Weekend ukuje tupike vyakula premium hz birian za jf ni mpaka ijumaaa mchanaMpishi anatupeleka mbio mbio wakat anajua sie la Saba C๐๐๐
Aisee nitakuja mie hata niwe mgeni usininyime kukaa jikoni naweza nikaumwa๐๐mambo ya choma choma ndo niyapendayoWeekend ukuje tupike vyakula premium hz birian za jf ni mpaka ijumaaa mchana
Kila kitu kitakuepo na jikoni utaingia... ukimaliza uzuge kuombea msosi na wakati ukiwa mwenyewe huombeagiAisee nitakuja mie hata niwe mgeni usininyime kukaa jikoni naweza nikaumwa๐๐mambo ya choma choma ndo niyapendayo
Leta hiyo kisamvu mamiloo๐Sitaki hayo mambo nime koma kuongea sana mie
Thanks.Pole
Kilikukumba nini, kwani kula kisamvu kuna shida? Hata uyoga nakulaWatafuta kuzua jambo maana hujuwi kilicho nikumba naogopa ๐ค
Sasa si dili hilo, kanunue uwapikie au wanataka ile kisavu ingine? ๐Nimefatwa Mp watu wanataka kisamvu yaani kumbe niliropoka tuu.
AsanteHongera sana๐๐ฅฐ