MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
bibiee umechoma peke yako?
hahaha nikabidhi hata kilo 5!mrad niskae chin !napenda kujipikilisha kwakweli!hiyo ina kitunguu maji traaaaaaaaaaaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bibiee umechoma peke yako?
Sasa bado cjaelekezwa utaonjeje bestmi nataka unipe offer ya kuja kuzionja hizo chapati tu
wakishakufundisha Dada we utanishtua tu ata ukiniwekea kwenye mfuko sawa tu
Search humu humu kuna nyuzi kibao.Habari wana jamvi mm naomba kuelekezwa jinsi ya kupika chapati za kusukuma ziwe laini na tamu naomba nielekezwe kuanzia mixing mpaka kukanda kusukuma na kuchoma inatakiwa kufata procedure gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc. MBITIYAZA njoo huku umfundishe mkuu kupika chapati laini.Habari wana jamvi mm naomba kuelekezwa jinsi ya kupika chapati za kusukuma ziwe laini na tamu naomba nielekezwe kuanzia mixing mpaka kukanda kusukuma na kuchoma inatakiwa kufata procedure gan
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka za kuuza au za kula home ,na kuuza ni bei gani utauza.? kwasababu mapishi ya chapati yapo ya aina nyingi,chapati za samli (ghee),za nazi,za butter,za maziwa,za nyama,za sukari,za chumvi n.kHabari wana jamvi mm naomba kuelekezwa jinsi ya kupika chapati za kusukuma ziwe laini na tamu naomba nielekezwe kuanzia mixing mpaka kukanda kusukuma na kuchoma inatakiwa kufata procedure gan
Sent using Jamii Forums mobile app
ntakuungisha lakini ya nyongeza ya kuonja lzma iwepo
duuh we jamaa hauna hurumaWewe hata mchicha utakuwa huwezi pika, wakisha kuelekeza namna yakupika chapati waombe wakufundishe namna yakupika mchicha pia, ...
Kumbe mnatufanyiaga makusudi kutuuzia chapati transparent ukiangalia unaona upande mwingine? [emoji37] [emoji37]unataka za kuuza au za kula home ,na kuuza ni bei gani utauza.? kwasababu mapishi ya chapati yapo ya aina nyingi,chapati za samli (ghee),za nazi,za butter,za maziwa,za nyama,za sukari,za chumvi n.k
Kuna mambo yakuonewa huruma, ila sio kwa chapatiduuh we jamaa hauna huruma
hahahahaKuna mambo yakuonewa huruma, ila sio kwa chapati
Ni za kuuza na bei ya kuuza n sh.300unataka za kuuza au za kula home ,na kuuza ni bei gani utauza.? kwasababu mapishi ya chapati yapo ya aina nyingi,chapati za samli (ghee),za nazi,za butter,za maziwa,za nyama,za sukari,za chumvi n.k