni mmoja wa wadau wanao practise lucid dreams. Baada ya muda mrefu wa kufanya lucid dream kuna niseme sijui kiumbe au mtu ni wa kiume ila ana macho meusi ila ule mviringo(mstari) wa mboni ni mweupe kiini cha jicho na vinginevyo ni vyeusi nimeshakutana nae kwa lucid dream zangu kama mara tano hv ikiwemo na leo :
1.alinitishia kuniua kama nitastop kufanya lucid dream nikachukulia kama ni ndoto mbaya
2.nilishangaa kukutana naye mara ya pili tena baada ya muda mrefu wa kutofanya lucid dream the same man akanionya nisirudie tena kutofanya kustop lucid dream
3.nikapumzika kama mwezi hv nikakutana naye tena kwa lucid dream mara hii akanitishia ataiua familia yangu if i stop lucid dream
4.niliogopa nikapumzika kama miezi 3 nikakutana nae kwenye lucid dream tena mara hii alikuja na kunishika mikono huku amening'ang'ania kama hataki nirudi kuamka aisee ilichukua muda mrefu sana kuweza kuamka
5.leo nikaingia kwa lucid dream ambapo nilikutana na jack shein tuko bichi mbili ambazo zilikuwa sehemu moja yaani moja ipo horizontal nyengine ipo straight tukiongea mawili matatu baada ya yy kwenda kuogelea yule man akatokea mara hii akanishika mkono kwa nguvu sana na kuanza kuongea maneno fulani hivi ambayo mm sikuyaelewa( i think ni chant au spell) alivyomaliza kuongea hayo maneno nikamwona ameenda kuchukua kitu pembeni kidogo ambako kulikuwa kuna wanawake wamekaa wamevalia nguo za beach ilikuwa ni padi ya xbox ambazo zinawaya wa moja kwa moja na kuniambia leo nakunyonga nilijitahidi sana kuamka bahati nzuri ile view ilibadilika nikajikuta nipo kwa chumba changu nikizani nimetoka kwa ile lucid dream kumbe bado nipo kwenye lucid dream kuna meza huwa naweka begi langu ghafla nikamuona yule man anaamka as if alikuwa amelala kwenye hiyo meza na begi ndio tumbo lake na kifua chake ameshikilia ile waya ya xbox akawa ananisogelea aisee nilimwomba sana mungu niamke huku nikijitahidi kujikurupusha. Mungu mkubwa nilifanikiwa kuamka kabla jamaa hajanifikia



KUSEMA UKWELI HUYU KIUMBE ANANISUMBUA BALAA KILA NIKIENDA LUCID DREAM LAZIMA NIKUTANE NAE
 
Habari Zenu Wanabodi Naileta Kwenu Mada Mpya Ya Lucid Dreams(Uelewa Ndotoni)....
43c14e53742cc5b94b76199e7647ddcb.jpg


LUCID DREAMS:

KWA KUANZA:


Lucid Dreams Ni Pale Mtu Anapoota Na KujuaKwamba Naota Yani Yupo Ndotoni.. Na Ndani Ya Ndoto Ile Akajielewa Kwa HumuNaota Na Kufahamu Kwamba Hapa Nilipo Nimelala Na Humu Nilimo Ni Ndotoni Nakuanza Kuenjoy Mazingira Ya Mule Ndotoni Na Kufanya Mengi Atakayo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Lakini Pia Kuna Watu Huota Na Kujijua kwamba Wanaota Bila Mazoezi Ya Lucid Dreams lakini Inakuwa Sio Kama Lucid Dream Vile Utakavyo Vifanya
Hakuna Tatizo Lolote Unaloweza Kulipata Ndotoni Kwa Maana Ni Ubongo Wako Ndio Ufanyao Kazi..

JE NI FAIDA ZIPI ANAZOZIPATA LUCID DREAMER ?

