Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

Download/tumia application kama *Tubemate au *Videorder, zote hizo zinakupa option ya ku-download videos kutoka kwenye sites kama youtube na kwingine...

Mie nataka tu kujua kwanini huyo jamaa kakataa kukuelekeza?
 
Huyo mtu mwenye hiyo PC ulikoona hukumuuliza? Au ni bosi?
 
Download/tumia application kama *Tubemate au *Videorder, zote hizo zinakupa option ya ku-download videos kutoka kwenye sites kama youtube na kwingine...

Mie nataka tu kujua kwanini huyo jamaa kakataa kukuelekeza?
ahsante ndugu
 
Kwa watumiaji wa ios inakuwaje?
[HASHTAG]#chiefmkwawa[/HASHTAG]
 
usiteseke ww mkuu tumia Baidu browser na ndo hiyo alikuwa anaitumia huyo jamaa.
 
Jamani app ipi naweza kutumia katika simu yangu ili kuweza kudownload video za youtube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…