Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye simu hiyo kitu haikubali.
Mh!!
naomba nimtambulishe kwako bwana mdogo anaitwa IDM
Au Internet downloader Manager...
Baada ya kuangaika kote kutumia software zote na link kibao kutaka nyimbo za youtube na mitandaon..
ni kakutana na hii kitu itakusaidia sana tena ina uwezo wa kugrab site nzima.
ina resume ina weza set speed na kadharika!!
http://rapidshare.com/files/381769204/IDM.5.19.2.rar
tangu niweke hii sijatafuta tena software nyingine, japo hata hizo walizo taja wakuu zote zafanya same thing.
cheers!!
Lakini IDM inafika kipindi kama 30days,haifanyi tena kazi mpaka ununue wakupe licence key,,lakini nzuri ajabu!
ninayo internet dowloder manager.ila siaui jinsi ya kuitumia.Kila ninapo jaribu yanatokea file kibao harafu kila linaloandika complete linanisumbua kwani ukifungua unakuta picha au mambo mengine ambayo siyahitaji.Nahitaji niambiwe jinsi ya kudownload youtube video kwa kutumia hiyo programu niliyonayo.
Download application inaitwa mobogenie. Itumie kupakua utube videos.
Thank me later
kwakutumia app gan mkuu unayopakulia video ww
kwakutumia app gan mkuu unayopakulia video ww