1: Maajabu Na Miujiza Kibao
2:kuzishinda ndoto za kutisha
3: Ubunifu Na Kuondosha Matatizo
4: kujiponya
5: Mambo Mengi Yaliyopita

6: Kupata Muongozo what He Was Meant To be.. 7: Kuliwazika Na Ndoto Zake
8: Kuongeza Uelewa Wa Maisha Yake Yakimapenzi
9: Kupata Uchangamfu Siku Nzima
10: Kusaidia Kuwasiliana Na Roho ZaWaliotangulia Mbele Za Mungu
11: Kwa Wanaofanya Meditation HuwasaidiaKuongeza Awareness Katika Meditation

Zipo Faida Nyingi Lakini Hizo Ni ChacheZibebazo Topic......


Kwanini Nifanye Lucid Dreams?

Ni Swali La Wengi LakiniChunguza Faida Zake Zikikuvutia utafanya lakini pia Hukusaidia Kufanya MengiAmbayo Unawish Ungeweza Kuyafanya Katika Ulimwengu Wa Kawaida Kama Vile:

1: Kupaa
2:kupongezwa
3:kupata chochote kile unachohisi in real world hukipati

Wengi Huingia Kuuliza Power Zao Wapi Wataweza Kuhunt MoneyNa Starehe Lakini Kuna Mazuri Zaidi Ya Hayo Kwanza Ukishajua Hapa Naota Na Nimo Ndotoni Utatamani Uzunguke Dunia Nzima But Mengi Huwa Ni Kweli Kwa MaanaUnakuwa In Spirit Form Au Thought Waweza Kwenda Popote Kula Lolote Na KufanyaChochote Kuna Faida Nyingi Sana Do It And You Will Feel It&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Vivutio Vya Wengi In Lucid Dream World:

1: Maajabu Na Miujiza:

Hii Huwavutia Wengi Kuingia Kudiliki Kufanya Mazoezi Yalucid Na Kufanya MAajabu Mengi Ya Ndotoni
Wengi Hudiliki Kutoa Hadithi Walizotengeneza Kwenye LucidDreams NA Kuziandika In Real World Kama

1: TheWachowskis: Alieandika Movie Ya Matrix Kama Umewahi Kuiona..
2: Lewis Carroll:Alieandika Novel Ya Alice In Wonderland..

Tafuta HizoMovies Na Novels pia Zitakupa Idea Kuhusu Lucid Dream..

2: Kuzishinda Ndoto Za Kutisha Na Kipumbaff

Hapa Unakuta Unaota Unafukuzwa Let say Mfano Unahisi KukimbizwaNa Watu NA Huu Ni Ugonjwa Wa Wengi Let Say Umeweza Kuingia Lucid Dream State.

Na Ukajijua Unaota Wengi wakijua wanaota huanza kupigana na majinamizi au wachawihao ambayo pia inakuwa ni ujinga hali ume realize unaota unasimama tuunaamrisha zina disappear na unaamuru nini cha kufanya au kujiamsha&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Nice Isnt It ?

3😛roblem Solving:

Wengi Matatizo Yakiwakaba Hukimbilia Kusubiri ItakavyokuwaLakini Ni Udumazaji Wa MAwaza Ukiingia Lucid NA kuanza Kujisolvia Tatizo LakoUtapata Muongozo Mwisho Wa Siku Unafanikiwa?

JE Wajua Niliwahi Kujifunza kingereza Cha Kuunga UngaKupitia lucid Dreams???

4: Healing/Kujiponya:

let Say UmeumwaKichwa Au Mwili Mzima Kwa Wanaofanya Meditation Tuassume Unaumwa MaraliaUnaingia Lucid hukusaidia Kuopen Third Eye Na Kufungua Chakra Zingine If OnlyUnameditate In Dream Na Umelala Unaota Umelala Chali You Will Wake Up Healed OrReduce Pain Maana Tunaumia Kutokana Na Ubongo Kutambua Tumeumia&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.. naHatufanikiwi Kutokana Na Ubongo Umeamua Hatufanikiwi Kweli.

Ni Maelezo Marefu Mengine Tutaendelea Naangalia ItapokelewaVipi Hii Mada hapa Kwanza&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Bila Kupoteza Muda Wacha Tuingie Jinsi Ya Kufanya Zoezi IliTujue Zaidi Nini Tutapata Na Je Tutafika MAelekezo Ya Rakims Yanavyokwenda ?

