Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

kiingereza sio ishu, je swali limeeleweka? badala ya kujifanya wewe ni autocorrect, kama umeelewa msaidie na kama hujaelewa kaa pembeni, haya mambo kukaguana grammer nayaona najukwaa mengine km chitchat na mmu huko ila huku tunajali kusaidiana zaidi kuliko kukosoana
 
point ya Binti.com ni kwamba kiingereza kilikuja kwa meli na kwamba usikitumie ukiwa hukiwezi..chukulia mfano.... "plz friends instuct me.....
Alafu grammer inakuja kualibika paleee... From the youtube

Lugha isiwe kikwazo, kama unaweza kumsaidia tafadhali toa msaada kama huwezi basi acha! ....wewe pia kiswahili kinakupa tabu.....ni "kuharibika" na sio "kualibika"!
 
Andie, Tumia Real Player, una download na ku burrn CD!
 
Last edited by a moderator:
Lugha isiwe kikwazo, kama unaweza kumsaidia tafadhali toa msaada kama huwezi basi acha! ....wewe pia kiswahili kinakupa tabu.....ni "kuharibika" na sio "kualibika"!

nishaedit...... achukue hapa....www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/420410-full-idm-6-15-biuld-5-hapa-chukua.html
au ya gkiwango
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/265373-idm-cracker-for-life.html
then atenda kwenye browser any browser kwa settings..extensions then ataenable idm.. Ukiplay video itatokea na kukuuliza je wataka kudownload?then utapakua..
 
Last edited by a moderator:
Au
emu pakua hapa'

emu pakua hapa' IDM v 6.11 Build 5 - Sandhu.7z
ni ya patch... But itakubidi uwe na winrar ya kufungua zipped folders... Then ukishainstall utaenda program files..>internet download manager> then copy application ya patch.. Ipo kwenye lile file ulilodownload.. Then ipaste humo kwenye idm.. Run app.. Then andika jina lolote.. First name na second name...
Then u done
 
Au
emu pakua hapa'

emu pakua hapa' IDM v 6.11 Build 5 - Sandhu.7z
ni ya patch... But itakubidi uwe na winrar ya kufungua zipped folders... Then ukishainstall utaenda program files..>internet download manager> then copy application ya patch.. Ipo kwenye lile file ulilodownload.. Then ipaste humo kwenye idm.. Run app.. Then andika jina lolote.. First name na second name...
Then u done

mkuu hii ndo itakuwa crack yake au? Coz mm nimeitmia baada ya ck 30 ikawa inanitaka niiregiste.
 
mkuu hii ndo itakuwa crack yake au? Coz mm nimeitmia baada ya ck 30 ikawa inanitaka niiregiste.

kama uliidownload itakuwa kwenye folder la user>downloads>compressed.. Ukiiopen kuna folder limeandikwa patch.. Fungua ndani utakuta apllication ina rangi ya blue.. Inajina iloilo.. Yaani patch.. Licopy... Then nenda local disk C..>program files> internet download manager.. Then paste humo.. Fanya kuirun.. Itatokea kama dragon flan kashikilia panga.. Rangi nyekundu.. Click patch.. Itakuomba kuandiaka majina.. Utajaza 1st name na second name.. Then u done..
Ukiupdate itakubidi urudi kwenye program files> idm na uirun patch kama ulivyofanya mwanzo..
 
Kama wewe unajifanya mzungu, kaombe msaada uingereza kwa wazungu wenzako, sisi hapa bongo hiyo lugha yako hatuijui kabisaaaa. Mijitu mingine bwana, kha! Kiingereza chenyewe kibovu kama nini!

Dah afadhali umemtell
 
thanks alot mkuu wa kitengo kwan imekuwa rahisi zaid ya nilivofikiri awali baada ya kuhangaika saaana na akina idm,fvd,hulkshare, dap, n.k......sasa bado burning software sijui ipi nzuri, nilikuwa na nero 7 ikaanza kuzingua, ashampoo nayo ndio ivo tena, naweza kuburn hadi namaliza halafu nakuta cd ipo empty.... yaani nimechoooka mbaya
 
Waungwana msaada wenu, nawezaje kudownload video na audio kwa samsung galaxy SIII?? Kuna setup zinahusika? Nawasilisha
 
nenda www.tubemate.net download hiyo app. its a youtube downloader, kwa android device zingine ukiingia tu site yoyote ukaanza kustrem huwa inaleta two options automatically either kusave au kuwatch
 
Back
Top Bottom