Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Ukikosa cha kupost kaa kimya kama mkeo hajui kupika mpleke shule
Sent from my E6833 using JamiiForums mobile app
 
Hii mboga nayo imekaa ki vyake sana, yaani bilashaka wengi hawaipendi, sema wanakula tu basi wafanye nini jamaaaa
 
Kwan nan alikuambia kabichi ni mboga,!!
Ile ni kachumbari mkuu
 
Hii mboga nayo imekaa ki vyake sana, yaani bilashaka wengi hawaipendi, sema wanakula tu basi wafanye nini jamaaaa
Kidogo labda na wali lakini siyo ugari.
 
Reactions: sab
Mkuu sina mazoea ya kula kwa mama ntilie ata kama nimebanwa na kazi gheto nina jiko ,sufuria na vifaa vyote vya kufanikisha kupika kile ninachoitaji kula kwa siku husika.
Basi kabichi bad hujaijulia mkuu.... huwa inakaangwa flani hivi amazing ukila na ugali lazma udindishe jinsi ilivyotam
 
Mi kabichi Hata iwekwe nyama siielewagi kabisaaa...mboga za msibani hizi bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…