JINSI YA KUFANYA LUCID DREAM KWA BEGINNERS:

Waweza Kujiandalia Mazingira Yako Ya Kupata lucid Dream naIkaleta effect Upesi Zaidi UNachotakiwa kufanya Ni kuandaa Daftari Lako LaKufuatilia Ndoto Unazoota Na Mara Kitu Kikikutokea Cha ghaafla penda sanakujiuliza hivi naota au?

Penda sana pindi unapojiangalia kwenye kioo ukijionajiulize pia naota Au? Lakini Ukiiona sura yako kwenye kioo means huoti nausipoina jua upo ndotoni Ni Ngumu Kidogo Kujua Kama Unaota au laa lakini KwaMazoezi Utajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];..

Hatua Za Kufuata:

1: Utatakiwa Upate Kitabu Cha Ndoto Zako Counter ook&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; DreamJournal

2: Saa Ya Alarm

Step ya Kwanza:

Weka daftari yako pembeni ya ulalapo ili uweze kuandika kilakitu ambacho utaota usiku wote

Step Ya pili:

Angalia kitabu chako kioo na saa yako mara kadhaa kwa sikumaana ndotoni hizi zote huwa tofauti ndotoni maana huyumba yumba nakutoeleweka.. jifinye finye sehemu za mwili ili kitokea unajifinya ndotonihuumii basi unajua humu nimeingia ndotoni..

Step ya Tatu:

Ukienda kukidandia kitanda jiambie nikiota leo lazima tajuatu fanya kama command ubongoni kwamba nikiota tajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Step Ya Nne:

TEgesha Alarm Yako Mapema Zaidi Ya Kawaida Na Ikilia subiridk kama sita halafu urudi tena kulala kufanya hivi utakuwa umeongeza asilimiaza kupata lucid dream 20% hadi 50%

Step Ya Tano:

Ukihisi Umeingia Kwenye Lucid Dream Jaribu Kupaa Juu Juu iliKuthibitisha Hili&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Paa juu ya milima.. Pia Jaribu Kupika Hesabu Ambazo HuwaZinakushinda Na Maswali Yakushindayo Kujibu.. Jaribu Kufikiria Ndugu Yako GaniUmpendae Ametangulia Mbele YA Haki Na Kuongea NAe Akirespond Kile UmemuulizaBasi Jua Unaanza Kuingia Lucid Dream World

N.b

Jambo La Kuzingatia Hapo Ni Pale Unapoenda Kulala HakikishaHujikuni Ovyo Wala Kujigusa Gusa popote Ukilala lala Ubavu Mmoja Huo Huo IliUweze Kufanya Mwili Ujue Umelala Hali Ya Kuwa Upo Macho&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.

Itaendeleaaaaa !


Kwa haya na zaidi tembelea

Rakims Spiritual

&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];'Rakims''


Kuna muvi inaitwa Inception kacheza Leonardo Di caprio cjui kama umewah kuiona ila nlivosoma hi makala nikaona inafanana na mambo ya kwenye iyo muv. Swali langu ni kwamba nipo sahihi kwamba lucid ni kama walivokuwa wanafanya kwenye iyo muv?

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Daah!! Yaani hapo nimekuelewa Sana mkuu. Ubarikiwe Sana, endelea kutupa darasa. Ninacho kupendea wewe sio mchoyo wa maarifa hali ya kuwa wewe huenda uliyapata kwa gharama . Mungu akubariki,
Na Mimi kwa kuongezea tu swali,. Je, inawezekana kwa mfano kesho Nina interview kampuni fulani, nika-imagine Kwanza Ile interview kwenye ndoto nikafaulu, na kwenye reality itakuwa hivyo nitafaulu?,
Hiyo ukiweza kufanya hivyo basi hiyo interview umefaulu maana ukija kwenye interview ile hali ya imagination jana inageuka kuwa telepathic leo ambayo itawavutia wahusika only if you know what i mean

Rakims
 
Ina maana Lucid dream Kama unapepo ukiingia unaliona, na unaweza ukaongea na malaika au viongozi wako wa kiroho ukawauliza maswali yanayokutatiza kwenye maisha na kuwauliza ni njia gani ufate ili upate suluhu Kama wakikuambia itakuwa ni kweli kwenye ulimwengu huu wa kimwili? Msaada mkuu

