nitakushtua nikigraduate.........
wa juzi ulikuwa kama natafuna mchele wa kuloweka uliookwa...... mbona majanga.....
*****kwa kuongezea****
Unaweza tengeneza chapati hizo na kuweka kwa friji na siku ukihitaki chapati unatoa unasubir kuyayuka unachoma yaani inazidi kuwa laini.......
Umeanza lini utani na Kongosho ?Hahahahaha lol!!!! Huu uzi unanivunja mbavu dah!!! Tumegundua kumbe kuna chapati za aina nyingi za Wabongo, chapati kaukau nyingine huteleza kwenye meno hizi ni za kumeza tu wala usijisumbue kutafuna na nyingine za kau kau hizi kutafuna RUKHSA! kuna nyingine chapati turubai hizi hazifai kula bali kutumika kama turubai kwenye misiba/sherehe lol!!!!
sikuthubutu kupeleka mezani rafiki.......lol!!! Lakini mtoto wa kike hukujivunga ukakomaa nao tu mchele wako wa kuoka, wengine mezani wakikuangalia umekomaa nao ikabidi wakomae tu Hahahahaha lol!!! Chezeya FP weye!!!!
Ahsante sana dada farkhina
ha haaaaaa, unakanda kwa muda mrefu?we shukuru tu kabla haujaztia kikaaongozi uone zinavokakamaa kama ngozi ya goti, mimi nimefuata process zote zaidi ya mara tano lakini wapi, tia yai wapi, nikasema labda nitie kiini tu lakini wapi, next time labda nitajaribu kutia mchuzi wa bamia huenda zikawa laini!
Za kusukuma zina utamu wake, tofauti na za kumimina........
sema tu kale kamsemo ka sizitaki mbichi hizi kanasaidiaga.....
Hahahahaha lol!!!! Huu uzi unanivunja mbavu dah!!! Tumegundua kumbe kuna chapati za aina nyingi za Wabongo, chapati kaukau nyingine huteleza kwenye meno hizi ni za kumeza tu wala usijisumbue kutafuna na nyingine za kau kau hizi kutafuna RUKHSA! kuna nyingine chapati turubai hizi hazifai kula bali kutumika kama turubai kwenye misiba/sherehe lol!!!!
we shukuru tu kabla haujaztia kikaaongozi uone zinavokakamaa kama ngozi ya goti, mimi nimefuata process zote zaidi ya mara tano lakini wapi, tia yai wapi, nikasema labda nitie kiini tu lakini wapi, next time labda nitajaribu kutia mchuzi wa bamia huenda zikawa laini!
ha haaa, siyo dongo mdogo wangu, nilikuwa nasema tu.....Duh! usinpige dongo kiivyo dada mkubwa!
- za kusukuma zinahitaji muda kwa kweli na mimi huo muda sina kiiivo
- za kusukuma zinapendeza zaidi kama unapika for a company. sio unasukuma chapati weee af unakula mwenyewe
- za kumimina dakika tano tu kitu fresh..bachelor kama mimi inanifaa zaidi
- hata hivyo, hii page kama nyingine nyingi za farkhina nimeshaisave for future reference!
- umalizapo yako ya mikate pia naomba uiweke hapa!!!
ha haaaaaa, unakanda kwa muda mrefu?
yaani kile kinyunga mpaka kiwe laini kabisaaaaa, ukikishika mkononi usibaki na alama.......
Jamani mbavu zangu mieee....
ha haaa, siyo dongo mdogo wangu, nilikuwa nasema tu.....
Nimekuelewa mdogo wangu, siku ukipata kampani basi upike then utuambie.
siku nikigraduate mkate wangu sitaacha kuwaletea ingawa hapa ulishakuwepo aliuweka moderator wa jukwaa
Zoezi gumu kwangu ni kukanda unga na kusukuma. Mara nyingi huwa zinakuwa ngumu na shapeless. Uamuzi wa mwisho ni chapati za maji tu(kumimina).
Practice makes perfect.....hahaha, unanicheka mkuu?!..hebu pata picha dada sku hiyo ni siku yake ya mapumziko, nimebaki mimi na watoto tu home kisha naamua kuwapikia kitu wanachokipenda...mwisho wa siku wanaishia kuzichezea na kucomment "baba, ngumu hiyo"! huwa najitahidi kuzikanda sana, lakini huenda huwa naasume tu kuwa nimekanda sana, nikipata muda itabidi nijaribu tena, vyovyote zitavyokuwa nitaweka picha ili mnicheke vizuri! inabidi mpendwa mmoja atutengenezee video tutorial sisi vichwa vizito!
siku nyingine ule na supu ya kuku/nyama/samaki au maharage......za maji hamna kitu kaka, kitu cha kukanda na rost ya maini!