Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Kwan nan alikuambia kabichi ni mboga,!!Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Sawa mkuu uliyeoa mke mpishi wengine bado tuko single.Ukikosa cha kupost kaa kimya kama mkeo hajui kupika mpleke shule
Sent from my E6833 using JamiiForums mobile app
Bado aiseeKidogo labda na wali lakini siyo ugari.
Basi kabichi bad hujaijulia mkuu.... huwa inakaangwa flani hivi amazing ukila na ugali lazma udindishe jinsi ilivyotamMkuu sina mazoea ya kula kwa mama ntilie ata kama nimebanwa na kazi gheto nina jiko ,sufuria na vifaa vyote vya kufanikisha kupika kile ninachoitaji kula kwa siku husika.
Ugari na kabichi mkuu?