Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Yani kama zile chapati za kipindi cha Yesu

Mrs Van
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka sana mrs van
 
wapo wanaotia hamira kwenye chapati
ngoja na mm nitajarbu kutia hamira nione zitakuwajee
Mmh huko ni kutafuta shibe ya muda mrefu kujaza tumbo usisahau kuleta mrejesho shoga
 
Hapa yamekosekana maharage tu

chapati%2Bveg%2Broll.jpg


mh mbn hazina mvuto?siri ya chapati kuwa nzuri ni ukandaji!naona mtoa madakasema unga uwe mwepesi kwahyo unamanisha uwe mlaini!duh!mie najua chapat ukitaka iwe nlain kanda unga uwe mgumu utazipenda!
 
Shoga afadhali hiy lkn huwez kuilinganisha na hii kwa kweli viwil vyachagulika
8f0760fc6350d639f6845430bbe31247.jpg
hebu angalia hii sasa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
8840fc9df93429169d8987af37b840d0.jpg




teh teh borA Nikaange mihogo!namshukru MAMA!
 
Aisee hii chapati haivutii kabisa sidhan kam imeivaa hii



Mie usiniletee kitu km huiki aic!nahis ni ule unga wa ATTA!haujalainika kwanza!mie chapati huwa akanda km dk 20 mbele!ila uwe mgumu utazifurahia aic
 
Back
Top Bottom