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Habari mkuu, lucid dream unaweza kuona pepo kweli lakini hayo mengine utayaona kwenye Astral plane

Rakims
 
Habari Zenu Wanabodi Naileta Kwenu Mada Mpya Ya Lucid Dreams(Uelewa Ndotoni)....
43c14e53742cc5b94b76199e7647ddcb.jpg


LUCID DREAMS:

KWA KUANZA:


Lucid Dreams Ni Pale Mtu Anapoota Na KujuaKwamba Naota Yani Yupo Ndotoni.. Na Ndani Ya Ndoto Ile Akajielewa Kwa HumuNaota Na Kufahamu Kwamba Hapa Nilipo Nimelala Na Humu Nilimo Ni Ndotoni Nakuanza Kuenjoy Mazingira Ya Mule Ndotoni Na Kufanya Mengi Atakayo&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Lakini Pia Kuna Watu Huota Na Kujijua kwamba Wanaota Bila Mazoezi Ya Lucid Dreams lakini Inakuwa Sio Kama Lucid Dream Vile Utakavyo Vifanya
Hakuna Tatizo Lolote Unaloweza Kulipata Ndotoni Kwa Maana Ni Ubongo Wako Ndio Ufanyao Kazi..

JE NI FAIDA ZIPI ANAZOZIPATA LUCID DREAMER ?

1: Maajabu Na Miujiza Kibao
2:kuzishinda ndoto za kutisha
3: Ubunifu Na Kuondosha Matatizo
4: kujiponya
5: Mambo Mengi Yaliyopita

6: Kupata Muongozo what He Was Meant To be.. 7: Kuliwazika Na Ndoto Zake
8: Kuongeza Uelewa Wa Maisha Yake Yakimapenzi
9: Kupata Uchangamfu Siku Nzima
10: Kusaidia Kuwasiliana Na Roho ZaWaliotangulia Mbele Za Mungu
11: Kwa Wanaofanya Meditation HuwasaidiaKuongeza Awareness Katika Meditation

Zipo Faida Nyingi Lakini Hizo Ni ChacheZibebazo Topic......

Kwanini Nifanye Lucid Dreams?

Ni Swali La Wengi LakiniChunguza Faida Zake Zikikuvutia utafanya lakini pia Hukusaidia Kufanya MengiAmbayo Unawish Ungeweza Kuyafanya Katika Ulimwengu Wa Kawaida Kama Vile:

1: Kupaa
2:kupongezwa
3:kupata chochote kile unachohisi in real world hukipati

Wengi Huingia Kuuliza Power Zao Wapi Wataweza Kuhunt MoneyNa Starehe Lakini Kuna Mazuri Zaidi Ya Hayo Kwanza Ukishajua Hapa Naota Na Nimo Ndotoni Utatamani Uzunguke Dunia Nzima But Mengi Huwa Ni Kweli Kwa MaanaUnakuwa In Spirit Form Au Thought Waweza Kwenda Popote Kula Lolote Na KufanyaChochote Kuna Faida Nyingi Sana Do It And You Will Feel It&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Vivutio Vya Wengi In Lucid Dream World:

1: Maajabu Na Miujiza:

Hii Huwavutia Wengi Kuingia Kudiliki Kufanya Mazoezi Yalucid Na Kufanya MAajabu Mengi Ya Ndotoni
Wengi Hudiliki Kutoa Hadithi Walizotengeneza Kwenye LucidDreams NA Kuziandika In Real World Kama

1: TheWachowskis: Alieandika Movie Ya Matrix Kama Umewahi Kuiona..

2: Lewis Carroll:Alieandika Novel Ya Alice In Wonderland..

Tafuta HizoMovies Na Novels pia Zitakupa Idea Kuhusu Lucid Dream..

2: Kuzishinda Ndoto Za Kutisha Na Kipumbaff

Hapa Unakuta Unaota Unafukuzwa Let say Mfano Unahisi KukimbizwaNa Watu NA Huu Ni Ugonjwa Wa Wengi Let Say Umeweza Kuingia Lucid Dream State.

