Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.
 
1. Ukifika chuo chakwanza tafuta kadi ya CCM...
2. Soma tu kile unachofundishwa, usijidai kichwa uanze kutafuta sources nyingine za materials. Hata kama mawalimu
anatumia slides, komaa na hizo hizo.
3.Solve as many past paperz as possible cuz walimu wengi wa chuo ni wavivu kutunga maswali mapya

ccm na udom are two sides of a same coin.. bila shaka katiba ya chama ie ccm ipo kwenye silabasi yao hivyo ondoa shaka rejao!
 
Mdogo wangu kuhusu kucontrol boom hakuna siri yeyote ile. Suala ni kuwa na nidhamu na kutumia pesa. Ndio maana nikakuambia kuwa ukiwa chuoni ili uweze kuishi bila ya kuwa na stress ni kuhakikisha unakuwa na pesa ya kununua chakula na pesa ya kulipia malazi. Alafu pesa ya boom sio kuwa ni nyingi sana.
sifahamu kama health related fields wanakuwa wanapata motisha. Labda ningekuambia tu usije ukasikiliza watu wanakuambia nini. Alafu mambo mengi kwa sasa serikalini yamebadilika sana,na hii ni kwa sababu serikali haina pesa ya kutosha. Omba Mungu mkopo wako uwahi kufika,kwani mara nyingi uwa watu wengine wanacheleweshewa mikopo. Mimi kuna watu ninawajua mpaka mwaka wa masomo umeisha hawakupata pesa yote ya mkopo waliyostahili kupata.
Nakuombea kila heri.
 
safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;
 
kaka asante sana iyo tutorial ndo nimechanganya na assistance ki ukweli ushauri wako mzuri sana ingewezekana ningeprint page lakini naomba unisaidia hapo namba 5. Kuhusu boo control maana huku nyumbani familia nzima wanafanya sherehe wakisema boom likiwa linaingia natuma hata laki 250 kwa ajili ya wadogo zangu huku wakisisitiza kuwa health related fields zote huwa wanaongezewa hata motisha je kwa wale wazoefu inawezekana nikajibana vip ili niweze kusatisfy pande zote nyumbani na mi mwenyewe.
kaka ubarikiwe sana, inaelekea unajali sana familia yako tofauti na sisi tunaodanganya kua hatujapata mkopo kumbe tuna asilimia 100!!!!
 
safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;

Kweli ndugu tuombe Mungu atusaidie sana tusije tukaiga tembo kunya tukapasuka msamba ila hiyo yesu inaandikwa hivi Yesu au YESU yaani begin with capital letter.
 
safii;;;asante kwa mtoaji madaa nimejifunza kitu;;;;;damu ya yesu itulinde nakutuongoza tusipende kuiga tabia za watu wengine ambazo sio sahihi;;;;;;;;;;;;;;;;;

Kweli ndugu tuombe Mungu atusaidie sana tusije tukaiga tembo kunya tukapasuka msamba ila hiyo yesu inaandikwa hivi Yesu au YESU yaani begin with capital letter. Ila ubarikiwe sana.
 
GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.

kusoma kuelewa kukesha mbwembwe
 
Ninachoelewa GPA kali ni juhudi na uelewa wa mtu,mengineyo ni extra.
 
Elewa masomo yako lakini pia ikibidi elewa walimu wako kitaaluma. Jifunze from other sources hasa mwanzo wa semester na andika summary ya kile usomacho.
 
Kwnza inabid umtangulize MUNGU mbele ktk masomo yako;piga msul kwa sana na jiepushe na makundi yasiyofaa.Mi ushaur wangu ndo huo!
 
Bro kwanza hongera kwa kutambua umuhimu wa elimu alihal familia yako kuwa na msingi mbaya wa elimu,kaka pili ni kwamba degree moja hauwez kuwa asst.lecturer coz huyu lzm awe na masters, bt degree ni tutorial,tatu hili upige gpa safi
1,zingatia vipind vyote
2,piga qnz zote
3,soma kwa kuelewa cyo kukariri
4,achana na maEVA/HAWA
5,control boom isikuchanganye
6,mwombe Mungu
7,jenga mazingira rafik kwa wanachuo wenzako.
hapo kwenye rad ndio wengi wanapokosea wanatafuta GPA na sio kuelewa wnachokisoma .
 
Kihalali:
Fanya assignents vizuri.
Usipitwe na quiz hata yenye max1,uwe unajizoeza kusoma kwa uelewa lecturer anapofundisha somo fulani. Uwe unapunguza mzigo wa notes ambazo hazijasomwa ,kwa kupitia kidogo kidogo na siyo 'fayatingisha' karibu na mtihani. Kikubwa ni uelewa..na kupangilia muda wako na ratiba yako vizuri. Na yote yanawezekana ukimtanguliza mbele 'MUNGU MWAMINIFU',kwa Kila jambo,katika Masomo na Maisha yako.

aiseee mkuu nitajarbu kuutumia ushaur wako
 
GPA ya 5??? kwanza chuo cha dodoma sidhani kama kina tendency ya ku-retain best students,but hopefully wataanza kipindi chenu. Muda mzuri wa kusoma ni kuanzia saa kumi usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi hivi sababu akili inakua imetulia bila mawazo wala stress coz ndio kwanza umetoka kuamka, pia mazingira yanakua yametulia kwa ujumla. dawa ni kukazana kusoma,na utajua kuwa unasoma the more unavyohisi kuwa mambo ni mengi. mara nyingi ukiona kitabu hakijabana basi ujue you are NOT doing your best!!the more unavyosoma the more unavyogundua kuwa kuna vitu vingi vya ku-cover and vice versa. ni vizuri kuwa na ndoto za hivyo mapema zitakusaidia ku-perform vizuri. dunia hii ya ushindani inawezafika siku hata kazi sehemu nyingine wakaangalia ufaulu wako kwanza then kuchanganua mengine, may be. panga ratiba from day one.hakikisha unaipitia topic aliyofundisha mwalimu siku hiyo(VIZURI) kwa kupitia notes zake na kusoma other references zinazohusika kila baada ya kipindi. soma kila unapopata muda but zaidi panga ratiba ya kulala mapema(by saa nne or tano) na kuamka saa kumi. hicho ndicho kimenisaidia kupata A average kwenye masters.

mkuu iv iz master za science ya communication wanataka uwe na GPA gan
 
Back
Top Bottom