Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mambele sijaishi ila nahis nikienda ntapata ugumu kwenye kupata totoz za kuruka nazo lkn mengine yote bongo bahati mbayanew York pazuri ukiwa na mkwanja bhana, ila Huku bongo fumba kiasi una enjoy kinyama.
Vijiwe vya story, na una invest kwa fumba kidogo tu🤓
Arusha nili enda Mara 2 tu, ni kuatmaubkiasi chake.Mambele sijaishi ila nahis nikienda ntapata ugumu kwenye kupata totoz za kuruka nazo lkn mengine yote bongo bahati mbaya
Nikija mta fanya nini , Kama wee nta finya masikio🤓🤣Kataa hivyohivyo ila usikanyage huu mkoa
Ngoja nifungue uzi wako jinsi ulivyo nikopa😁😁Nikija mta fanya nini , Kama wee nta finya masikio🤓🤣
Sijawahi penda birihani.
Abdallah Sinni Kwakweli leo nimejifunza kituHabari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.
Moja kwa moja niingie jikoni
MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida
wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni
Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,
Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.
Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Hujala langu 😊😋wateja wangu wanapiga saluteHata la kwa Selebonge? Ni best biriani in town.
Hongera sana,Hujala langu 😊😋wateja wangu wanapiga salute
Sababu wengi hawajui kupika wanajua biryani ni rangi
Wewe sito sema kitu, ila utabaki kuumizwa na ukimya wangu😆🤓.Ngoja nifungue uzi wako jinsi ulivyo nikopa😁😁
Kwani kukopesha lazima mtu utoke nae,kwenye uzi nitaekezea kipi kilitokea hadi ukanikopa 🤔Wewe sito sema kitu, ila utabaki kuumizwa na ukimya wangu😆🤓.
Halafu we si ulisema hutoki naa taka taka Kama Mimi??, je ninge kukopa wapi??
Tuache utani, we ni Kati ya marafiki zangu wakubwa🤓.Kwani kukopesha lazima mtu utoke nae,kwenye uzi nitaekezea kipi kilitokea hadi ukanikopa 🤔
Kisamvu kiko wapi
Wewe hupendi😁😁Tuache utani, we ni Kati ya marafiki zangu wakubwa🤓.
Shida una penda umbea🤣🤣
Sipendi aisee🤓🤣, Kikubwa ume jaa busara🤗❤️.Wewe hupendi😁😁
Labda tukuulize experience yako ya kula biriani umeipata wapi? Usije ukawa unapikiwa wali rosti na Manka halafu unaambiwa ni biriani?Sijawahi penda birihani.
Kitu kama kimeletwa jukwaani mim nachangia 😁😁😁Sipendi aisee🤓🤣, Kikubwa ume jaa busara🤗❤️.
Ila uki sikia umbea ni 🔥 🔥
Labda tukuulize experience yako ya kula biriani umeipata wapi? Usije ukawa unapikiwa wali rosti na Manka halafu unaambiwa ni biriani?
Ko uli furahi sana🤓🤣, dah umbea utakuja kuku fanya uunguze mboga.Kitu kama kimeletwa jukwaani mim nachangia 😁😁😁