Na Ukajijua Unaota Wengi wakijua wanaota huanza kupigana na majinamizi au wachawihao ambayo pia inakuwa ni ujinga hali ume realize unaota unasimama tuunaamrisha zina disappear na unaamuru nini cha kufanya au kujiamsha&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Nice Isnt It ?

3😛roblem Solving:

Wengi Matatizo Yakiwakaba Hukimbilia Kusubiri ItakavyokuwaLakini Ni Udumazaji Wa MAwaza Ukiingia Lucid NA kuanza Kujisolvia Tatizo LakoUtapata Muongozo Mwisho Wa Siku Unafanikiwa?

JE Wajua Niliwahi Kujifunza kingereza Cha Kuunga UngaKupitia lucid Dreams???

4: Healing/Kujiponya:

let Say UmeumwaKichwa Au Mwili Mzima Kwa Wanaofanya Meditation Tuassume Unaumwa MaraliaUnaingia Lucid hukusaidia Kuopen Third Eye Na Kufungua Chakra Zingine If OnlyUnameditate In Dream Na Umelala Unaota Umelala Chali You Will Wake Up Healed OrReduce Pain Maana Tunaumia Kutokana Na Ubongo Kutambua Tumeumia&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.. naHatufanikiwi Kutokana Na Ubongo Umeamua Hatufanikiwi Kweli.

Ni Maelezo Marefu Mengine Tutaendelea Naangalia ItapokelewaVipi Hii Mada hapa Kwanza&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Bila Kupoteza Muda Wacha Tuingie Jinsi Ya Kufanya Zoezi IliTujue Zaidi Nini Tutapata Na Je Tutafika MAelekezo Ya Rakims Yanavyokwenda ?

JINSI YA KUFANYA LUCID DREAM KWA BEGINNERS:

Waweza Kujiandalia Mazingira Yako Ya Kupata lucid Dream naIkaleta effect Upesi Zaidi UNachotakiwa kufanya Ni kuandaa Daftari Lako LaKufuatilia Ndoto Unazoota Na Mara Kitu Kikikutokea Cha ghaafla penda sanakujiuliza hivi naota au?

Penda sana pindi unapojiangalia kwenye kioo ukijionajiulize pia naota Au? Lakini Ukiiona sura yako kwenye kioo means huoti nausipoina jua upo ndotoni Ni Ngumu Kidogo Kujua Kama Unaota au laa lakini KwaMazoezi Utajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];..

Hatua Za Kufuata:

1: Utatakiwa Upate Kitabu Cha Ndoto Zako Counter ook&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; DreamJournal

2: Saa Ya Alarm

Step ya Kwanza:

Weka daftari yako pembeni ya ulalapo ili uweze kuandika kilakitu ambacho utaota usiku wote

Step Ya pili:

Angalia kitabu chako kioo na saa yako mara kadhaa kwa sikumaana ndotoni hizi zote huwa tofauti ndotoni maana huyumba yumba nakutoeleweka.. jifinye finye sehemu za mwili ili kitokea unajifinya ndotonihuumii basi unajua humu nimeingia ndotoni..

Step ya Tatu:

Ukienda kukidandia kitanda jiambie nikiota leo lazima tajuatu fanya kama command ubongoni kwamba nikiota tajua tu&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Step Ya Nne:

TEgesha Alarm Yako Mapema Zaidi Ya Kawaida Na Ikilia subiridk kama sita halafu urudi tena kulala kufanya hivi utakuwa umeongeza asilimiaza kupata lucid dream 20% hadi 50%

Step Ya Tano:

Ukihisi Umeingia Kwenye Lucid Dream Jaribu Kupaa Juu Juu iliKuthibitisha Hili&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Paa juu ya milima.. Pia Jaribu Kupika Hesabu Ambazo HuwaZinakushinda Na Maswali Yakushindayo Kujibu.. Jaribu Kufikiria Ndugu Yako GaniUmpendae Ametangulia Mbele YA Haki Na Kuongea NAe Akirespond Kile UmemuulizaBasi Jua Unaanza Kuingia Lucid Dream World

N.b

Jambo La Kuzingatia Hapo Ni Pale Unapoenda Kulala HakikishaHujikuni Ovyo Wala Kujigusa Gusa popote Ukilala lala Ubavu Mmoja Huo Huo IliUweze Kufanya Mwili Ujue Umelala Hali Ya Kuwa Upo Macho&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];.

