Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Mchicha uungiwe vitunguu vingii,hoho,karoti ukipenda weka na nazi mweeee na ugali pembeniBora ata nikute mchicha wa mia mbili hiyo mia nane nyingine afanyie inshu zake nitarizika kuliko nikute kabichi ya jero ata kama akisema chenchi imebaki sitomuelewa kwa kweli.
Kabichi ilitakiwa iwe inasindikiza mboga kuu. Uko sahihi.Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Word!daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.
Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.
maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi
wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??
ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko
This Time Tomorrow
Umemuelewa jamaa vibaya,mbona mlenda kaukubali?daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.
Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.
maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi
wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??
ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko
This Time Tomorrow
Pia asisahau kuweka mafuta ya taa na alovera...!oya mwana hujui kupika kabeji,ipike hivi mix karoti,hoho,tango,kitunguu ,karanga na kabeji yenyewe mbona inakua poa ila nyanya usiweke
Mkuu huyu anajua kama mimi nimekufuru lakini siyo nia ya mada bora wewe umenielewa mkuu.Umemuelewa jamaa vibaya,mbona mlenda kaukubali?
Mlenda ndo mboga ya mwisho kabisa kwa ubaya lakini kaukubali kua unaweza kutumiwa na ugali.
Lakini kabeji labda utumike kwenye wali au kachumbari lakini sio ugali.
Tena muda wa msosi kupikwa unakaa zero distance na jiko, mpaka nilikuwa nashangaa baadhi ya marafiki zangu muda wa kula eti mpaka waitwe tena wanaenda kwa kujivuta muda huo umepigika njaa [emoji24] [emoji24] daa kweli mungu wetu soteAhahahahahah poleni sanaa aisee nyumbani kukiwa hakuna kitu halaf kikapikwa hata chakula cha ajabu unakiona kizuri na kitamu tu,ni sawa na ukiwa na pesa njaa yake sio kali kama ukiwa huna pesa mfukoni njaa inakuwa kali balaa
duuu ww jamaaPia asisahau kuweka mafuta ya taa na alovera...!
Tatizo lenu mmekurupuka, mtoa mada hajazungumzia kebichi na nyama ye kasema kebichi ulile peke yake na ugali "mziki wake sasa usipime".Aisee kabichi kw nyama huwezi niondoa daima aser
Kabichi na nyama mi ndio linapanda bila nyama nahisi kama nakula mgomba uliokatwakatwa
Mziki wake ni Kama unapewa dawa uimeze bila maji inazunguka tu pale mdomoni kila ukimeza yanamezeka mate tu.Tatizo lenu mmekurupuka, mtoa mada hajazungumzia kebichi na nyama ye kasema kebichi ulile peke yake na ugali "mziki wake sasa usipime".