Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Mambele sijaishi ila nahis nikienda ntapata ugumu kwenye kupata totoz za kuruka nazo lkn mengine yote bongo bahati mbaya
Arusha nili enda Mara 2 tu, ni kuatmaubkiasi chake.

Mwanza ndo 🔥🔥🔥, mbele mambo mengi mno🤓🤣.
Dollar 50000, una pata nyumba ya mbao, bongo ni jumba Hilo 🤣😄
 
Abdallah Sinni Kwakweli leo nimejifunza kitu
 
Labda tukuulize experience yako ya kula biriani umeipata wapi? Usije ukawa unapikiwa wali rosti na Manka halafu unaambiwa ni biriani?

Nilinunua kwa wapemba ,wakaweka na mayai mawili ,mchuzi wa nyama na nyama ,mchele pishori na marangi rangi...Nikaja kula tena mara ya pili ilikuwa offer nayo sijailewa kivile.

Mimi napenda Wali nazi au Pilau Simple la nazi/Nyanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…