Itaendeleaaaaa !


Kwa haya na zaidi tembelea

Rakims Spiritual

&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];'Rakims''
ni kweli mzee nimekuwa nikifanya hii kwa miaka sasa mwanzoni sikuwa najua na nikawa na shangaa ila baadae nikaja kuzoea moja ya kitu ninachokifanya nipende hii kitu ni kwamaba nakuwa na uwezo mkubwa wa nguvu hata kije kiumbe cha aina gani hata watu 1000 wakiwa na mapanaga huwa napambana nao maana najua sio kweli, siumiee ni kila nitakachokifanya na pia unaweza kutengeneza mazingir ana kuyaishi ndani ya ndoto kwa wakati huo huo mfano kuna siku niliota na kimbizwa na watu siwajui nikacreate kama sheild fulani wakawa wakirusha mawe hayanikuti ...pia inanifany akila ninaota kila siku au niseme kila mara ninapopata usingizi halafu unakuta unaunganisha matukio uliyoyaona siku hiyo na kuendelezea na kualazimisha yawe kama unavotaka ila hasra yake naona naweza kuamka nimeota ndoto wakati mwingime nashindwa kuotofautisha kama tukio niliona au niliota ndo hapo ninapo shangaa
 
Kaka rakims hebu nisaidie kwa kweli mm ni mmoja wa wadau wanao practise lucid dreams. Baada ya muda mrefu wa kufanya lucid dream kuna niseme sijui kiumbe au mtu ni wa kiume ila ana macho meusi ila ule mviringo(mstari) wa mboni ni mweupe kiini cha jicho na vinginevyo ni vyeusi nimeshakutana nae kwa lucid dream zangu kama mara tano hv ikiwemo na leo :
1.alinitishia kuniua kama nitastop kufanya lucid dream nikachukulia kama ni ndoto mbaya
2.nilishangaa kukutana naye mara ya pili tena baada ya muda mrefu wa kutofanya lucid dream the same man akanionya nisirudie tena kutofanya kustop lucid dream
3.nikapumzika kama mwezi hv nikakutana naye tena kwa lucid dream mara hii akanitishia ataiua familia yangu if i stop lucid dream
4.niliogopa nikapumzika kama miezi 3 nikakutana nae kwenye lucid dream tena mara hii alikuja na kunishika mikono huku amening'ang'ania kama hataki nirudi kuamka aisee ilichukua muda mrefu sana kuweza kuamka
5.leo nikaingia kwa lucid dream ambapo nilikutana na jack shein tuko bichi mbili ambazo zilikuwa sehemu moja yaani moja ipo horizontal nyengine ipo straight tukiongea mawili matatu baada ya yy kwenda kuogelea yule man akatokea mara hii akanishika mkono kwa nguvu sana na kuanza kuongea maneno fulani hivi ambayo mm sikuyaelewa( i think ni chant au spell) alivyomaliza kuongea hayo maneno nikamwona ameenda kuchukua kitu pembeni kidogo ambako kulikuwa kuna wanawake wamekaa wamevalia nguo za beach ilikuwa ni padi ya xbox ambazo zinawaya wa moja kwa moja na kuniambia leo nakunyonga nilijitahidi sana kuamka bahati nzuri ile view ilibadilika nikajikuta nipo kwa chumba changu nikizani nimetoka kwa ile lucid dream kumbe bado nipo kwenye lucid dream kuna meza huwa naweka begi langu ghafla nikamuona yule man anaamka as if alikuwa amelala kwenye hiyo meza na begi ndio tumbo lake na kifua chake ameshikilia ile waya ya xbox akawa ananisogelea aisee nilimwomba sana mungu niamke huku nikijitahidi kujikurupusha. Mungu mkubwa nilifanikiwa kuamka kabla jamaa hajanifikia



