Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Kabsa, amenipa wazo jipyaKwa huo ujuzi wake nimeona pesa nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabsa, amenipa wazo jipyaKwa huo ujuzi wake nimeona pesa nyingi sana
Kha! Hadi wewe😲😲😲😀Kupenda kupikiwa tu
Kuoa aah
Unapatikana wapi?Hapana mkuu
Kumbe nyie warembo wa mkoani ndio wapishi wazuri na wife materialMkoani mkuu
Njoo unilishe maadazi bwana wewe....acha uchoyo miaka inaenda unachelewesha watoto kuanza shule ujue
Hajaoa hadi leo?? Huyu amelogwa😀Kupenda kupikiwa tu
Kuoa aah
Muone roho mbaya tuu unataka kunifukuzia ndege wanguHajaoa hadi leo?? Huyu amelogwa
Unataka ushuhuda gani.? Ushuhuda nilionao ni kwa mama chanja. Anajua kuandaa chakula changu hiki kingine huwa kinakua tayari na anahakikisha nakula kushiba. Bahati mzuri hata kabla yake niliwahi date na mwingine alikua anamiliki mgahawa mkubwa tu naye hakua mnyonge kitandani. Yan ile ukisikia mtoto kautaka ndio yeye sasa mechi anaitaka na hakuangushi.Ushuhuda tunasubiri kaka
Ahna inawezekana ikawa Kwa baadhi ya watuUnataka ushuhuda gani.? Ushuhuda nilionao ni kwa mama chanja. Anajua kuandaa chakula changu hiki kingine huwa kinakua tayari na anahakikisha nakula kushiba. Bahati mzuri hata kabla yake niliwahi date na mwingine alikua anamiliki mgahawa mkubwa tu naye hakua mnyonge kitandani. Yan ile ukisikia mtoto kautaka ndio yeye sasa mechi anaitaka na hakuangushi.
UNajua mtu kaendekezwa akiendekezwa basi hali ndio hiiYani huyu tusipoangalia atazeeka Hana mke😂😂
Vijana wa bongo, kutoka story za mapishi hadi kitandani. Mh!Unataka ushuhuda gani.? Ushuhuda nilionao ni kwa mama chanja. Anajua kuandaa chakula changu hiki kingine huwa kinakua tayari na anahakikisha nakula kushiba. Bahati mzuri hata kabla yake niliwahi date na mwingine alikua anamiliki mgahawa mkubwa tu naye hakua mnyonge kitandani. Yan ile ukisikia mtoto kautaka ndio yeye sasa mechi anaitaka na hakuangushi.
Shemeji ndio anajua. Wewe huwezi kuelewa kama yaliyomo yamoAhna inawezekana ikawa Kwa baadhi ya watu
Wengine sisi ni tia maji tia maji hamna kitu 😀😀😀
Ukishashiba kinachofata ni nini?Vijana wa bongo, kutoka story za mapishi hadi kitandani. Mh!
Ni kulala mkuu. Je wewe?Ukishashiba kinachofata ni nini?
Ni kweli kaka mwanamke anaejua vizuri mapishi hata kitandani wapo vizuri pia huambatana na sifa ya usafi...wanakua wasafi sanaNje ya mada: Mara nyingi wanawake wanaojua kupika vizuri pia ni wazuri kitandani! Utafiti: Wanawake wa pwani!