Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa,,mechekahayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]10. Box la ndom
HahahajajajMtoto mzuri upo[emoji8] [emoji41]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125]Mwanangu mbona unazingua?
Hahahahah kwahiyo umeamua kupigilia msumari kabisa[emoji134] [emoji134]Nimekuelewa mtoto mzuri..njoo PM[emoji8] [emoji41]
Bila kusahau picha ya marehemu bibi chumbani....kuku mtetea ana lalia chumbanihayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Yaan umenifanya nicheke kwa nguvuhayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Midundo michafu + ushuzi wa maharage uspime.hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
😛 😛 😛 😛Chumba cha kulala nikama-store aseee..kuna panya hadi wanakula sifuria zangu geto...
Kwa kifupi Mkuu unaishi stoo kama mm 😀 😀 😀hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Nawe pia ni mwenzangu cye tunaishi zetu stoo wacha ata nisiandike kitu coz naona wenzangu "members" mmewakilisha kila kituTatizo watanzania wengi tunaishi store utakuta ndoo za maji sufuria mwiko jiko la mchina
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe pia ni member wa Chama letu LA stoo tunakoishi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana maana chumba changu kama chako sema mi bodaboda sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo kopo hapana kwa kweli coz cogopi kutoka ucku 😎 😎 😎Umesahau na Kopo la kujolea usiku...
Hahahah ndio maisha yetu maana muda wowote watu wasiojulikana wanavamiaVyote ivyo ila umesahau panga,kipisi cha nondo na pistol.
Kusoma unajua lakini uelewi bila shaka.kwa akili yako unajua nyumba/vyumba vizuri viko daresalam pekee etiii?
Hii ndio maana ya self containedhayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.