KUSEMA UKWELI HUYU KIUMBE ANANISUMBUA BALAA KILA NIKIENDA LUCID DREAM LAZIMA NIKUTANE NAE
Habari mkuu lucid dreaming ukikutana na kitu kama hiki means kwamba katika kichwa chako kuna kiumbe kichafu yani kuna pepo mchafu ambaye in reality world ukikaa utakuwa unajikuta ni mtu wa kuhisi nyuma mtu anakufuata mwili kusisimka hovyo kichwa kugonga na kuacha na woga bila sababu..
Ili kuweza kuondoa hili fanya tena lucid dreaming kisha katika ndoto hiyo ukimuona chora mstari mbele yako kisha mwambie subiri hapo ulipo kwa jina la Mwenyezi Mungu, wa kweli mwenye kujua yasiyojulikana na yanayojulikana, hutasogea kwangu ila utaumia huta rudi nyuma ila utaumia sio magharibi mbili wala mashariki mbili juu wala chini hutatoka hapo ulipo hadi pale nitakapokuruhusu.

Kisha utaona kaduwaa na akijigeuza kuwa kama mtoto anayelia au mwanamke anaeonewa kisha utachora pembe tano chini kwa ncha ya kidole na utachora kwa mtindo wa kubanish sio kuawaken yaani utaanza juu kuja chini kisha utazungusha duara hiyo pembe tano ya nyota kwa kufunga sio kufungua kisha utamwambia apa kuwa hutanifuatilia tena na leo ndio mwisho wa roho yako na yangu kuwa pamoja.. atakubali kisha atakupasiri itakayo kushangaza hadi utakapoamka.

NB:
Hii ni njia tunatumia ukitoka nje ya mwili na kuna kiumbe kinakufuatilia ambacho hukielewe...

Njia nyingine rahisi zaidi ni kuamsha mitetemo yako hutaona chochote cha kukukwaza kama hivi either uwe kwe Astral projection au Luci dream

Rakims
 
Kuna muvi inaitwa Inception kacheza Leonardo Di caprio cjui kama umewah kuiona ila nlivosoma hi makala nikaona inafanana na mambo ya kwenye iyo muv. Swali langu ni kwamba nipo sahihi kwamba lucid ni kama walivokuwa wanafanya kwenye iyo muv?

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Mule wamezidisha chumvi na mtama the same kwenye movie ya doctor strange nao wamechanganya Astral Projection,lucid dream, imagination na visualization na magic sehemu moja

Rakims
 
KUTOKA KWA:

Ubarinolutu..... Anasema:

Hii ni hadith yangu fupi,iliyonipelekea kuweza kukontrol ndoto tunazoota usiku ability itakayokufanya kupaa, vilema kutembea ndoton, na kukabili ndoto za kutisha.

Siku moja nilikuwa nimeenda kikazi iringa kutokea dar, nikalala gest moja pale mjini, kiukweli siku hyo niliota ndoto ya kuogopesha. Nilikuwa naota nimelala halaf mtu wa ajabu akanishka mkono, ile hofu nkastuka nimeamka na alinishika mkono alikuwa ni ndugu yangu marehemu.kuamka nikajikuta nipo nyumbani, mimi ,baba na ndugu zangu kaka/dada, tunaendeleza maisha kama kawaida, kumbe wakati naamka niliamkia ndotoni(false awakening) na wala sikujua na sikukumbuka kama ndugu yangu alishafariki. Mda ukapita kidogo nikaamka tena mara ya pili kwenye reality. Nikaja kumbuka yule ndugu yangu alifariki , saa 8 usiku hyo. Nililia sana mwanaume kwa masaa 3+, nilijua mzimu.

Baada ya kuona hvo kama kawaida wa tz nikaanza tafuta majibu kwanini hiwe ivo, nikaingia google. Nikaona huku watafiti wamestate aina tofauti za ndoto na ile yangu wakaiweka ni ""dream in a dream"" yani wanadai mtu huota hii ndoto kwa ajili ya protection, wanadai ingeniathiri kisaikolojia kama ningeota marehemu kanshka mkono ambapo ningeamka nisinge mkuta, ndo mana nikaota ya pili ndo nikaamka atleast niliona ni valid.


