Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Za kumimina huwa hazipendwi na wengi kama za kusukuma. Ila ndio shughuli yake sio mchezo[emoji134]Nilipanga zikitokea vizuri nizipige picha nipost kwa status kule WhatsApp lakini kilichotokea ni aibu tupu [emoji16]
Hizo za kumimina sijajaribu kuzipika lakini nilishakula mara kadhaa hazikunivutia