Tuje kwenye maada kuu. Katika kutafuta majibu google, walielezea aina moja ya ndoto inaitwa "LUCID DREAM" Lucid dream ni pale unapoota ndoto na kutambua sasa upo ndotoni, wataalamu wanadai ukiweza ukaota ndoto na kugundua unaota kabla ndoto haijaisha unakuwa na uwezo wa kukontrol ndoto yani unauwezo wa kupaa kama ndege, una uwezo wa kwenda nchi yeyote, unauwezo wa kukutana na mtu yeyote, kufanya mapenz na mtu yeyote duniani, kama ni kilema utaweza kuwa na miguu na kutembea.watalamu wanadai lucid dream unaweza kujifunza/learn. Pitieni google mjifunze zaidi, mi mungu amenisaidia kuweza kujifunza lucid dream, na ndoto nilizocontrol chache ni hzi.
1. Nimeshafanya mapenzi na msanii jokate mwigilo kupitia kucidy dream
2.nimeweza ongea na kuonana na kikwete,obama
3. Nimeshapaa kama ndege
4.jana nilipambana na ndoto ya kutisha bila kuogopa.
5. Nimemiliki majumba makubwa
6. Nimetembea na mfanyakaz wa offsini kwetu, nilimwita jina tu akaja.

Yani kiufupi ni unique na amazing experience. Tafadhali pita google ukajifunze hii kitu, hata ukitaka nini unapata, chochote, unauwezo hata wa kuua adui yako, nishaua mtu kupitia huku. I hope u learn.....
hahaha lucid dream zinafurahisha
 
ni kweli mzee nimekuwa nikifanya hii kwa miaka sasa mwanzoni sikuwa najua na nikawa na shangaa ila baadae nikaja kuzoea moja ya kitu ninachokifanya nipende hii kitu ni kwamaba nakuwa na uwezo mkubwa wa nguvu hata kije kiumbe cha aina gani hata watu 1000 wakiwa na mapanaga huwa napambana nao maana najua sio kweli, siumiee ni kila nitakachokifanya na pia unaweza kutengeneza mazingir ana kuyaishi ndani ya ndoto kwa wakati huo huo mfano kuna siku niliota na kimbizwa na watu siwajui nikacreate kama sheild fulani wakawa wakirusha mawe hayanikuti ...pia inanifany akila ninaota kila siku au niseme kila mara ninapopata usingizi halafu unakuta unaunganisha matukio uliyoyaona siku hiyo na kuendelezea na kualazimisha yawe kama unavotaka ila hasra yake naona naweza kuamka nimeota ndoto wakati mwingime nashindwa kuotofautisha kama tukio niliona au niliota ndo hapo ninapo shangaa
Hii hutokea pale mlango unaopitia kwenda lucid dreaming unakuwa karibu na mlango wa kutoka nje ya mwili, jitahidi kuanza meditation maana unaonekana unaweza kuwa unatoka nje ya mwili kwa higher vibration

Rakims
 
Hii hutokea pale mlango unaopitia kwenda lucid dreaming unakuwa karibu na mlango wa kutoka nje ya mwili, jitahidi kuanza meditation maana unaonekana unaweza kuwa unatoka nje ya mwili kwa higher vibration

Rakims
me naipenda sana maana kuna matukio nayaota halafu katika maisha yakawaida kama kauli mtu anaweza kunambi akwenye ndoto sasa nikiamka unakuta mara nyingine anaiambi au kauli ya kufanana na hiyo hiyo hahahaah na enjoy sana maana this world is amaizing
 
Si hayo tu mkuu lakini pia unaweza kumtumia mtu ndoto na akaota vile unavyotaka kupitia humo vilevile matabibu hutumia njia hii kuongea na majini au mizimu

Rakims
yeah kuna siku niliwahi kusoma mahala but kuna ex wangu mmoja nilikuwa sana nataka kuongea naye sasa nikaforce sana kukutana naye kwanye ndoto kitu kama wiki akanitafut asasa sijui hii theory ni ya ukweli au ilikua coincidence tuu,,,ngoj leo nitajaribu tena
 
Back
Top Bottom